Oparesheni Ahadi ya 3 ya Iran (Operation True Promise 3) imefia wapi?

Oparesheni Ahadi ya 3 ya Iran (Operation True Promise 3) imefia wapi?

Ayatollah Rahollah Khomenei.
Bwege we aliye sema ni Iran's ex presdent Mahmoud Ahmadinejad. Toka lini Ayatollah Ali Khomen akisema kitu hafanyi. Lazima mkumbuke Ayatollah ndio anamua kila kitu ye ndio Commander in chief.
 
mtu akiongea kitu lazima tutafsiri alimaanisha nini Ayatollah alikuwa anamaanisha kuiyondoa serikali y ISRAEL lkn sio kuwauwa watu wote waIsrael akumaanisha ivyo Hoja vipi Ayotollah awe na chuki na Wayahudi wkt ndani ya Iran wapo Wayahudi kwamaerufu akiwalinda usalama wao, msingi unabaki alikuwa akimaanisha kuvunja dolla ya Wazayuni sio kuuwa raia wake
 
Tulisikia sana, na wababe wa Tanzania wakaimba Mazayuni watajuta. Anga likafungwa tarehe 4 hadi 6 Novemba 2024 tukajua ahadi ya 3 ya ukweli imewadia.

Nauliza, hii oparasheni tuliyoingojea kwa hamu kuwaadhibu mazayuni imefia wapi?

Au Iran karidhika na majibu ya mazayuni au wanasubiri Turampu (Trump) kaahidi kimaliza mzozo kwa kuwatia adabu mazayuni.

Naomba majibu
Trump anasubiri kushika hatamu ndugu yangu. Iran tutaisikia tena baada ya miaka minne ya Trump kuisha.
 
Tena awai kwenda Israel ndugu zake wanamuitaji sasa kuliko wkt mwengine😀😀😀
😂😂 Ndugu zangu wale wababe wakorofi hatari, wazee wao baadhi yao walihakikisha Masihi anauliwa na Masihi alisema "kama kwa mti mbichi wamefanya hivi itakuwaje kwa mti mkavu"
 
Imeisha hiyoo. Wale Waajemi kuna wakati wanakuwa kama mbwa koko... Wanabweka sana, matokeo haba.
 
Bwege we aliye sema ni Iran's ex presdent Mahmoud Ahmadinejad. Toka lini Ayatollah Ali Khomen akisema kitu hafanyi. Lazima mkumbuke Ayatollah ndio anamua kila kitu ye ndio Commander in chief.
Tofautisha Ayatollah Rahollah Khomenei (Rip) na Ayatollah Ali Khamenei ni watu wawili tofauti kabisa.

Halafu mbona mnapenda kutukana sana ndio malezi au ni mafundisho ya dini..😛😛😛😛
 
Tofautisha Ayatollah Rahollah Khomenei (Rip) na Ayatollah Ali Khamenei ni watu wawili tofauti kabisa.

Halafu mbona mnapenda kutukana sana ndio malezi au ni mafundisho ya dini..😛😛😛😛
Mimi matusi nimejifunza kwa wakristo ndio lugha yao 🤣

Sa Aliye sema unasema kisha kufa, afu unaleta story zake kwani tunasoma history hapa
 
Ayatollah amewahi kusema Israeli haiwezi battle na Hezbollah..hio kauli kwanza lazima umuogope mtu huyo yaan ni sawa na JW wetu awaambie jeshi la kenya hamuwezi kupigana na sungu sungu wa tz, na ukiangalia kweli IDF wametepeta kila siku lazima maiti zirudi wanajitutumua tu kila kisu kambi zao zinaungua hapo bado Radwan Forces ambayo ni Elite force ya hizbollah haijaingia mzigoni hio wanapambana nayo ni first layer. Kiukweli Iran sio level yao mazayuni nikujimwambafai sasa wako uchi. Iran level yake ni US,UK,German,Russia huo ndio ukweli mchungu ambao unawaumiza timu zayuni. Sisi tunawombea Wairan watajirike walau wahit nusu GDP ya china tu hapa dunian tutakaa kwa amani na soon hilo linatokea, BRiCS ikikaa sawa wanatoboa mapema tuu
 
Allah hana majina 99 ni sifa zake hizo usiwe mjinga. Mfano akisema Mfalme wa Wafalme ni kweli hakuna mfalme zaidi yake. Akisema Al Rahman mana yake hakuna mwenye iman kama yeye. Akisema Al Shadid Al Aqab pia ni vile hakuna wakutoa adhabu kama yeye na etc.

Hatuna mtume anaitwa mudy tuna Mtume anaitwa Muhammad PBUH

Ungekuwa una akili wewe ungekuwa Muislam, lakini wewe ni kenge tu, utabaki kuwa kenge. Ongeza majina ili upate kupofua macho yako
 
Akifa mtasema mossad lkn akifa atakaekuja atawaka adi nyinyi umu mlioshangilia
 
Iran hajawahi kuahidi kitu halafu akashindwa kutimiza.
Ninyi tulieni wayahudi wa Songea na Liwale.
Akuna Mtu au Nchi itakayoifuta Israel😁 Iran Kwa Israel ni Mchumba tu ana Huo Uwezo
 
Mkuu hao watu awatabiriki...Keep my words..
Simu moja unaamka unasikia au kusoma Nchi ya ahadi,Taifa teule limekula kipondo...
Walivyo wakaidi mengi wanayazuia wasitangazwe...
 
Back
Top Bottom