Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee Mwanakijiji hoja zako za kupingana na Lowassa kusimamishwa na chama / vyama ambavyo watanzania wanategemea kuwa ndio nguzo ya kubadili uongozi na think-tank ya uongozi ni nzuri na kiuhalisia binafsi najiuliza maswali kadhaa. Baadhi ni haya..
Kwa sasa naomba niishie hapo kwanza.
Mzee mwanakijiji Nadhani unakoelekea ni kujishushia heshima kama Dr mihogo alijvojishushia heshima yake
The most useless thing I know to date
Hivi Mwanakijiji unajifanya unaakili sana kushinda sisi?
Unajiaminisha kabisa kwamba unaweza kubadili fikra za Maelfu na maelfu zinazomuunga mkono Lowassa? Umechelewa sana kaka, kazi hii uliyojitwisha sasa ni ngumu kama kujaza maji kwenye pakacha...... UTATOKA JASHO LA DAMU, MAJI HAYAJAI NG'OOOO!!
Nilijua umejifunza kitu kwa mada zako kinzani kwa wapenda Mabadiriko toka ulupoanza kuandika , kumbe sufuri kabisaaa.!!!
Jiandae kisaikolojia kaka, Lowassa hakwepeki pale Magogoni!!
BACK TANGANYIKA
Hiki ni kituko. Hivi mtu ambaye hata hapigi kura eti anawaelekeza wapiga kura wasimchague kiongozi ambao wao wanaamini ndio anayewafaa
Sawa nmekuelewa sasa kwa kuwa umesema nisimpigie El sasa nikuulize nimpigie Nan? Na kwa nn... Mm ni mwelewa so ntakuelewa
Dadangu wenzio wameshanishushia...sijui itashuka kiasi gani.
Liulize hili swali kivingine..nguvu kubwa ya kumsukumizabLowassabkwa Watanzania ya nini na kwanini? Ukipata jibu la swali hili utapata na jibu lako.
Maswali yako mazuri sana nitayajibu katika show mojawapo, nakuahidi.