Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Umetumia neno zuri sana. Nikuulize wewe uliyaona mazingira sawia ya ushindani??2025 CCM tena wanakushindeni
Akijibu nistueUmetumia neno zuri sana. Nikuulize wewe uliyaona mazingira sawia ya ushindani??
Ukiweza ebu leta matokeo ya jumla kujustify ushindi wa ccm 2020!
uongo utakusaidia nini ?Namuona Lisu pembeni kavaa kapelo, hii ilikuwa ni kipindi cha uchaguzi mkuu lkn mleta mada anataka kutuaminisha kuwa ni ya leo au jana. Style hii ya kujipiga changa la macho wenyewe ndo inayorudisha upinzani nyuma miaka yote, kwan watanzania wa sasa wako makini kuliko wakati wowote ule.
Magufuli alisema chadema itakufa akajikuta anakufa yeye na kuiacha chadema ikiwa hai.Wananchi ambao hawana barakoa wala hawajachanjwa corona wanazuiaje msafara wa Dj aliyechanjwa?
Ujinga mtupu
Ina maana humfahamu TL?Namuona Lisu pembeni kavaa kapelo, hii ilikuwa ni kipindi cha uchaguzi mkuu lkn mleta mada anataka kutuaminisha kuwa ni ya leo au jana. Style hii ya kujipiga changa la macho wenyewe ndo inayorudisha upinzani nyuma miaka yote, kwan watanzania wa sasa wako makini kuliko wakati wowote ule.
Aliyetaka upinzani ufe yeye ndiyo kafaUpinzani utabaki kuwa juu siku zote!!! Safi sana
Pasi na katiba mpya wala tume huru ya uchaguzi lazima CCM ishinde kwa kishindoooo.2025 CCM tena wanakushindeni
Tume hii hii na katiba yake ndio iliyokuwa inawapa ushindi Mbowe, Lisu, Zito na wabunge wengine wa vyama vya upinzani kwa zaidi ya miaka kumi, sasa haiwezekani leo hii kuangukia pua ktk uchaguzi mkuu ndo lawama zote wazihamishie kwenye tume na katiba.Pasi na katiba mpya wala tume huru ya uchaguzi lazima CCM ishinde kwa kishindoooo.
Acha kuwehuka.Namuona Lisu pembeni kavaa kapelo, hii ilikuwa ni kipindi cha uchaguzi mkuu lkn mleta mada anataka kutuaminisha kuwa ni ya leo au jana. Style hii ya kujipiga changa la macho wenyewe ndo inayorudisha upinzani nyuma miaka yote, kwan watanzania wa sasa wako makini kuliko wakati wowote ule.
Wewe Juha Kweli...Isome hiyo T-shirt Ya Mbowe kwanzaNamuona Lisu pembeni kavaa kapelo, hii ilikuwa ni kipindi cha uchaguzi mkuu lkn mleta mada anataka kutuaminisha kuwa ni ya leo au jana. Style hii ya kujipiga changa la macho wenyewe ndo inayorudisha upinzani nyuma miaka yote, kwan watanzania wa sasa wako makini kuliko wakati wowote ule.
Kwani uchaguzi wa nchi hii unaishia 2025?.Sio lazima siku cdm ikiishinda ccm wewe uwe hai.2025 CCM tena wanakushindeni
Mkuu achana nae mjinga huyo, Mimi jana nimemuona Masasi Kibo pub pale!Wewe Juha Kweli...Isome hiyo T-shirt Ya Mbowe kwanza
Kapimwe kinyesi na damu huwenda una matatizo lukukiNamuona Lisu pembeni kavaa kapelo, hii ilikuwa ni kipindi cha uchaguzi mkuu lkn mleta mada anataka kutuaminisha kuwa ni ya leo au jana. Style hii ya kujipiga changa la macho wenyewe ndo inayorudisha upinzani nyuma miaka yote, kwan watanzania wa sasa wako makini kuliko wakati wowote ule.