Uchaguzi 2020 Open letter to the National Electoral Commission of Tanzania

Vimemo kama hivi vinawatisha waonevu, Washaanza kuzuia Ndege zinazoruka na kukatiza nchini bila rubani.
 
Nilikuuliza swali juzi kuhusu Mkapa ambaye alishika nafasi mbali mbali Serikali hadi kuwa Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa maccm.

Kwanini unadhani Mkapa alitoa kauli hadharani ya kuonyesha kutokuwa imani na hiyo tumeccm!?
Mkapa Aliwaitcha Watu Fulani WAPUMBAVU Hahaha R.I.P Baba sasa nakuelewa
 
Mkuu do you have a slightest idea of who is paying this guy ? Maana ni wakili ghali sana duniani! Am sure Lisu hana fedha ya kumlipa.
Truth be told, hata fedha za kujitibu miaka mitatu hakuwanalo... The way I see it, Lissu alilazimika kupata back-up ya watu kutoka nje ya nchi kwani hakuweza kutegemea nguvu ya wananchi pekee... history is a good teacher, anajua wanaomsapoti kwenye mikutano haimaanishi wako tayari kujitolea wawe wahanga itapobidi... so the back-up plan is International support.. ndio siasa za dunia ilivyo miaka nenda rudi... sidhani Lissu is a traitor, bali mazingira yaliyomzunguka ilimlazimisha afanye hivyo... I could br wrong, lakini I see it this way kwa sasa hivi..
 
Reactions: BAK
Huyo Amsterdam anawaharibia sana hamjui tu,siku mkija kushtuka its too late.

Kila siku yeye kuandika barua tu
 
Hivi zile Form zina kitu gani kikubwa kinachohitaji Legal assistance kujaza?

Hebu nionyeshe kifungu cha sheria yoyote ya uchaguzi na kanuni za uchaguzi zinazosema mgombea aenguliwe kwa kushindwa kujaza form ?

Ukinijibu hayo maswali yangu hayo itakuwa vizuri
 
Huyo Amsterdam aache kiherehere!

Uchaguzi wetu yeye unamhusu nini?

Naona kuna kitu anakitafuta. Na atakipata tu...
Wewe nyani ngabu kweli wewe ni nyani. Haiwezekani usione substence ya hiyo barua zaidi ya kukurupuka na kusema kiherehere.
 
Reactions: BAK
Huyo Amsterdam anawaharibia sana hamjui tu,siku mkija kushtuka its too late.

Kila siku yeye kuandika barua tu
Safari hii hakuna pa kujificha. Anatuharibia nini? Kwani watanzania hawana macho ya kuona anachokiongelea Amsterdam? Nakuuliza watanzania hatuna macho ya kuona mpaka useme Amsterdam anatuharibia? Stop manipulation.
 
Reactions: BAK
Safi kabisa, hawa WAHUNI wameonesha dalili za kuvuruga uchaguzi mapema mno. Huu upuuzi wa wagombea wa CCM kupita bila kupingwa ni HUJUMA kwa demokrasia, utawala bora na haki za binadamu.

Hawa WAHUNI ni WAHALIFU, wanapaswa kushitakiwa na kufikishwa kwenye Mahakama za Kimataifa haraka sana.
 
Ok sawa. But they will definitely demand a pay back! An normally resources.
 
Usijipe matumaini hewa; huyo siyo mjomba wako bali anatafuta influence tu.
GADAFI alikua jeuri, kiburi, mwenye ukwasi wa kutosha, majivuno, kejeli na dharau kuliko baba yako Jiwe. Bado anaendelea kutamba?
 
Reactions: BAK
TAFUTA ILE CLIP YA 34 MINUTES YA MWANZA. lISSU NI nOUMAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
 
Mkuu do you have a slightest idea of who is paying this guy ? Maana ni wakili ghali sana duniani! Am sure Lisu hana fedha ya kumlipa.
Wewe hutaki atupiganie tupate UHURU? MITANO YA UTAWALA WA MKONO WA CHUMA INATOSHA.
 
Kinachofurahisha ni kuona hawa imbecile hawashituki wala kujiangaisha na potential impact ya harakati za mwanasheria huyu kwa utawala wao, iwapo watashinda [japo kwa kuiba kura], na Tanzania kwa ujumla, mara baada ya uchaguzi. Wangejua yajayo wasingefanya wafanyayo. wafanyayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…