Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

M

Ng'wana wane, umenifurahisha kupita maelezo. NIlikuwa mdogo kaka yangu ndio alikuwa anatuelezea hayo matukio ukizingatia wala tv hazikuwepo ni viredio uchwara lakini it was fine by then. Hilo jina la Ida na huyo Dora niivishika sana. Kumbe alikufa pia kijana mwingine sie tuliambiwa ni huyo Ida pekee. Duuu so many people died. All in all sote tutakwenda tu. Nasubiria hizo nyinyinge kwa bashasha haswaaaa. Thank you
Hivi, isingewezekana wewe kuandika ulichoandika bila ku-quote? Hivi huwa huoni humu watu wakilalamika kuhusu tukio kama lako?

Unapatikana maeneo gani huko? Buhongwa au Simiyu?

Mind your head
 
Special force za mataifa mengine kweli zina Deserve kuitwa "SPECIAL FORCE" Ila hpa Africa Mashariki huwa nikikumbuka Issue ya kenya Pale Nakumatt Mall Jinsi operation ilivyofanyika Hovyo na ukizingatia lilikua ni Eneo ambalo watu wa Usalama wanalifahamu ila Waliishia kuleta HASARA ZAIDI na kugharimu Maisha ya wananchi wasiokua na Hatia..
Israel ya miaka hyo ilifanikisha Mission tough km hii, Ss ktk miaka hii ya Sasa hawa watu si shiDa kabisa!!
 
It was a grate operation na cha kuvutia ni weledi na uwezo wa Israel Army.
Next time put me in your tag list mkuu The bold.
 
Back
Top Bottom