Chabrosy
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 2,632
- 3,150
Ebhana eeeehMkuu ukiingia swingers club si utapagawa kabisa[emoji16][emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebhana eeeehMkuu ukiingia swingers club si utapagawa kabisa[emoji16][emoji16][emoji16]
Funguka kidogo tuelewe.....
DuuhhKamtafuna hakuna kiki hapo mwaka mzima walikuwa wanatumiana huku mumewe alikuwa akijua kuwa mke wake anatoka na mchizi.
HahahahahahWenzetu wako tofauti kidogo! Sometimes wanandoa wakiboreka kwenye sex wanatafuta other couple then wanabadalishana wapenzi ili kutafuta ladha mpya. Au wanaweza kununua malaya then wanapiga kitu cha three some.
Pia Kuna Swingers Club.
Hiyo safi sanaNi Ndoa ambayo inaruhusu mtu yeyote anaweza kuwa na mtu mwengine ukiwa nje ya nyumba inaweza vipi kuvunjika wakati unaruhusiwa kudate na mtu yeyote mahusiano ambayo hayana wivu ndio haya.
LolRoger that!
Bongo ili tufike huko itawalazimu wanawake kutokuwa dependent wawe independent ..haiwezekani mwanaume umuhudumie mwanamke kwa kila kitu halafu umruhusu amegwe na watu wenginekwann tusiende more advance na ss [emoji38][emoji38] ww unaweza kuishi ndoa ya hivi?
Amna wanatafunana kama kawaida mbona hawawezi kushi bila kufanya mapenzi.Jada na smith hawana kwa sasa hawana mahusiano ya kimapenzi au kingono ila wanaendelea kuwa pamoja kama partners, in case mmoja wao akataka kuwa na mtu mwingine ni ruksa lakini wanaendelea kuishi pamoja.
Utaiweza bibie? huna wivu ww kabisa maana mapenzi bila wivu ni jambo lingine kabisa kuweza kuishi.
Una pesa/talent ?Nataka hiyo ndoa na mimi aseee
mwaka jana mbona walikuja Bongo na familia yake walienda serengeti.Katika watu ambao nawakubali yani movie,life, ni will Smith Natamani siku nimuone muhuni live ni kitambo nakubali sana life like yupo vizuri sana kwenye yani anaweza kushawishi kuingia kwenye industry hiyo! Ila kwa upande wa dogo ameharibu kinyama kama ni kweli,
Fuatilia vizuri mkuu. Hawatafunani tena.Amna wanatafunana kama kawaida mbona hawawezi kushi bila kufanya mapenzi.
Will Smith huyu mwanamke anampenda alimchukua kutoka kwa 2pac wakati huo huyu mwanamke alishamwambia will kuwa kama 2pac angekuwepo angesha muacha na asingeweza kuwa naye. Bongo tutafika hii stage mbona 😁😁Bongo ili tufike huko itawalazimu wanawake kutokuwa dependent wawe independent ..haiwezekani mwanaume umuhudumie mwanamke kwa kila kitu halafu umruhusu amegwe na watu wengine
Unauwakika hutokuwa na wivu na mume wako? utaweza vumilia ww akilala na watu wengine huko 😆😆😆Nataka hiyo ndoa na mimi aseee
Sizani kama hivyo vinaitajika hapo? muhimu nikutokuwa na wivu kama hataweza kuvumilia.Una pesa/talent ?
nilibebe jitu nilipeleke wapUtaiweza bibie? huna wivu ww kabisa maana mapenzi bila wivu ni jambo lingine kabisa kuweza kuishi.
wanatafunana mzee ulimsikia will smith alicho sema jana nikuwa kakanusha hizi tarifa zote na kasema hakumpa go ahead Alsina kuwa atembee na mke wake swala la unyumba will anapewa kama kawaida lakini huwezi kufanya mapenzi home tu ni nje ya nyumba ndio unafanya huu upuuzi kwenye hii ndoa yao.Fuatilia vizuri mkuu. Hawatafunani tena.
🤣🤣🤣 basi tafutamwenza wako ufanikishe hili swala.nilibebe jitu nilipeleke wap