Emanueli misalaba
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,769
- 2,523
😂😂😂DNA za kawaida huenda zikabuma ila za Kiroho kama zipo zitasomaItabidi tukupime DNA, utakuwa na vinasaba vya Yakobo (Israel)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂DNA za kawaida huenda zikabuma ila za Kiroho kama zipo zitasomaItabidi tukupime DNA, utakuwa na vinasaba vya Yakobo (Israel)
Bwege we aliye sema ni Iran's ex presdent Mahmoud Ahmadinejad. Toka lini Ayatollah Ali Khomen akisema kitu hafanyi. Lazima mkumbuke Ayatollah ndio anamua kila kitu ye ndio Commander in chief.Ayatollah Rahollah Khomenei.
Trump anasubiri kushika hatamu ndugu yangu. Iran tutaisikia tena baada ya miaka minne ya Trump kuisha.Tulisikia sana, na wababe wa Tanzania wakaimba Mazayuni watajuta. Anga likafungwa tarehe 4 hadi 6 Novemba 2024 tukajua ahadi ya 3 ya ukweli imewadia.
Nauliza, hii oparasheni tuliyoingojea kwa hamu kuwaadhibu mazayuni imefia wapi?
Au Iran karidhika na majibu ya mazayuni au wanasubiri Turampu (Trump) kaahidi kimaliza mzozo kwa kuwatia adabu mazayuni.
Naomba majibu
Tena awai kwenda Israel ndugu zake wanamuitaji sasa kuliko wkt mwengine😀😀😀😂😂😂DNA za kawaida huenda zikabuma ila za Kiroho kama zipo zitasoma
😂😂 Ndugu zangu wale wababe wakorofi hatari, wazee wao baadhi yao walihakikisha Masihi anauliwa na Masihi alisema "kama kwa mti mbichi wamefanya hivi itakuwaje kwa mti mkavu"Tena awai kwenda Israel ndugu zake wanamuitaji sasa kuliko wkt mwengine😀😀😀
Tofautisha Ayatollah Rahollah Khomenei (Rip) na Ayatollah Ali Khamenei ni watu wawili tofauti kabisa.Bwege we aliye sema ni Iran's ex presdent Mahmoud Ahmadinejad. Toka lini Ayatollah Ali Khomen akisema kitu hafanyi. Lazima mkumbuke Ayatollah ndio anamua kila kitu ye ndio Commander in chief.
Mimi matusi nimejifunza kwa wakristo ndio lugha yao 🤣Tofautisha Ayatollah Rahollah Khomenei (Rip) na Ayatollah Ali Khamenei ni watu wawili tofauti kabisa.
Halafu mbona mnapenda kutukana sana ndio malezi au ni mafundisho ya dini..😛😛😛😛
Allah hana majina 99 ni sifa zake hizo usiwe mjinga. Mfano akisema Mfalme wa Wafalme ni kweli hakuna mfalme zaidi yake. Akisema Al Rahman mana yake hakuna mwenye iman kama yeye. Akisema Al Shadid Al Aqab pia ni vile hakuna wakutoa adhabu kama yeye na etc.
Hatuna mtume anaitwa mudy tuna Mtume anaitwa Muhammad PBUH
Ungekuwa una akili wewe ungekuwa Muislam, lakini wewe ni kenge tu, utabaki kuwa kenge. Ongeza majina ili upate kupofua macho yako
Alafu now yupo ICUAyatolah kaufyata Mkia.
Akuna Mtu au Nchi itakayoifuta Israel😁 Iran Kwa Israel ni Mchumba tu ana Huo UwezoIran hajawahi kuahidi kitu halafu akashindwa kutimiza.
Ninyi tulieni wayahudi wa Songea na Liwale.