Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Mnachofanya sio fair vipaji vinaendelezwa na sio kuwakandamizi kama ivo.Poleni sana The bold na Niffah.
 
Ndio mkuu,na naomba niweke wazi kapigwa ban ya miezi mitatu!

Panapo majaaliwa tutaonana tena ktk jukwaa hili In Shaa Allah.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] ....!!!!...hii sasa sifaaa...
yaani mpak october 2017...???...
anya way "inna allah maswabillinah"..hakika....
 
Aisee Interview niliifuatilia vyema sana nikawa busy leo nakuja kumalizia kusoma nami niulize naona uzi upo closed
 
Ndio hivyo mkuu.

Nilikuwa nimeandaa Swali langu hii

"Mkuu wewe ni Dini Gani na je Upande huo wa Imani unautendea haki kama ufanyavyo upande wa pili
Namaanisha hata kama sio msomi sana ktk upande wa Imani lakini leo kuna Propaganda nyingi zinaenezwa ktk Hizi imani je nafasi yako ya Uandishi ktk imani yako husika ina fanyiwa kazi?"


Mwisho niwape Pole sana kwa yalowakuta huwa nashangaa Post nyingi humu za Kuilaum CCM ilhali JF yenyewe yahitaji Mamilion ya Post

So Sad
 
Ndio mkuu,na naomba niweke wazi kapigwa ban ya miezi mitatu!

Panapo majaaliwa tutaonana tena ktk jukwaa hili In Shaa Allah.
They can kill you but always they won't destroy what you stand for!.
Ni masikitiko makubwa niliyonayo hila ninachoamini Akili ni Mungu ndo alimpa The bold so binadamu yeyote hawezi ziondoa, poleni sana The bolds family we'll miss you na pengo lenu halitazibiwa kama ilivyowashinda kuziba la kiranga.
 
Back
Top Bottom