Kipaji Halisi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 2,280
- 1,363
Haya ngoja tuzinduke,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapoamua kufanya hii operesheni Zinduka ili kuwashawishi watu wasimpigie kura Lowassa pia kumbuka kuwaambia wampigie nani...ili at least tujue umesimana wapi.
Mimi nilidhani kwa sasa tungejaribu kudiscuss issues na sio mtu mmojammoja.
Mzee Mwanakijiji usijiche kwenye keyboard. Anza kwa kujitambulisha jina lako halisi, kisha panda jukwaani. Kama una uwezo huo.
Duh Mzee Mwanakijiji what a waste of time....mbona hukuenda direct to the point? 12 minutes na hujaongea lolote bado. Dah!
Hivi ni lini wewe uliwahi kuwa upinzani...lini? Ni lini wewe ulitaka mabadiliko?
Dakia 5:24 "wengi ambao hawajui, miaka 20 sasa nimekuwa kwenye harakati hizi..."
Dakika 5:51, "..tuliunga upinzani wakati ule na tumeendelea kufanya hivyo. Pamoja na kwamba tuliamini kwamba labda kwa kufanya hivyo chama ambacho kilikuwa kimeleta uhuru Tanzania kingeweza kubadilika lakini hakijabadilika jinsi ambavyo tulikuwa tumetarajia. Labda safari hii kinaweza kikabadilika "
- Mzee wangu, kwa miaka zaidi ya 50 tumekuwa tukisema hayo hayo unayoyaongea, "labda safari hii kinaweza kikabadilika..." labda..labda..labda...na hakuna siku wamewahi kubadilika!
- Ubaya wa Lowassa ni upi huo ambao mlipokuwa naye mlimuunga mkono kuliko watangaza nia wote waliokuwa kwenye kinyang'anyiro ila sasa amekuwa mbaya kuko Hashim Rungwe (no offence intended)?
- Unataka tena kuja hapa baada ya miaka mitano kutueleza ni kwa namna gani tumejaribu jaribu kuleta upinzani na mwaka 2015 tuliona LABDA watabadilika?
MWISHO: kwenye video zako zitakazofuata tafadhali tafuta mtaalamu akusaidie kwenye speech yako..punguza maneno yasiyo na mantiki. hizi ""eeh" "aaah"! Ninaamini ulijiandaa na uliiandaa speech kabla ya ku-rekodi. Inapoteza ladha kusikiliza! Inakaa kama unawaza kwa kadri unavyozidi kuongea. Go straight to YOUR point..!
Nashukuru.
Sikuwahi kuwa fan wa Lowassa siku za nyuma, lakini kila siku navutika kwake kwa sababu ya watu kama MMM.
Kwanini kila siku ni Lowassa? Hii nguvu kubwa ya kumpinga Lowassa ni ya nini? Hofu ya watu kwa Lowassa ni nini? Is he an immortal being or what? Kwani akiwa rais si kama ilivyokuwa kwa Mwinyi, Mkapa, Kikwete na kwamba atapita kama wengine walivyopita? Kama ndivyo, then what is all this fuss about??