https://www.quora.com/How-do-modern...-Yonathan-Netanyahu?share=14a27d86&srid=3pgSDWho killed Yoni Netanyahu? Official documents zinaonyesha aliuwawa n.a. askari wa Uganda. Ila ndugu zake ambao wote walikuwa commandos kwenye hiyo unit, ila hawakushiriki sababu ya policy ya kutoweka ndugu wengi kwenye operation moja wanadai aliuwawa na Col Muki Betser, who was his deputy in the mission?
Kisa huyo jamaa kumuua ni nini???Who killed Yoni Netanyahu? Official documents zinaonyesha aliuwawa n.a. askari wa Uganda. Ila ndugu zake ambao wote walikuwa commandos kwenye hiyo unit, ila hawakushiriki sababu ya policy ya kutoweka ndugu wengi kwenye operation moja wanadai aliuwawa na Col Muki Betser, who was his deputy in the mission?
Rafiki naona hapa upo nyumbani kwako!walizipata kwa yule mwanajeshi
Kiti cha mbeleSAA TATU NA NUSU NITAWEKA SEHEMU YA KWANZA YA OPARESHENI YA PILI
Oparesheni ambayo ilitekelezwa na SAS (Special Air Services) dhidi ya wapiganaji 'masharobaro' makatili nchini Sierra Leon...
Stay tuned...
TunaingojaSAA TATU NA NUSU NITAWEKA SEHEMU YA KWANZA YA OPARESHENI YA PILI
Oparesheni ambayo ilitekelezwa na SAS (Special Air Services) dhidi ya wapiganaji 'masharobaro' makatili nchini Sierra Leon...
Stay tuned...
Tag me chief kama ukiweka tags.SAA TATU NA NUSU NITAWEKA SEHEMU YA KWANZA YA OPARESHENI YA PILI
Oparesheni ambayo ilitekelezwa na SAS (Special Air Services) dhidi ya wapiganaji 'masharobaro' makatili nchini Sierra Leon...
Stay tuned...