Tetesi: Operation KAKUCHA yazaliwa Arusha baada ya UKUTA kuyeyuka

Tetesi: Operation KAKUCHA yazaliwa Arusha baada ya UKUTA kuyeyuka

Status
Not open for further replies.
Yaani we jamaa sijui ukoje!? Kila siku una ripoti habari za CHADEMA, hivi hauna habari za FISI-M wenzio? Acha umbea kijana, utatafutiwa gogo la kukalishwa upakwe mafuta.. Shauri yako.
Zinanivutiaa labdaa nakaribia kuja huko kama fisadi mliepokea na kumgeuza shujaa wenuuu
 
Ingieni barabarani muandamane mkutane na vijana wa kazi wakang'oe kakucha kinu hako kanako wawasha.
 
1472827345573.png
 
Kiongozi nimegoogle ila hakuna supportive links za elimu uliyopitia nimeikuta hiyo tu.
 
Mleta Thread ushambiwa mara hii na buku 3/7 au huknywa bia nabhatimaye umekunywa piwa na chmpuni na kula haramu??
Vijana wa CDM ni Great Thinkers and NOT stomach Thinkers and Seekers kama huko mliko nyimwa akili na maarifa na Allah pamoja na laana za Watz.
Unanikumbusha ng'ombe wetu alivimbiwa kwa kula malailoni sasa wewe sijui umekula nini na ili tubidi tumtoboe TUMBO kutoa Carbondioxide sasa sijui wewe na tukufanyie kama yule ng'ombe wetu kukunusuru au tukuache fe na dhambi zako ikiwemo kutumika vibaya???
 
Rubbish,
Ndugu Wanachadema Mkoa wa Arusha, sisi ni vijana wenye uchungu na chama chetu ndio maana tuko tayari kuipigania hata kuifia ili tupate ukombozi. Ni sisi tulikesha nje ya mahabusu alipowekwa ndani Kamanda Godbless Lema. Alivyoshinda siku tatu bila kula na sisi tulishinda naye bila kula.

Ndugu wanaChadema chama hiki kimejengwa kwa nguvu za umma yani sisi ndio maana CCM imefutika hapa Arusha. Hakipo.
Tuna uchungu sana. Hapa Arusha tumeshapigwa sana na Policcm tukitetea ukombozi. Wenzetu wameshatangulia mbele za haki. Mungu awarehemu. Yote ni kupigania ukombozi.

Ndugu zetu wanaChadema na Watanzania, hivi karibuni Kamati Kuu chini ya Kamanda Mbowe iliazimia tuandamane nchi nzima na mikutano kupinga Udikteta wa Serikali ya maCCM isiyotaka demolrasia, UKUTA ya Sept Mosi.

Vijana wa Arusha tulijiandaa vilivyo kupambana na Policcm endapo wangetuzuia hadi tone la mwisho la damu yetu. Tuko tayari kuifia haki na demokrasia. Dunia nzima ilijua ni siku ya ukombozi Tanzania.

Ndugu wanaChadema tumesikitishwa sana, tumeumizwa sana, tumefedheheshwa sana na kitendo cha Mbowe kwa hiari yake kusitisha maandamano hayo kwa madai eti ameombwa na viongozi wa dini na Lowassa naye ameombwa na familia ya Nyerere tuache kuandamana.

Ndugu wanaChadema, popote mlipo hata nje ya nchi tumechunguza hata kuongea na baadhi ya viongozi wa dini aliowataja Mbowe wamekataa hawakuongea naye hivyo Mbowe ni mwongo. Hata familia ya baba wa Taifa wamekataa hawakuongea chochote kuhusu Ukuta.

Tunatambua heshima ya Lowassa kwa chama. Lakini ni dhahiri Mbowe anamwogopa Lowassa. Lowassa bado ana maslahi binafsi na CCM ndio maana hapendi uharakati ambayo ndiyo asili ya Chadema na chama chochote cha upinzani. Tazameni Garbon.
Lowassa anatuletea siasa za Ccm. Anataka tufanane nao mafisadi. Arudi alikotoka.

Maandalizi ya UKUTA Sept 1 imegharimu chama mamilioni ya shilingi ilhali wilaya kibao hatuna ofisi, tumepanga na tunadaiwa kodi. Nani atarusisha fedha hizi?

Mbowe amelewa madaraka ya Uenyekiti wa Chadema. Sisi vijana kwa umoja wetu tunamtaka Mbowe na Lowassa wakae pembeni ili kamanda Lissu atuongoze. Hatuwezi kubembeleza haki yetu.
Tunamtaka aondoke na Lowassa wake atuachie chama. Kinyume cha hapo tumeamua kujichangisha fedha tutaenda kwa Msajili Dar es salaam atusajili kama CHADEMA-ASILI.

Akiondoka hata leo hatutafikia huko. Tulianza na Mungu tutamaliza na Mungu. Vijana wengine wa mikoa mingine mtuunge mkono kama Singida na Kagera ambao nao Wako mbioni kutoa matamko.

Ahsanteni
John Ole Kaparo
Mwenyekiti wa Muda
Kamati ya Kudai Chadema Asili (KAKUCHA)
CDM si CDM, CCM si CCM. Mbowe kasema si maamuzi yote ya viongozi yatamfurahisha kila mtu ukiwapo wewe usiyekuwa na kazi ya kufanya zaidi ya kusubiria uambiwe kuandamana. Hata hivyo Mbowe hajashika miguu yako, andamana siku yoyote utakayoichagua..
 
Juzi tu mlileta habari kuwa vijana wa arusha wanaupinga UKUTA, Leo tena watu wale wale mnaleta habari kuwa vijana wa Arusha wanalalamika UKUTA kuhairishwa.

Hivi nyie uvccm mnadhani watu wote ni vichwa maji kama nyie?
Mkuu hivi unaaamini kabisa chadema kuna watu wenye think tank kubwa kweli

Moja kati ya muujiza uliopo chadema ni profesa baregu kuaamrishwa na profesa mbowe ha ha ha
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom