Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,391
- 21,045
- Thread starter
-
- #21
kwann tusiende more advance na ss ๐๐ ww unaweza kuishi ndoa ya hivi?Mahusiano mengi ya kibongo ni sawa na open relationships tu sema hayako rasmi. Na hii ndio hupelekea watu kuumizana kila uchao. We need to advance ni ngumu sana kwa mwanaume kuwa na wivu na malaya.
Hahahah kwa level ya wivu nilio nao hio itakuwa kipengele! Ila kwa matumizi ya nje ya ndoa Open all the way!!!kwann tusiende more advance na ss ๐๐ ww unaweza kuishi ndoa ya hivi?
๐ ๐ ๐ Tatizo hili.Hahahah kwa level ya wivu nilio nao hio itakuwa kipengele! Ila kwa matumizi ya nje ya ndoa Open all the way!!!
Sio dogo mzee๐ ๐ ๐ Tatizo hili.
Yani ww kushare hutaki unapenda chakwako utumie ww tu ๐ ๐ ๐ ila vyawenzio kiroho safi!Sio dogo mzee
Nimecheka...Kama hajitaki hayo alioyafanya aje afanye na huku kwetu Afrika,ndio atajua kwanini sisi ni weusi na wazungu ni weupe...?
Definitely ๐I need something like this.....!
Unasema.... ๐๐๐๐Kama hajitaki hayo alioyafanya aje afanye na huku kwetu Afrika,ndio atajua kwanini sisi ni weusi na wazungu ni weupe...?
Ipo kaziiiYani ww kushare hutaki unapenda chakwako utumie ww tu ๐ ๐ ๐ ila vyawenzio kiroho safi!
Jada na smith hawana kwa sasa hawana mahusiano ya kimapenzi au kingono ila wanaendelea kuwa pamoja kama partners, in case mmoja wao akataka kuwa na mtu mwingine ni ruksa lakini wanaendelea kuishi pamoja.Ni Ndoa ambayo inaruhusu mtu yeyote anaweza kuwa na mtu mwengine ukiwa nje ya nyumba inaweza vipi kuvunjika wakati unaruhusiwa kudate na mtu yeyote mahusiano ambayo hayana wivu ndio haya.
Duu ushetani uwo.Wenzetu wako tofauti kidogo! Sometimes wanandoa wakiboreka kwenye sex wanatafuta other couple then wanabadalishana wapenzi ili kutafuta ladha mpya. Au wanaweza kununua malaya then wanapiga kitu cha three some.
Pia Kuna Swingers Club.
Umenikumbusha mwaka mmoja jamaa yangu alikuja na rafiki zake wakizungu zilikuwa couple 2 cha kushangaza sasa wale wanaume walimuomba mwenyeji wao awatafutie mwanamke mweusi wanahamu ya kujua ladha yake inakuwaje na kweli walikuja kumchapia pleple home na madem zao wapo sebleni na fresh kabisa no wivu no ugomvi hiyo cha mtoto sasa kuna siku sikuwepo nakuja kurudi usiku jamaa ananiambia na mademu nao walitaka kuchapwa na jamaa wa kiafrika jamaa akaomba ruhusa kwa mabwana zao wakasema it's okey kweli jamaa akatoka si unajua uswahilini wabongo tunavyopenda kitonga fasta tu akarudi na wana bila kujiuliza mara mbili mbili wakajua inaweza tokea fursa ya kwenda mbele kumbe wale wapo kistarehe tu basi wadau wakawachapa sana wale madada wa kizungu walitokea kuwaelewa ikawa wanawahonga honga ila hawakuondoka nao likizo ilipoisha wakaondoka zao ila kuna mmoja aliachiwa shooting camera hadi leo anayo inamuingizia pesa!Duniani kuna mambo sana! Wenzetu Wapo open sana. Kupiga kitu cha threesome sio issue kabisa.
Ni ujana maji ya moto inakusumbua.Ukikua utaacha!
Mkuu ukiingia swingers club si utapagawa kabisa๐๐๐Duu ushetani uwo.