Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Habari zenu ndugu zangu, ama baada ya salam ningependa kujielekeza kwenye mada husika. Mimi ni mbongo ninaeishi hapa Afrika Kusini, kuna salon nimefungua, so nahitaji vinyozi watatu wenye sifa tatu.
1) sifa ya kwanza kinyozi awe na uzoefu wa kutosha wa kazi hii, na awe anajua kunyoa style mbali mbali.
2) sifa ya pili kinyozi awe mcheshi na mwenye kujua kuongea vizuri na wateja ( hapa haijalishi lugha) lkn pia unaweza kuwa haujui lugha ila ukawa unaonesha sura ya bashasha (tabasamu) kwa wateja wakakufurahia na kukupenda.
3) tatu kinyozi awe msafi muda wote, yan kuanzia kwake yeye mpaka kwa sehemu anayofanyia kazi.
Saluni ipo Fuller Street namba 2, Betrams (karibu na Spar) Johannesburg. Saluni bado mpya na tunaendelea na matengenezo, kwahiyo kama mtu yupo tayari ani PM.
Kama nikikosa wa hapa karibu basi hata wa mbali kutoka Tanzania, Burundi, Rwanda au Congo mnakaribishwa, lkn gharama zote za kufika hapa utafanya mwenyewe.
Mi nitachofanya (kama hauna mwenyeji) ni kukupokea na kukupa sehem ya kuanzia maisha. Karibuni
1) sifa ya kwanza kinyozi awe na uzoefu wa kutosha wa kazi hii, na awe anajua kunyoa style mbali mbali.
2) sifa ya pili kinyozi awe mcheshi na mwenye kujua kuongea vizuri na wateja ( hapa haijalishi lugha) lkn pia unaweza kuwa haujui lugha ila ukawa unaonesha sura ya bashasha (tabasamu) kwa wateja wakakufurahia na kukupenda.
3) tatu kinyozi awe msafi muda wote, yan kuanzia kwake yeye mpaka kwa sehemu anayofanyia kazi.
Saluni ipo Fuller Street namba 2, Betrams (karibu na Spar) Johannesburg. Saluni bado mpya na tunaendelea na matengenezo, kwahiyo kama mtu yupo tayari ani PM.
Kama nikikosa wa hapa karibu basi hata wa mbali kutoka Tanzania, Burundi, Rwanda au Congo mnakaribishwa, lkn gharama zote za kufika hapa utafanya mwenyewe.
Mi nitachofanya (kama hauna mwenyeji) ni kukupokea na kukupa sehem ya kuanzia maisha. Karibuni