Hawajipendi?Tulisikia sana, na wababe wa Tanzania wakaimba Mazayuni watajuta. Anga likafungwa tarehe 4 hadi 6 Novemba 2024 tukajua ahadi ya 3 ya ukweli imewadia.
Nauliza, hii oparasheni tuliyoingojea kwa hamu kuwaadhibu mazayuni imefia wapi?
Au Iran karidhika na majibu ya mazayuni au wanasubiri Turampu (Trump) kaahidi kimaliza mzozo kwa kuwatia adabu mazayuni.
Naomba majibu
Iko njianiTulisikia sana, na wababe wa Tanzania wakaimba Mazayuni watajuta. Anga likafungwa tarehe 4 hadi 6 Novemba 2024 tukajua ahadi ya 3 ya ukweli imewadia.
Nauliza, hii oparasheni tuliyoingojea kwa hamu kuwaadhibu mazayuni imefia wapi?
Au Iran karidhika na majibu ya mazayuni au wanasubiri Turampu (Trump) kaahidi kimaliza mzozo kwa kuwatia adabu mazayuni.
Naomba majibu
Itafahamika huko hukoKwani wao hawajui kama trump kashinda
Ni lazima wafikie hiyo hatua, vinginevyo wataendelea kuumiza wananchi wao na kudidimoza uchumi wa nchi yao.Can Iran come to its senses by abolishing the inept and parochial policies that make her to be isolated and the world's pariah..??
Ritz huyu dogo huwa anawalisha matango wenzake.akiambiwa kitu na sheikh kitinku. Alijidanganya sana.Tulisikia sana, na wababe wa Tanzania wakaimba Mazayuni watajuta. Anga likafungwa tarehe 4 hadi 6 Novemba 2024 tukajua ahadi ya 3 ya ukweli imewadia.
Nauliza, hii oparasheni tuliyoingojea kwa hamu kuwaadhibu mazayuni imefia wapi?
Au Iran karidhika na majibu ya mazayuni au wanasubiri Turampu (Trump) kaahidi kimaliza mzozo kwa kuwatia adabu mazayuni.
Naomba majibu
Jibu ni B-52 HAINA Msalie mtumeTulisikia sana, na wababe wa Tanzania wakaimba Mazayuni watajuta. Anga likafungwa tarehe 4 hadi 6 Novemba 2024 tukajua ahadi ya 3 ya ukweli imewadia.
Nauliza, hii oparasheni tuliyoingojea kwa hamu kuwaadhibu mazayuni imefia wapi?
Au Iran karidhika na majibu ya mazayuni au wanasubiri Turampu (Trump) kaahidi kimaliza mzozo kwa kuwatia adabu mazayuni.
Naomba majibu
Dege la 1947Jibu ni B-52 HAINA Msalie mtume
Iran hajawahi kuahidi kitu halafu akashindwa kutimiza.Tulisikia sana, na wababe wa Tanzania wakaimba Mazayuni watajuta. Anga likafungwa tarehe 4 hadi 6 Novemba 2024 tukajua ahadi ya 3 ya ukweli imewadia.
Nauliza, hii oparasheni tuliyoingojea kwa hamu kuwaadhibu mazayuni imefia wapi?
Au Iran karidhika na majibu ya mazayuni au wanasubiri Turampu (Trump) kaahidi kimaliza mzozo kwa kuwatia adabu mazayuni.
Naomba majibu
Mbona aliahidi kuifuta Israel lakini KIKO WAPI SASAIran hajawahi kuahidi kitu halafu akashindwa kutimiza.
Ninyi tulieni wayahudi wa Songea na Liwale.