Tetesi: Operation KAKUCHA yazaliwa Arusha baada ya UKUTA kuyeyuka

Status
Not open for further replies.
W
Jina lako hata ndani ya chadema tawi hautambuliki, nenda kwa maccm wenzako usijifanye wewe ni chadema
 
Labda aanzishe KADOLE na sio KAKUCHA

KADOLE kamati ya dodoma leo

Kamati hii kazi yake kubwa ni kusema uongo pale makao makuu sisiemu
 
Mnaanzaga hivihivi kugawanyika..endeleeni tu[emoji16]
 
Mkuu hivi unaaamini kabisa chadema kuna watu wenye think tank kubwa kweli

"kuna watu wenye think tank kubwa"

Hicho nini sasa? Kwani unafikiri think tank ni kama litanki likubwa linalokaa ndani ya kichwa? Alafu hapo nana wewe ndio kiongozi ndani ya chichiemu yenu hiyo? chaa! Hili taifa jamani, ni huzuni sana...
 
Upuuzi....ila poah wafu zikaneni!!!!
 
Hivi mmeshajua kiingereza au bado mnaleta ujinga humu??

To do you do you you say I do me

Huhuhuuu
 
Kwa nini ccm wamekuwa waoga kiasi hiki kwa ajili ya Lowasa Mbowe na CHADEMA. Je walishinda kweli hawa?
 
Uchochezi.
Uchochezi
Uchochezi.
Uchochezi.
Uchochezi.
Uchochezi huoooooooo.

Hatua kali zichukuliwe.
Hatutaki watu wa kuwashawishi watu matumizi ya nguvu wakati hii ni nchi ya amani na kuna vyombo vya sheria.
Uongozi wa Chadema na Jeshi la polisi wamtafuye huyu mchochezi ili iwe fundisho.
Awamu hii sio ya ile ya maandamano waliozoea Arusha.
Arusha ni kaeneo kadogo tu kasisababishe amani ya nchi ikatoweka.
Nasema huyu ni mchochezi. Rais wetu kama kweli hajaribiwi waanze na huyu mleta mada.
Amani ya nchi ni pamoja na kuwatia gerezani hawa wanaovuruga amani kwenye vyama vya siasa kwa kutoa matamko ya kichochezi.
 
Shairi ngonjera au
 
Hueleweki
Punbguza japo kidogo UPUUZI wa ki CCM hapa
Tunahitaji mjadala mkubwa kuhusu CHADEMA yetu lkn sio kutoka kwa wana UVCCM kama ww
Ona saa unavyo aibika tu
Ingekuwa ile JF ya zamani ww ungefukuzwa hapa kwa uongo
Wewe ni mwana UVCCM unaleta uchonganishi kwa habari za CHADEMA
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hivi nyie vijana huwa mnapewa nini pale Lumumba?
Sio kwa kujitoa huku akili!

Wewe sio Mwanachadema,acha kutuharibia amani iliyopo ndani ya chama chetu.
CDM ilishafariki siku alipofanyiwa uhuni Dr Slaa!
 
Wanajamvi mpoooooo ....

Baada ya FUKUTO la kile kilichoitwa UKUTA kuingia mdudu .... baadhi ya wajiitao "Makamanda asili" wameanza VUGUVUGU la kudai chadema ileeeeeeeeeee ya miaka flani ambayo UFISADI ulipingwa kwa ngumi hadi mateke ..... kiasi cha MAJINA YA MAFISADI kuwekwa ktk tovuti .....

Kumekucha ngoja niagize BISI niendelee kuicheki hii SERIES EPISODE YA PILI
 
Kweli njaa inawaharibu akili vijana unaandika uzi viungo vyote umeviachia huku ukiagiza bisi ukisubiri matokeo ya umbea ulioupeleka nyumba ya pili utakuwaje...cha ajabu huyo msajili wa vyama hajui kama kuna kitu kinaitwa Chadema asilia
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…