Rommy Ronny
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 664
- 884
Ukirusha jiwe gizani ukisikia yalaa ujue lime fika, [emoji2] [emoji2] umepatikana mtu mzima chutamaHueleweki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukirusha jiwe gizani ukisikia yalaa ujue lime fika, [emoji2] [emoji2] umepatikana mtu mzima chutamaHueleweki
Zinanivutiaa labdaa nakaribia kuja huko kama fisadi mliepokea na kumgeuza shujaa wenuuuYaani we jamaa sijui ukoje!? Kila siku una ripoti habari za CHADEMA, hivi hauna habari za FISI-M wenzio? Acha umbea kijana, utatafutiwa gogo la kukalishwa upakwe mafuta.. Shauri yako.
Good Akili kubwa imeishampata!! huyu gamba aliyekuwa anataka kuvaa gwandafake
CDM si CDM, CCM si CCM. Mbowe kasema si maamuzi yote ya viongozi yatamfurahisha kila mtu ukiwapo wewe usiyekuwa na kazi ya kufanya zaidi ya kusubiria uambiwe kuandamana. Hata hivyo Mbowe hajashika miguu yako, andamana siku yoyote utakayoichagua..Ndugu Wanachadema Mkoa wa Arusha, sisi ni vijana wenye uchungu na chama chetu ndio maana tuko tayari kuipigania hata kuifia ili tupate ukombozi. Ni sisi tulikesha nje ya mahabusu alipowekwa ndani Kamanda Godbless Lema. Alivyoshinda siku tatu bila kula na sisi tulishinda naye bila kula.
Ndugu wanaChadema chama hiki kimejengwa kwa nguvu za umma yani sisi ndio maana CCM imefutika hapa Arusha. Hakipo.
Tuna uchungu sana. Hapa Arusha tumeshapigwa sana na Policcm tukitetea ukombozi. Wenzetu wameshatangulia mbele za haki. Mungu awarehemu. Yote ni kupigania ukombozi.
Ndugu zetu wanaChadema na Watanzania, hivi karibuni Kamati Kuu chini ya Kamanda Mbowe iliazimia tuandamane nchi nzima na mikutano kupinga Udikteta wa Serikali ya maCCM isiyotaka demolrasia, UKUTA ya Sept Mosi.
Vijana wa Arusha tulijiandaa vilivyo kupambana na Policcm endapo wangetuzuia hadi tone la mwisho la damu yetu. Tuko tayari kuifia haki na demokrasia. Dunia nzima ilijua ni siku ya ukombozi Tanzania.
Ndugu wanaChadema tumesikitishwa sana, tumeumizwa sana, tumefedheheshwa sana na kitendo cha Mbowe kwa hiari yake kusitisha maandamano hayo kwa madai eti ameombwa na viongozi wa dini na Lowassa naye ameombwa na familia ya Nyerere tuache kuandamana.
Ndugu wanaChadema, popote mlipo hata nje ya nchi tumechunguza hata kuongea na baadhi ya viongozi wa dini aliowataja Mbowe wamekataa hawakuongea naye hivyo Mbowe ni mwongo. Hata familia ya baba wa Taifa wamekataa hawakuongea chochote kuhusu Ukuta.
Tunatambua heshima ya Lowassa kwa chama. Lakini ni dhahiri Mbowe anamwogopa Lowassa. Lowassa bado ana maslahi binafsi na CCM ndio maana hapendi uharakati ambayo ndiyo asili ya Chadema na chama chochote cha upinzani. Tazameni Garbon.
Lowassa anatuletea siasa za Ccm. Anataka tufanane nao mafisadi. Arudi alikotoka.
Maandalizi ya UKUTA Sept 1 imegharimu chama mamilioni ya shilingi ilhali wilaya kibao hatuna ofisi, tumepanga na tunadaiwa kodi. Nani atarusisha fedha hizi?
Mbowe amelewa madaraka ya Uenyekiti wa Chadema. Sisi vijana kwa umoja wetu tunamtaka Mbowe na Lowassa wakae pembeni ili kamanda Lissu atuongoze. Hatuwezi kubembeleza haki yetu.
Tunamtaka aondoke na Lowassa wake atuachie chama. Kinyume cha hapo tumeamua kujichangisha fedha tutaenda kwa Msajili Dar es salaam atusajili kama CHADEMA-ASILI.
Akiondoka hata leo hatutafikia huko. Tulianza na Mungu tutamaliza na Mungu. Vijana wengine wa mikoa mingine mtuunge mkono kama Singida na Kagera ambao nao Wako mbioni kutoa matamko.
Ahsanteni
John Ole Kaparo
Mwenyekiti wa Muda
Kamati ya Kudai Chadema Asili (KAKUCHA)
Vipi Imekuingia?ahahaha!Hueleweki
Umemgonga Nyoka Kichwani,Sijui Kama Atainuka!ahahahaView attachment 392405 HIYO PROFILE YAKO INAONYESHA WEWE NI CCM NA POST ZAKO NI ZA KICCM ZAIDI. SASA UTAJITENGAJE KUTOKA CHADEMA AMBAYO WEWE SI MWANACHAMA?
ahahaha!Hueleweki
Asante Mkuu!
Iramba poleVipi Imekuingia?ahahaha!
Umemgonga Nyoka Kichwani,Sijui Kama Atainuka!ahahaha
ahahaha!
Asante Mkuu!
Funza akiacha kushinda chooni anaweza kuwa soseji
Blv me nifaa badilika
Mkuu hivi unaaamini kabisa chadema kuna watu wenye think tank kubwa kweliJuzi tu mlileta habari kuwa vijana wa arusha wanaupinga UKUTA, Leo tena watu wale wale mnaleta habari kuwa vijana wa Arusha wanalalamika UKUTA kuhairishwa.
Hivi nyie uvccm mnadhani watu wote ni vichwa maji kama nyie?