Open Marriage ni ndoa ya ajabu sana

Open Marriage ni ndoa ya ajabu sana

Wazazi gani ameshindwa kulea watoto, toto (Jaden) linatamka mbele ya hadhara " I just wanna say Tayler is my boyfriend and I love him so fuvking much, Willow nae haeleweki kabisa

Bure kabisa!
Malezi ya kizungu ukishafikisha miaka 18 unajiamulia unachotaka kufanya hakuna mtu wa kumpelekesha mwenzake Smith anafanya mambo yeke.
 
mwaka jana mbona walikuja Bongo na familia yake walienda serengeti.
Nilibahatika kufanya kazi kwenye crew yake,hapahapa bongo,nakumbuka ilikuwa 2007,alikuja ku shoot na wakapiga kambi arusha,walikodi magari yetu mawili na mimi nikawa naendesha mojawapo,ila kwa wiki takriban mbili walizokuwa hapo nilibahatika kumwona mara mbili tu,siku kadhaa baada ya kuja na siku wanavunja kambi,jamaa yupo simple sana,alikuja kutusalimu na kutuaga,akaisifia sana Tanzania na kuahidi kurudi tena,mwisho tulienda naye kutembelea kiwanda cha nguo cha AtoZ na alipotoka hapo akasepa zake airport kurudi marekani,tulipiga naye picha kadhaa za pamoja,mwingine niliyebahatika kuwa naye kwa karibu ni jamaa anaitwa BONO huyu alikuwa kiongozi na mpiga gita wa kundi la U2,huyu tulizurura naye kwa siku tatu,yeye alikuwa ni balozi wa WHO kwa kanda ya afrika,aliniachia na vijizawadi kadha wa kadha.
 
Nilibahatika kufanya kazi kwenye crew yake,hapahapa bongo,nakumbuka ilikuwa 2007,alikuja ku shoot na wakapiga kambi arusha,walikodi magari yetu mawili na mimi nikawa naendesha mojawapo,ila kwa wiki takriban mbili walizokuwa hapo nilibahatika kumwona mara mbili tu,siku kadhaa baada ya kuja na siku wanavunja kambi,jamaa yupo simple sana,alikuja kutusalimu na kutuaga,akaisifia sana Tanzania na kuahidi kurudi tena,mwisho tulienda naye kutembelea kiwanda cha nguo cha AtoZ na alipotoka hapo akasepa zake airport kurudi marekani,tulipiga naye picha kadhaa za pamoja,mwingine niliyebahatika kuwa naye kwa karibu ni jamaa anaitwa BONO huyu alikuwa kiongozi na mpiga gita wa kundi la U2,huyu tulizurura naye kwa siku tatu,yeye alikuwa ni balozi wa WHO kwa kanda ya afrika,aliniachia na vijizawadi kadha wa kadha.
Basi mwaka jana alikuja tena lakini alifanya siri hakutaka watu wajue ilikuwa party ya kimya kimya.
 
Wazazi gani ameshindwa kulea watoto, toto (Jaden) linatamka mbele ya hadhara " I just wanna say Tayler is my boyfriend and I love him so fuvking much, Willow nae haeleweki kabisa

Bure kabisa!
Hiyo family ina ushetani balaa ..pia huwa inatumika na illuminate kutangaza Sera zao kama Mj alivyokuwa anatumika .. Usishangazwe kabisa na hilo
 
Wenzetu wako tofauti kidogo! Sometimes wanandoa wakiboreka kwenye sex wanatafuta other couple then wanabadalishana wapenzi ili kutafuta ladha mpya. Au wanaweza kununua malaya then wanapiga kitu cha three some.
Pia Kuna Swingers Club.
Hii pia TI na Tinny huwa wanafanya

Yaani wao wanaona kuachana Ni ujinga

Kinachopelekea watu waachane Ni kuchokana na kifungo Cha kukosa ladha za nje .



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom