Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Who killed Yoni Netanyahu? Official documents zinaonyesha aliuwawa n.a. askari wa Uganda. Ila ndugu zake ambao wote walikuwa commandos kwenye hiyo unit, ila hawakushiriki sababu ya policy ya kutoweka ndugu wengi kwenye operation moja wanadai aliuwawa na Col Muki Betser, who was his deputy in the mission?
https://www.quora.com/How-do-modern...-Yonathan-Netanyahu?share=14a27d86&srid=3pgSD

Ukipitia hiyo link hapo juu [emoji115] utaona baadhi ya watu wameelezea kumuhusu Yonathani Netanyahu.
 
Who killed Yoni Netanyahu? Official documents zinaonyesha aliuwawa n.a. askari wa Uganda. Ila ndugu zake ambao wote walikuwa commandos kwenye hiyo unit, ila hawakushiriki sababu ya policy ya kutoweka ndugu wengi kwenye operation moja wanadai aliuwawa na Col Muki Betser, who was his deputy in the mission?
Kisa huyo jamaa kumuua ni nini???
 
O là là , c'est très riche communique!!

Merci beaucoup Mon Grand Frère
 
SAA TATU NA NUSU NITAWEKA SEHEMU YA KWANZA YA OPARESHENI YA PILI


Oparesheni ambayo ilitekelezwa na SAS (Special Air Services) dhidi ya wapiganaji 'masharobaro' makatili nchini Sierra Leon...



Stay tuned...
Kiti cha mbele
 
Pamoja xana jasusi mwenzangu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
 
Mkuu the bold, hiyo sa 3 na nusu tayari moderator watakua washamaliza kuikagua au ndo muda wako wa kupost hiyo mada?
 
SAA TATU NA NUSU NITAWEKA SEHEMU YA KWANZA YA OPARESHENI YA PILI


Oparesheni ambayo ilitekelezwa na SAS (Special Air Services) dhidi ya wapiganaji 'masharobaro' makatili nchini Sierra Leon...



Stay tuned...
Tag me chief kama ukiweka tags.

Cc: The bold
 
Back
Top Bottom