Operesheni Haki, Lindi: Wananchi Nachingwea wasimamisha msafara wa Freeman Mbowe, waomba neno la matumaini

Operesheni Haki, Lindi: Wananchi Nachingwea wasimamisha msafara wa Freeman Mbowe, waomba neno la matumaini

Mwamba Mbowe pamoja na Umwamba wake leo amegonga mwamba huko Nachingwea baada ya wananchi kulala barabarani wakilazimisha awasalimie.

Ikumbukwe kwamba Mwamba Mbowe au Mtemi Isike yuko Kanda ya Kusini kwenye kampeni ya Operesheni Haki yenye lengo la kuhamasisha upatikanaji wa Katiba mpya na Tume Huru ya uchaguzi.

View attachment 1821650
Sifa za kijinga zimewarudia ninyi kwa sasa mnasifia vitu ambayo havina tija kwa sasa.

Zamani mlitukana watu wanapomsimamisha magufuli na kumsifia.

Leo mmejigeukia wenyewe, kila siku mbowe kasimamishwa.

Uchaguzi ni mpaka 2025 hivyo hayo hayatusaidii kwa sasa, yeye asimamishwe hata na samaki na wanyama poli na migugo bado haitawasaidia.

Leteni mambo ya kuendeleza nchi na sio misifa yenu ambayo kila siku haiwasaidii.
 
Dah, ila Mwamba anakubalika sana, jana kuna mahala nilienda kupata moja moto, moja baridi, sasa wakawa wanapiga mziki kwa sauti ya chini sana, kuuliza kulikoni wakasema Mheshimiwa Mbowe yuko hapa, ndo kumuona! Aliposepa tu mziki ukaachiwa! Nilitafakari sana hiyo situation..!!
Uongozi ni Kipawa

Tutamtoa_Mkoloni_Mweusi_Soon_on_Instagram:_“Mwenyekiti_wa_Chadema_Taifa_akisalimiana_na_Waziri...jpg
FB_IMG_1589397986327.jpg
 
Sifa za kijinga zimewarudia ninyi kwa sasa mnasifia vitu ambayo havina tija kwa sasa.

Zamani mlitukana watu wanapomsimamisha magufuli na kumsifia.

Leo mmejigeukia wenyewe, kila siku mbowe kasimamishwa.

Uchaguzi ni mpaka 2025 hivyo hayo hayatusaidii kwa sasa, yeye asimamishwe hata na samaki na wanyama poli na migugo bado haitawasaidia.

Leteni mambo ya kuendeleza nchi na sio misifa yenu ambayo kila siku haiwasaidii.
Pole mkuu , unalia nini sasa ?
 
Namuona Lisu pembeni kavaa kapelo, hii ilikuwa ni kipindi cha uchaguzi mkuu lkn mleta mada anataka kutuaminisha kuwa ni ya leo au jana. Style hii ya kujipiga changa la macho wenyewe ndo inayorudisha upinzani nyuma miaka yote, kwan watanzania wa sasa wako makini kuliko wakati wowote ule.
Labda ni kweli, ni picha ya zamani, lakini huyo jamaa mwenye kapero siyo Lisu, utakuwa na wewe unajaribu kutupiga changa la macho! Alafu hiyo T-shirt ya Mwamba, ‘Tunasoga ki-digital’, ni kitu cha majuzi!
 
Namuona Lisu pembeni kavaa kapelo, hii ilikuwa ni kipindi cha uchaguzi mkuu lkn mleta mada anataka kutuaminisha kuwa ni ya leo au jana. Style hii ya kujipiga changa la macho wenyewe ndo inayorudisha upinzani nyuma miaka yote, kwan watanzania wa sasa wako makini kuliko wakati wowote ule.

..unahitaji miwani.

..au simu mpya.
 
Sema wakati huo huo mbowe akiwa ktk Tshirt ya Chadema kidigitali
Namuona Lisu pembeni kavaa kapelo, hii ilikuwa ni kipindi cha uchaguzi mkuu lkn mleta mada anataka kutuaminisha kuwa ni ya leo au jana. Style hii ya kujipiga changa la macho wenyewe ndo inayorudisha upinzani nyuma miaka yote, kwan watanzania wa sasa wako makini kuliko wakati wowote ule.
 
Wewe ni juha tena juha la siku nzima
Tume hii hii na katiba yake ndio iliyokuwa inawapa ushindi Mbowe, Lisu, Zito na wabunge wengine wa vyama vya upinzani kwa zaidi ya miaka kumi, sasa haiwezekani leo hii kuangukia pua ktk uchaguzi mkuu ndo lawama zote wazihamishie kwenye tume na katiba.
 
Mwamba Mbowe pamoja na Umwamba wake leo amegonga mwamba huko Nachingwea baada ya wananchi kulala barabarani wakilazimisha awasalimie.

Ikumbukwe kwamba Mwamba Mbowe au Mtemi Isike yuko Kanda ya Kusini kwenye kampeni ya Operesheni Haki yenye lengo la kuhamasisha upatikanaji wa Katiba mpya na Tume Huru ya uchaguzi.

View attachment 1821650
Tupo nyuma yako kamanda Mbowe.
 
Namuona Lisu pembeni kavaa kapelo, hii ilikuwa ni kipindi cha uchaguzi mkuu lkn mleta mada anataka kutuaminisha kuwa ni ya leo au jana. Style hii ya kujipiga changa la macho wenyewe ndo inayorudisha upinzani nyuma miaka yote, kwan watanzania wa sasa wako makini kuliko wakati wowote ule.
Hapo ndipo unapoonyesha ulivyo Kama ulanzi wa juzi
 
Mwamba Mbowe pamoja na Umwamba wake leo amegonga mwamba huko Nachingwea baada ya wananchi kulala barabarani wakilazimisha awasalimie.

Ikumbukwe kwamba Mwamba Mbowe au Mtemi Isike yuko Kanda ya Kusini kwenye kampeni ya Operesheni Haki yenye lengo la kuhamasisha upatikanaji wa Katiba mpya na Tume Huru ya uchaguzi.

View attachment 1821650
Exquisite! Excellent! Very nice! "Roho kwatu"!
 
Namuona Lisu pembeni kavaa kapelo, hii ilikuwa ni kipindi cha uchaguzi mkuu lkn mleta mada anataka kutuaminisha kuwa ni ya leo au jana. Style hii ya kujipiga changa la macho wenyewe ndo inayorudisha upinzani nyuma miaka yote, kwan watanzania wa sasa wako makini kuliko wakati wowote ule.
Pole. Humfahamu Lissu alivyo kwa kuwa unaogopa kumtazama.
 
Back
Top Bottom