Open Letter: Rais Samia, TRA isiyo na Support yako, ni Kifo cha Taifa

Open Letter: Rais Samia, TRA isiyo na Support yako, ni Kifo cha Taifa

Ulisomeaga wapi ujinga na unafiki?

Maelezo yote uliyotoa hapa ni uongo na porojo tu!

Au ni mmoja wa wanufaika wa taskforce mliokuwa mnafaidika na rushwa kupitia vitisho kwa wafanyabiashara.

Kwa sasa tulia. Mama haintatain ujinga! HATAKI KODI ZA DHULUMA.

HAKI HUINUA TAIFA
 
Tuelewe spirit ya Rais kuhusu kodi ni kuwa wigo wa kodi upanuliwe na wawe wabunifu. Lakini pia falsafa ya Rais ni kuwa ukusanyaji wa kodi ufanyike kwa weledi na ufasaha bila kubambakiza kodi na kuwanyanyasa wafanya biashara ambao baadhi wamekimbia nchi na kufanya uchumi kusinyaa. Hivyo, watu wasipotoshe nia njema ya Rais.

Kitendo cha kuchukua mali au fedha za mfanya biashara benki ni kinyume na lengo zuri la ongeza mtaji, ongeza biashara na ongeza kodi (OMOBOK) ILi kuleta maendeleo ya dhati.

Rais yuko sahihi walipa kodi wabadilishe "mindset" zao kuhusu kodi na biashara. Wafanya biashara ni partners wao. Wabadilishe mbinu km ambavyo ukaguzi wa mahesabu CAG walipo kuja na njia mbinu mpya na mbadala

Watoke kwenye enforcement ya kuharasss(reactive) kwenda kwenye proactive. Hii ni pamoja na kuelemisha na kujenga mitizamo chanya na endelevu ya kulipa kodi kuliko sasa. Itafika mahala kodi za nguvu zitakwama kabisa. Kamishna Mkuu wa TRA ana kazi kubwa ya kubadilisha mitizamo na mbinu za utendaji wa watu wake,mifumo ya ufuatiliaji na ushirikishwaji wa jamii badala ya kukaa ofisni na kucheza na makaratasi bila kuzingatia uhalisia wa biashara za watu vinginevyo hakuna mwekezaji atayekuja nchini. TRA msaidie mama acheni kutumia mbinu zilezile katka mazingira mapya. Hii ni pamoja na kurejesha VAT returns.

Rais Hayati Mgafuli aliwahi pia kulionya hili la kunyanyasa wafanya biashara na kupelekea Kichere kamishna mkuu wa wakati ule kumwondoa madarakani na kumteua Katibu Tawala.

Kuhusu kusemea hadhara masuala ya kodi badala ya vikao vya ndani, Rais hafundishwi namna ya kusema so fa masuala ya kisera na maelekezo hutolewa hadhara ili kuweka uwazi.

Kimsingi zingatieni maelekezo ya Rais vinginevyo tunahitaji -total transformation sekta ya kodi. Hata hivyo-Wito -wafanya biashara walipe kodi
 
Mkuu nakubaliana na wewe 100%.Statement za Rais Samia kuhusu ukusanyaji kodi ni msumari wa mwisho katika ukusanyaji kodi na mustakali mzima wa mapato ya serikali. Rais Samia anapaswa kutambua kwamba hakuna mfanyibiashara anayependa kulipa kodi kwa hiari,kwa hiyo her soft approach ni suicide. Hii ina maana kwamba ni lazima mbinu zozote zile zitumike ili kuhakikisha kwamba wafanyibiashara wanalipa kodi,kama hawataki kulipa kwa hiari.

Niseme pia kwamba Rais Samia ana contravesial statements nyingi,hata kwenye sector ya madini,ambazo naamini baadae zitatuletea matatizo.Naomba Mungu tu kwamba statements zake hizo zisiwe zina reflect utendaji wake,otherwise it will be a disaster.

Finally ningemshauri Rais awe makini na hotuba anazotoa,they should not have contravesial statements,unless it is by design.So far naamini kwamba it's a slip of the tongue,sio by design.
 
Wewe si lolote zaidi ya mpigania legacy, wewe ni genge tu wala TRA hawawezi kuandika utopolo uliouandika hapo. Ulikuwa unaona raha sana watu kufunga biashara na kuwa masikini kama wewe ,unaposikia hali ya hewa nzuri inakuja upande wao ndipo sasa roho yako mbaya inakuuma.

Mama Samia hakutoa maelekezo ya kuacha kulipa kodi,, kama TRA hawakusanyi kodi huo ni udhaifu wao na wanapaswa kuwajibishwa.

Ila nakufahamu msimamo wako umekaa upande wa kutetea ule ukatili uliokuwa unakulisha wewe na familia yako.
Uovu wenu wa kunyanyasa watu umekwisha,, nenda katubu umrudie Muumba wako.
 
Wakenya wana piga kazi sana ukweli ndio huo sisi tumezoea dhuluma hatujui kufuata sheria Kenya wana jua haki ya kisheria kuliko sisi!
TRA ipewe wakenya tu watafuata sheria bila kudhulumiwa serikali wala wafanya biashara!
mimi bado sielewi unazungumzia nini mkuu. Hivi umeielewa mada vizuri.
 
kwa uchunguzi wangu, nimegundua kuna taasisi nyingi za serikali wanamhujumu mama. kama TRA wamevunjwa nguvu ya kukusanya, na wameamua kukaa tu kimya ili mapato yapungue na maza ajue cha kufanya. hilo bomu lipo na linakuja. nasema hivi kwasababu hakuna mtu anayeweza kulipa kodi kwa hiari, bila kushurutishwa kwa nchi zetu, ulaya sawa ila hapa hata mimi nalipa kodi kwa mbinde, kama hakuna kulazimishwa na fujo kidogo nakwepa vizuri tu. nafikiri mama anatakiwa atoe tamko kuwa aliposema wafanya biashara wasinyanyaswe nia haikuwa wasilipe kodi, mtu asiyelipa kodi ni kosa la jinai anatakiwa akamatwe. \

kama wanataka kurudisha wafanyabiashara, wapunguze makodi hayo ili tukusanye kwa watu wengi hata kama kidogokidogo, ili wafanyabiashara wasikimbie. na hicho kidogo tutakusanya kwa nguvu. EFD zitumike na anayenunua na kuuza bila hizo akamatwe. Magu alifanikiwa katika hili ndio maana tumeishi bila mikopo kwa muda mrefu tukitumia hela zetu wenyewe.
 
Watu waliomshauri kuhusu hili swala wana nia ya kumkwamisha..na hakika atakwama kama hatarudi nyuma.
Mnataka aige mtindo wa unyanyasaji au siyo? Aunde task force ifungie watu biashara, iwashtaki watu kesi za kutakatisha fedha, ifungie watu account zao ,, ichote hela za watu kwenye account zao kwa nguvu eeh?

Siku za uovu zimeshapita,, hamtaki hameni nchi.
 
Mhe Rais, naomba utumie dakika chache kusoma barua hii wewe mwenyewe, na kama hautapata muda naomba wasaidizi wako wakusaidie kuusoma na kukufikikishia.

Naandika haya kama Raia aliye na wasiwasi baada ya kutafakari kwa kina juu ya "TONE" yako uliyokwishaitoa hadharani kuhusu taasisi hii nyeti inayokusanya mapato ya nchi.

Pia ni baada ya kukaa na baadhi ya maafisa kodi ambao wanakiri kwamba toka kauli yako kazi yao imekuwa ngumu kupindukia. Na wanasema kabisa wamekaa benchi tu wanasikilizia!!!.

Mhe. Rais, kwa sasa kuna mambo makuu mawili yanayotokea ambayo sidhani kama umeshayajua.

i) Wafanyabiashara wameacha kutoa risiti za EFD na ukiwadai wanasema kabisa WASISUMBULIWE maana Rais wao ameshatoa maelekezo hayo. Wapo HOLIDAY!!.

Hata TRA wenyewe wamecancel mazoezi ya ku-enforce utoaji risiti. Maana wanajua wakienda watabagazwa!

Swali kubwa hapa, Je, Kodi gani itakusanywa na nchi bila watu kutoa risiti? Unawezaje kutrack mauzo ya mlipa kodi bila kutoa risiti ya EFD?

ii) Wafanyabiashara hawapeleki tena malipo ya kodi kwa kama kasi ya awali, kila mmoja ameset mind ya kupinga kodi maana anaona kama kile alichokadiriwa si sahihi baada ya kauli ya Rais.

Wataalam wenyewe wanasema impact yake itaonekana katika taarifa za mapato mwezi huu na ijayo!.

Mhe Rais, katika taasisi zote chini yako zinazohitaji Top Level Presidential Support ya moja kwa moja ni Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Bila TRA yenye support ya Rais, Taifa linakufa, na hakika litashindwa kufikia malengo yake.

Ni sawa na katika taasisi za kawaida, kitengo ambacho kinaleta mapato kwa taasisi, ndicho Mkurugenzi Mkuu hukitolea macho na kukipa support yote inayohitajika ili aweze kufikia malengo yake kibiashara.

Mhe Rais, sitaki kurejea katika maagizo yako ya nyuma kuhusu namna TRA wanavyofanya kazi ambayo uliyatoa hadharani, ila ningekuwa mmoja wa washauri wako ningeshauri usiongee sentensi zile hadharani bali uongee moja kwa moja na Viongozi na Wafanyakazi wa TRA indoors.

Kwa nini??. Kwa sababu nature ya mfanyabiashara ni kulalamika na kuficha mapato yake halisi. Hakuna mfanyabiashara hata mmoja aliye genuine ya kipato chake, Popote duniani. Hakuna!

Mhe. Rais, unaweza kukuta mfanyabiashara anafanya biashara yenye mauzo ya Billioni 2 anadeclare faida ya milioni 4, Seriously?

Katika mazingira hayo unahitaji Taasisi yenye nguvu na mamlaka ili iweze kutafuta wapi mtu huyu alipodanganya ili Serikali iweze kukusanya kodi yake. Otherwise, utachukua hio hio Milioni 4 alafu maisha yanaendelea wakati kwa hakika labda mtu huyo alipaswa kulipa milioni 50.

Mwisho:
Natambua kupitia maneno ya Makamu wako, Mhe. Mpango, umeweka malengo ya Trillion 2 kwa Mwezi, lakini ukweli ni kwamba hata kama sheria zitabadilika na baadhi ya kodi kupungua lazima kuna nyingine zitapanda ili kufikia lengo la Trillion 2. Sasa nani atatumika kuenforce ukusanyaji huo? Je ni hao hao TRA? Je wataweza ku-enforce huo ukusanyaji bila support yako? Au kuna watu wanaku-sabotage ili ushindwe kufikia malengo hayo?.

Naomba kuhitimisha kwa kukushukuru kwa muda wako.

Wako,
Raia aliye na wasiwasi.
15 April, 2021

Nakala:
Mhe Makamu wa Rais
Mhe Waziri Mkuu
Mhe Waziri wa Fedha
Kamishna wa TRA.
Ulipoonekana hajua chochote ni hapo uliposema kuwa unaweza kuona mtu anafanya biashara ya mtaji wa bilioni, halafu anadeclaire alipata faida ya ya sh 4m. Haileweki ulitaka kusema nini! Kwa fikra zako ni kuwa haiwezekani kufanya biashara ya bilionib10 halafu faida ikawa 4m tu? Hujui kuwa kuna uwezekano wa kupata zero profit au hata loss?

Hatitaki wafanyabiashara wadanganye, lakinibkama kigezo cha kukadiria kodi unaangalia tu mtaji, basi huko TRA kuna watu wa ajabu sana.

Nilianzisha mradi kwa gharama ya sh 800m, mpaka leo, sijapata faida, na ninaendelea kutumbukiza pesa kwenye mradi.
 
Ulisomeaga wapi ujinga na unafiki?

Maelezo yote uliyotoa hapa ni uongo na porojo tu!

Au ni mmoja wa wanufaika wa taskforce mliokuwa mnafaidika na rushwa kupitia vitisho kwa wafanyabiashara.

Kwa sasa tulia. Mama haintatain ujinga! HATAKI KODI ZA DHULUMA.

HAKI HUINUA TAIFA
Kama nimekuelewa hivi hasa hapo uliposema "TASK FORCE" hii ilitumika vibaya, ilinyanyasa na kudhulumu sana wafanya biashara,maana watu walifinywa na pesa kuchukuliwa kwenye akaunti zao bila huruma wakidhani kila mwenye pesa basi kaiba au kakwepa kulipa kodi njia ambayo haikuwa sahihi.
 
Mhe Rais, naomba utumie dakika chache kusoma barua hii wewe mwenyewe, na kama hautapata muda naomba wasaidizi wako wakusaidie kuusoma na kukufikikishia.

Naandika haya kama Raia aliye na wasiwasi baada ya kutafakari kwa kina juu ya "TONE" yako uliyokwishaitoa hadharani kuhusu taasisi hii nyeti inayokusanya mapato ya nchi.

Pia ni baada ya kukaa na baadhi ya maafisa kodi ambao wanakiri kwamba toka kauli yako kazi yao imekuwa ngumu kupindukia. Na wanasema kabisa wamekaa benchi tu wanasikilizia!!!.

Mhe. Rais, kwa sasa kuna mambo makuu mawili yanayotokea ambayo sidhani kama umeshayajua.

i) Wafanyabiashara wameacha kutoa risiti za EFD na ukiwadai wanasema kabisa WASISUMBULIWE maana Rais wao ameshatoa maelekezo hayo. Wapo HOLIDAY!!.

Hata TRA wenyewe wamecancel mazoezi ya ku-enforce utoaji risiti. Maana wanajua wakienda watabagazwa!

Swali kubwa hapa, Je, Kodi gani itakusanywa na nchi bila watu kutoa risiti? Unawezaje kutrack mauzo ya mlipa kodi bila kutoa risiti ya EFD?

ii) Wafanyabiashara hawapeleki tena malipo ya kodi kwa kama kasi ya awali, kila mmoja ameset mind ya kupinga kodi maana anaona kama kile alichokadiriwa si sahihi baada ya kauli ya Rais.

Wataalam wenyewe wanasema impact yake itaonekana katika taarifa za mapato mwezi huu na ijayo!.

Mhe Rais, katika taasisi zote chini yako zinazohitaji Top Level Presidential Support ya moja kwa moja ni Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Bila TRA yenye support ya Rais, Taifa linakufa, na hakika litashindwa kufikia malengo yake.

Ni sawa na katika taasisi za kawaida, kitengo ambacho kinaleta mapato kwa taasisi, ndicho Mkurugenzi Mkuu hukitolea macho na kukipa support yote inayohitajika ili aweze kufikia malengo yake kibiashara.

Mhe Rais, sitaki kurejea katika maagizo yako ya nyuma kuhusu namna TRA wanavyofanya kazi ambayo uliyatoa hadharani, ila ningekuwa mmoja wa washauri wako ningeshauri usiongee sentensi zile hadharani bali uongee moja kwa moja na Viongozi na Wafanyakazi wa TRA indoors.

Kwa nini??. Kwa sababu nature ya mfanyabiashara ni kulalamika na kuficha mapato yake halisi. Hakuna mfanyabiashara hata mmoja aliye genuine ya kipato chake, Popote duniani. Hakuna!

Mhe. Rais, unaweza kukuta mfanyabiashara anafanya biashara yenye mauzo ya Billioni 2 anadeclare faida ya milioni 4, Seriously?

Katika mazingira hayo unahitaji Taasisi yenye nguvu na mamlaka ili iweze kutafuta wapi mtu huyu alipodanganya ili Serikali iweze kukusanya kodi yake. Otherwise, utachukua hio hio Milioni 4 alafu maisha yanaendelea wakati kwa hakika labda mtu huyo alipaswa kulipa milioni 50.

Mwisho:
Natambua kupitia maneno ya Makamu wako, Mhe. Mpango, umeweka malengo ya Trillion 2 kwa Mwezi, lakini ukweli ni kwamba hata kama sheria zitabadilika na baadhi ya kodi kupungua lazima kuna nyingine zitapanda ili kufikia lengo la Trillion 2. Sasa nani atatumika kuenforce ukusanyaji huo? Je ni hao hao TRA? Je wataweza ku-enforce huo ukusanyaji bila support yako? Au kuna watu wanaku-sabotage ili ushindwe kufikia malengo hayo?.

Naomba kuhitimisha kwa kukushukuru kwa muda wako.

Wako,
Raia aliye na wasiwasi.
15 April, 2021

Nakala:
Mhe Makamu wa Rais
Mhe Waziri Mkuu
Mhe Waziri wa Fedha
Kamishna wa TRA.

Mleta mada atakuwa ni afisa wa TRA tena waliozowea zile dhuluma zaidi kwa maslahi yao wala si ya nchi.

Bila shaka mama anatambua jitihada za wengi kupima maji na pia kujitathmini watoke vipi ili mama awaone na mumo humo waendelee na upigaji waliouzowea.

Mama shikilia hapo hapo. Sheria zifuatwe na kodi za dhuluma big NO!
 
Mhe Rais, naomba utumie dakika chache kusoma barua hii wewe mwenyewe, na kama hautapata muda naomba wasaidizi wako wakusaidie kuusoma na kukufikikishia.

Naandika haya kama Raia aliye na wasiwasi baada ya kutafakari kwa kina juu ya "TONE" yako uliyokwishaitoa hadharani kuhusu taasisi hii nyeti inayokusanya mapato ya nchi.

Pia ni baada ya kukaa na baadhi ya maafisa kodi ambao wanakiri kwamba toka kauli yako kazi yao imekuwa ngumu kupindukia. Na wanasema kabisa wamekaa benchi tu wanasikilizia!!!.

Mhe. Rais, kwa sasa kuna mambo makuu mawili yanayotokea ambayo sidhani kama umeshayajua.

i) Wafanyabiashara wameacha kutoa risiti za EFD na ukiwadai wanasema kabisa WASISUMBULIWE maana Rais wao ameshatoa maelekezo hayo. Wapo HOLIDAY!!.

Hata TRA wenyewe wamecancel mazoezi ya ku-enforce utoaji risiti. Maana wanajua wakienda watabagazwa!

Swali kubwa hapa, Je, Kodi gani itakusanywa na nchi bila watu kutoa risiti? Unawezaje kutrack mauzo ya mlipa kodi bila kutoa risiti ya EFD?

ii) Wafanyabiashara hawapeleki tena malipo ya kodi kwa kama kasi ya awali, kila mmoja ameset mind ya kupinga kodi maana anaona kama kile alichokadiriwa si sahihi baada ya kauli ya Rais.

Wataalam wenyewe wanasema impact yake itaonekana katika taarifa za mapato mwezi huu na ijayo!.

Mhe Rais, katika taasisi zote chini yako zinazohitaji Top Level Presidential Support ya moja kwa moja ni Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Bila TRA yenye support ya Rais, Taifa linakufa, na hakika litashindwa kufikia malengo yake.

Ni sawa na katika taasisi za kawaida, kitengo ambacho kinaleta mapato kwa taasisi, ndicho Mkurugenzi Mkuu hukitolea macho na kukipa support yote inayohitajika ili aweze kufikia malengo yake kibiashara.

Mhe Rais, sitaki kurejea katika maagizo yako ya nyuma kuhusu namna TRA wanavyofanya kazi ambayo uliyatoa hadharani, ila ningekuwa mmoja wa washauri wako ningeshauri usiongee sentensi zile hadharani bali uongee moja kwa moja na Viongozi na Wafanyakazi wa TRA indoors.

Kwa nini??. Kwa sababu nature ya mfanyabiashara ni kulalamika na kuficha mapato yake halisi. Hakuna mfanyabiashara hata mmoja aliye genuine ya kipato chake, Popote duniani. Hakuna!

Mhe. Rais, unaweza kukuta mfanyabiashara anafanya biashara yenye mauzo ya Billioni 2 anadeclare faida ya milioni 4, Seriously?

Katika mazingira hayo unahitaji Taasisi yenye nguvu na mamlaka ili iweze kutafuta wapi mtu huyu alipodanganya ili Serikali iweze kukusanya kodi yake. Otherwise, utachukua hio hio Milioni 4 alafu maisha yanaendelea wakati kwa hakika labda mtu huyo alipaswa kulipa milioni 50.

Mwisho:
Natambua kupitia maneno ya Makamu wako, Mhe. Mpango, umeweka malengo ya Trillion 2 kwa Mwezi, lakini ukweli ni kwamba hata kama sheria zitabadilika na baadhi ya kodi kupungua lazima kuna nyingine zitapanda ili kufikia lengo la Trillion 2. Sasa nani atatumika kuenforce ukusanyaji huo? Je ni hao hao TRA? Je wataweza ku-enforce huo ukusanyaji bila support yako? Au kuna watu wanaku-sabotage ili ushindwe kufikia malengo hayo?.

Naomba kuhitimisha kwa kukushukuru kwa muda wako.

Wako,
Raia aliye na wasiwasi.
15 April, 2021

Nakala:
Mhe Makamu wa Rais
Mhe Waziri Mkuu
Mhe Waziri wa Fedha
Kamishna wa TRA.
Wewe utakuwa ni afisa was TRA na tumekuelewa.
Mshauri Mhe.Rais afute sheria kandamizi za kodi zilizopendekezwa na task force na kupitishwa na wabunge ambazo ndizo zimesababisha kilio kwa walipa kodi.
 
Mhe Rais, naomba utumie dakika chache kusoma barua hii wewe mwenyewe, na kama hautapata muda naomba wasaidizi wako wakusaidie kuusoma na kukufikikishia.

Naandika haya kama Raia aliye na wasiwasi baada ya kutafakari kwa kina juu ya "TONE" yako uliyokwishaitoa hadharani kuhusu taasisi hii nyeti inayokusanya mapato ya nchi.

Pia ni baada ya kukaa na baadhi ya maafisa kodi ambao wanakiri kwamba toka kauli yako kazi yao imekuwa ngumu kupindukia. Na wanasema kabisa wamekaa benchi tu wanasikilizia!!!.

Mhe. Rais, kwa sasa kuna mambo makuu mawili yanayotokea ambayo sidhani kama umeshayajua.

i) Wafanyabiashara wameacha kutoa risiti za EFD na ukiwadai wanasema kabisa WASISUMBULIWE maana Rais wao ameshatoa maelekezo hayo. Wapo HOLIDAY!!.

Hata TRA wenyewe wamecancel mazoezi ya ku-enforce utoaji risiti. Maana wanajua wakienda watabagazwa!

Swali kubwa hapa, Je, Kodi gani itakusanywa na nchi bila watu kutoa risiti? Unawezaje kutrack mauzo ya mlipa kodi bila kutoa risiti ya EFD?

ii) Wafanyabiashara hawapeleki tena malipo ya kodi kwa kama kasi ya awali, kila mmoja ameset mind ya kupinga kodi maana anaona kama kile alichokadiriwa si sahihi baada ya kauli ya Rais.

Wataalam wenyewe wanasema impact yake itaonekana katika taarifa za mapato mwezi huu na ijayo!.

Mhe Rais, katika taasisi zote chini yako zinazohitaji Top Level Presidential Support ya moja kwa moja ni Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Bila TRA yenye support ya Rais, Taifa linakufa, na hakika litashindwa kufikia malengo yake.

Ni sawa na katika taasisi za kawaida, kitengo ambacho kinaleta mapato kwa taasisi, ndicho Mkurugenzi Mkuu hukitolea macho na kukipa support yote inayohitajika ili aweze kufikia malengo yake kibiashara.

Mhe Rais, sitaki kurejea katika maagizo yako ya nyuma kuhusu namna TRA wanavyofanya kazi ambayo uliyatoa hadharani, ila ningekuwa mmoja wa washauri wako ningeshauri usiongee sentensi zile hadharani bali uongee moja kwa moja na Viongozi na Wafanyakazi wa TRA indoors.

Kwa nini??. Kwa sababu nature ya mfanyabiashara ni kulalamika na kuficha mapato yake halisi. Hakuna mfanyabiashara hata mmoja aliye genuine ya kipato chake, Popote duniani. Hakuna!

Mhe. Rais, unaweza kukuta mfanyabiashara anafanya biashara yenye mauzo ya Billioni 2 anadeclare faida ya milioni 4, Seriously?

Katika mazingira hayo unahitaji Taasisi yenye nguvu na mamlaka ili iweze kutafuta wapi mtu huyu alipodanganya ili Serikali iweze kukusanya kodi yake. Otherwise, utachukua hio hio Milioni 4 alafu maisha yanaendelea wakati kwa hakika labda mtu huyo alipaswa kulipa milioni 50.

Mwisho:
Natambua kupitia maneno ya Makamu wako, Mhe. Mpango, umeweka malengo ya Trillion 2 kwa Mwezi, lakini ukweli ni kwamba hata kama sheria zitabadilika na baadhi ya kodi kupungua lazima kuna nyingine zitapanda ili kufikia lengo la Trillion 2. Sasa nani atatumika kuenforce ukusanyaji huo? Je ni hao hao TRA? Je wataweza ku-enforce huo ukusanyaji bila support yako? Au kuna watu wanaku-sabotage ili ushindwe kufikia malengo hayo?.

Naomba kuhitimisha kwa kukushukuru kwa muda wako.

Wako,
Raia aliye na wasiwasi.
15 April, 2021

Nakala:
Mhe Makamu wa Rais
Mhe Waziri Mkuu
Mhe Waziri wa Fedha
Kamishna wa TRA.
Sio kweli, tuwe tunaandika Vitu vyenye uhalisia. ungeweka ushahidi wa mfanyabiashara aliyedaiwa kodi akagoma au akakataa kutoa risiti. Tusizushe mambo kwa faida zetu binafsi
 
Mhe Rais, naomba utumie dakika chache kusoma barua hii wewe mwenyewe, na kama hautapata muda naomba wasaidizi wako wakusaidie kuusoma na kukufikikishia.

Naandika haya kama Raia aliye na wasiwasi baada ya kutafakari kwa kina juu ya "TONE" yako uliyokwishaitoa hadharani kuhusu taasisi hii nyeti inayokusanya mapato ya nchi.

Pia ni baada ya kukaa na baadhi ya maafisa kodi ambao wanakiri kwamba toka kauli yako kazi yao imekuwa ngumu kupindukia. Na wanasema kabisa wamekaa benchi tu wanasikilizia!!!.

Mhe. Rais, kwa sasa kuna mambo makuu mawili yanayotokea ambayo sidhani kama umeshayajua.

i) Wafanyabiashara wameacha kutoa risiti za EFD na ukiwadai wanasema kabisa WASISUMBULIWE maana Rais wao ameshatoa maelekezo hayo. Wapo HOLIDAY!!.

Hata TRA wenyewe wamecancel mazoezi ya ku-enforce utoaji risiti. Maana wanajua wakienda watabagazwa!

Swali kubwa hapa, Je, Kodi gani itakusanywa na nchi bila watu kutoa risiti? Unawezaje kutrack mauzo ya mlipa kodi bila kutoa risiti ya EFD?

ii) Wafanyabiashara hawapeleki tena malipo ya kodi kwa kama kasi ya awali, kila mmoja ameset mind ya kupinga kodi maana anaona kama kile alichokadiriwa si sahihi baada ya kauli ya Rais.

Wataalam wenyewe wanasema impact yake itaonekana katika taarifa za mapato mwezi huu na ijayo!.

Mhe Rais, katika taasisi zote chini yako zinazohitaji Top Level Presidential Support ya moja kwa moja ni Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Bila TRA yenye support ya Rais, Taifa linakufa, na hakika litashindwa kufikia malengo yake.

Ni sawa na katika taasisi za kawaida, kitengo ambacho kinaleta mapato kwa taasisi, ndicho Mkurugenzi Mkuu hukitolea macho na kukipa support yote inayohitajika ili aweze kufikia malengo yake kibiashara.

Mhe Rais, sitaki kurejea katika maagizo yako ya nyuma kuhusu namna TRA wanavyofanya kazi ambayo uliyatoa hadharani, ila ningekuwa mmoja wa washauri wako ningeshauri usiongee sentensi zile hadharani bali uongee moja kwa moja na Viongozi na Wafanyakazi wa TRA indoors.

Kwa nini??. Kwa sababu nature ya mfanyabiashara ni kulalamika na kuficha mapato yake halisi. Hakuna mfanyabiashara hata mmoja aliye genuine ya kipato chake, Popote duniani. Hakuna!

Mhe. Rais, unaweza kukuta mfanyabiashara anafanya biashara yenye mauzo ya Billioni 2 anadeclare faida ya milioni 4, Seriously?

Katika mazingira hayo unahitaji Taasisi yenye nguvu na mamlaka ili iweze kutafuta wapi mtu huyu alipodanganya ili Serikali iweze kukusanya kodi yake. Otherwise, utachukua hio hio Milioni 4 alafu maisha yanaendelea wakati kwa hakika labda mtu huyo alipaswa kulipa milioni 50.

Mwisho:
Natambua kupitia maneno ya Makamu wako, Mhe. Mpango, umeweka malengo ya Trillion 2 kwa Mwezi, lakini ukweli ni kwamba hata kama sheria zitabadilika na baadhi ya kodi kupungua lazima kuna nyingine zitapanda ili kufikia lengo la Trillion 2. Sasa nani atatumika kuenforce ukusanyaji huo? Je ni hao hao TRA? Je wataweza ku-enforce huo ukusanyaji bila support yako? Au kuna watu wanaku-sabotage ili ushindwe kufikia malengo hayo?.

Naomba kuhitimisha kwa kukushukuru kwa muda wako.

Wako,
Raia aliye na wasiwasi.
15 April, 2021

Nakala:
Mhe Makamu wa Rais
Mhe Waziri Mkuu
Mhe Waziri wa Fedha
Kamishna wa TRA.
Ningekuwa Samia ningewabadilishia kazi TRA wote maana mmeanza kuwa na nyodo. Miaka 6 mnanyanyasa Watanzania na kujineemesha binafsi, Rais kawaambia ukweli mnajifanya kununa? Acheni kukusanya kodi, msipofikia malengo kwa ustaarabu mjue Mameneja wa mikoa na Wilaya hawana kazi instantly. Mnaanza kutikisa kiberiti kwa vile mmesemwa uovu wenu? Acheni muone kama mtabaki mlipo, allahhhh!!
 
Kulipa kodi ni takwa la sheria, hao wafanyabiashara wanatakiwa kulipa kodi kutimiza wajibu wao, wakigoma wacha sheria ichukue mkondo wake, hao maafisa wa TRA unaosema wameamua kukaa pembeni kwa kuogopa kubagazwa ni wazembe wanatakiwa kuadhibiwa.
Na wataondoka kwani wasomi wa kodi wameisha nchi hii? Mama kasema wazi tutayumba miezi 6 lakini tutarudi kwenye mstari. Hatuwezi kuendelea kukusanya "Kodi ya damu" kisa tunataka hela.
 
Back
Top Bottom