Oppah Clement angekuwa anatokea Africa ya Magharibi sasa hivi angekuwa anachezea Real Madrid W/Barcelona W au Bayern Munich W, Mawakala mbona mmelala?

Oppah Clement angekuwa anatokea Africa ya Magharibi sasa hivi angekuwa anachezea Real Madrid W/Barcelona W au Bayern Munich W, Mawakala mbona mmelala?

ToniXrated

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
1,134
Reaction score
2,993
Igweeee igweeee!!

Nimekaa nikitafakari jinsi gani tunakosa mawakala wa kuwavusha wachezaji wetu kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya na Marekani. Nchi yetu imebarikiwa kuwa na mchezaji mahiri sana katika soka la wanawake naye si mwingine bali ni muwindaji wa magoli, Oppah Clement.

Huyu binti hastahili kucheza soka la kulipwa hapa barani Afrika. Anastahili kuzitumikia timu kubwa duniani katika upande wa soka la wanawake kama vile Bayern Munich, Barcelona,Chelsea,Lyon,PSG au Real Madrid.

Swali langu ni kwa Mawakala wa wanamichezo, hivi hamuoni hii lulu inayozagaa matopeni? Oppa angekuwa anatokea nchi za Afrika Magharibi sasa hivi tungekuwa tunazungumzia mengine! Huenda angekuwa anacheza katika mashindano ya Klabu Bingwa Ulaya, UEFA kwa upande wa soka la wanawake.
 
Dunia imeshamuona na ndio faida ya kuchezea timu seriuos kama simba au simba queens. Tanzania bado tunaendelea kujitafuta na mara zote simba ssc senior na qeens ndio waongoza njia na wanalitoa tifa kimaso maso.

Mawakala wa dunia jicho lao sasa lipo simba kwa timu zake zote. Kiufupi tuu wachezaji wenye malengo ya kuendeleza soka lao wanaojitambu hawawezi kuchezea timu nyingine tanzania kwa sasa tofauti na ssc.

Leo hii aziz ki, jigi jiara, aucho nk wanajuuuta na kusaga meno kwa kuchezea utopolo.
 
Igweeee igweeee!!

Nimekaa nikitafakari jinsi gani tunakosa mawakala wa kuwavusha wachezaji wetu kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya na Marekani. Nchi yetu imebarikiwa kuwa na mchezaji mahiri sana katika soka la wanawake naye si mwingine bali ni muwindaji wa magoli, Oppah Clement.

Huyu binti hastahili kucheza soka la kulipwa hapa barani Afrika. Anastahili kuzitumikia timu kubwa duniani katika upande wa soka la wanawake kama vile Bayern Munich, Barcelona,Chelsea,Lyon,PSG au Real Madrid.

Swali langu ni kwa Mawakala wa wanamichezo, hivi hamuoni hii lulu inayozagaa matopeni? Oppa angekuwa anatokea nchi za Afrika Magharibi sasa hivi tungekuwa tunazungumzia mengine! Huenda angekuwa anacheza katika mashindano ya Klabu Bingwa Ulaya, UEFA kwa upande wa soka la wanawake.
Alishaenda mbn Ulaya! Kuna club ya uturuki ilimchukua. Nashangaa amerud Simba sijui Kwa nn.

Labda Kwa mkopo.
Ingia Google Wikipedia utaona inaonesha bado ni mchezaji wa uturuki.
 
Alienda Uturuki akarudi hata sijui nini kilitokea..anayejua atujuze..
 
Dunia imeshamuona na ndio faida ya kuchezea timu seriuos kama simba au simba queens. Tanzzania bado tunaendelea kujitafuta na mara zote simba ssc senior na qieens ndio waongoza njia na wanalitoa tifa kimaso maso.
Mawakala wa dunia jicho lao sasa lipo simba kwa timu zake zote. Kiufupi tuu wachezaji wenye malengo ya kuendeleza soka lao wanaojitambu hawawezi kuchezea timu nyingine tanzania kwa sasa tofauti na ssc. Leo hii aziz ki, jigi jiara, aucho nk wanajuuuta na kusaga meno kwa kuchezea utopolo.
Aisha Masaka katoka Yanga Princess yupo zake Sweden BK Hacken na kacheza UCL ya wanawake endelea kuimba taarabu hapa
 
Labda hufuatilii mpira na umeanza kuifuatilia Simba quuen Jana

Ameshawahi kwenda nje Nadhani alishindwa.


20221106_075858.jpg
20221106_075820.jpg
20221106_080008.jpg


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Dunia imeshamuona na ndio faida ya kuchezea timu seriuos kama simba au simba queens. Tanzania bado tunaendelea kujitafuta na mara zote simba ssc senior na qeens ndio waongoza njia na wanalitoa tifa kimaso maso.

Mawakala wa dunia jicho lao sasa lipo simba kwa timu zake zote. Kiufupi tuu wachezaji wenye malengo ya kuendeleza soka lao wanaojitambu hawawezi kuchezea timu nyingine tanzania kwa sasa tofauti na ssc.

Leo hii aziz ki, jigi jiara, aucho nk wanajuuuta na kusaga meno kwa kuchezea utopolo.
Mmmh 🤔🤔🤔 we kwakwambia nani kama Aziz Ki ,na Aucho wanajutia kucheza Young africa. kwani pale wanachez bure na je walilazimishwa kusaini mikataba na je kwani wamesaini mikataba ya milele
 
Tatizo hamfuatilii ,
Opah alipata Timu Ulaya lakini kutokana na haya mashindano Simba ikaamua kumbakisha na Bosi mwenyewe aliingilia kati Kwa kumpa mshahara mnono
 
Sawa mkuu wakala mkuu Jemedari said amekusikia
 
Igweeee igweeee!!

Nimekaa nikitafakari jinsi gani tunakosa mawakala wa kuwavusha wachezaji wetu kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya na Marekani. Nchi yetu imebarikiwa kuwa na mchezaji mahiri sana katika soka la wanawake naye si mwingine bali ni muwindaji wa magoli, Oppah Clement.

Huyu binti hastahili kucheza soka la kulipwa hapa barani Afrika. Anastahili kuzitumikia timu kubwa duniani katika upande wa soka la wanawake kama vile Bayern Munich, Barcelona,Chelsea,Lyon,PSG au Real Madrid.

Swali langu ni kwa Mawakala wa wanamichezo, hivi hamuoni hii lulu inayozagaa matopeni? Oppa angekuwa anatokea nchi za Afrika Magharibi sasa hivi tungekuwa tunazungumzia mengine! Huenda angekuwa anacheza katika mashindano ya Klabu Bingwa Ulaya, UEFA kwa upande wa soka la wanawake.
kwenye maisha punguza mihemko unapokuwa na furaha au hasira iliyozidi kiasi
 
Back
Top Bottom