Opportunity ya kazi kwa wabongo wanaoishi Afrika Kusini

Opportunity ya kazi kwa wabongo wanaoishi Afrika Kusini

Ila **** mijitu ina roho mbaya uko hata sijawahi kujua ni kwanini!!!!

Yanachagua kazi za kufanya halafu wabongo wakiwa wanazifanya kazi ambayo wao hawazipendi wanawajengea chuki na kuchoma maduka[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Hahahaha.. tushawazoea mkuu, ndio maana pamoj na ushenzi wote wanaofanya lkn bado watu tunaishi na kuendelea na shughuli zetu kama kawaida.
 
wewe Kama Sio mchawi, basi babako au mamako ni mchawi, maneno gani ya kumwambia mwenzio ana hustle kutafuta maisha? idiot
Huyo ni wa kumsamehe tu mkuu, maana inaonesha hajui alisemalo.
 
Nawashukuru mnaotoka TZ na kutafuta shilling nje ya nchi. Hongera sana tena sana na mungu awabariki ili mlete remittances. Nachukia wanaobananisha hapa ati serikali itoe ajira.
 
Nawashukuru mnaotoka TZ na kutafuta shilling nje ya nchi. Hongera sana tena sana na mungu awabariki ili mlete remittances. Nachukia wanaobananisha hapa ati serikali itoe ajira.
Hahahaha.. shukran sana mkuu, na ww ubarikiwe na kuongozwa na Mungu mwenyew.
 
Hahahaha.. shukran sana mkuu, na ww ubarikiwe na kuongozwa na Mungu mwenyew.
Seriously na hii kitu nilikweleza Rais wa wakati ule 1999 kuwa kama ningekuwa kama yeye ningetoa Pasport kwa kila teja na kuwawezesha nauli wazamie ili walete remittances. Alicheka sana ila ilimbadili mwelekeo. Mengine yaaache ila mtu kwenda nje ya nchi ukajiajiri ni akili kubwa kuliko kupiga porojo za hapa JF na jioni tunaibiana madafu na maembe shambani. Imagine unatafuta kuajiri mtanganyika! Inafurahisha sana
 
Hakika mkuu, jamaa kakimbilia kuangalia negative tu mambo ya msingi kaacha.
Sure. Na sidhani hata Ana liquid assets ya like 50M. Mana tabia huwa inaendana na Hali ya kimaisha ya mtu. Yaani hii ni bonge la fursa kwa vijana wanaopenda life nje ya bongo kinouma. Mana atapatia uenyeji kwako Kama anatajiongeza atajiongeza tu.
Mie enzi za ujana wangu around late eighteens and early twenties I went nje sema Mambo yakabuma nikarudi bongo

Ila bado Nina ndoto ya kurudipo sema kivingine. Namiliki apartment nakuwa nakodisha nikiwa hapa hapa Bongo
 
Sure. Na sidhani hata Ana liquid assets ya like 50M. Mana tabia huwa inaendana na Hali ya kimaisha ya mtu. Yaani hii ni bonge la fursa kwa vijana wanaopenda life nje ya bongo kinouma. Mana atapatia uenyeji kwako Kama anatajiongeza atajiongeza tu.
Mie enzi za ujana wangu around late eighteens and early twenties I went nje sema Mambo yakabuma nikarudi bongo

Ila bado Nina ndoto ya kurudipo sema kivingine. Namiliki apartment nakuwa nakodisha nikiwa hapa hapa Bongo
Congratulations mkuu, ni wabongo wachache sana wenye mawazo na maono kama yako. Mungu akujaalie ili ufanikiwe zaidi ya ulivyofanikiwa sasa.
 
Mkuu sema sijui kunyoa ningezama fasta sana hapo bondeni Mana dola buku na uchafu hazinikosi mfukoni.
Mkuu hii kazi watu wengi huwa wanaidharau, lkn ni kazi nzuri na yenye mafanikio sana hapa SA na ktk baadhi ya nchi ikiwemo hata Tanzania yenyewe.
 
Mkuu mbona salon nyingi watu wanafanya kazi kwa mfumo huu. Fikiria mfano unaingiza sh elf 25 kwa siku, ina maana kwa wiki una 175000. Mimi ukinilipa elf 50 ya kiti ww ukibaki na 125000 tatizo liko wapi, na kwa style hii unafikiri ni nani atakuwa katengeneza pesa ndefu zaidi ya mwenzake kati ya boss na mfanyakazi. Kuhusu wateja kazi yoyote ukiwa na uzoefu nayo plus usafi na uchangamfu basi nakuhakikishia kuwa utapata wateja tu tena kutoka sehem mbali mbali.
Mkuu hapa namzungumzia Ngumbaru anayetokea TZ kuja kunyoa wazulu huko. Changanya na nauli, COVID test nk. Plus associated risks za kutokea lockdown huko SA baada ya Omicron. Lazima awe punda au mwizi mama.e

c5cab434af168806db16f273051aa550.jpeg
 
Mwizi hakupatikana mkuu, na jamaa anaendelea na maisha... Ya nilikataa kusaidia watu hovyo, lkn hapa lengo langu kuu ni kutafuta wafanyakazi wa salon tu sio kumsaidia mtu kama ilivyotokea kwa yule kijana. Salon itakuwa ni ya watu watano ambapo wawili ni ndugu zang tayari nipo nao, so hao watatu watakuwa wapya. Hivyo itakuwa ngumu kupigwa tena kama ilivyotokea kwa jamaa.
Hicho ni kijiwe cha wauza unga. Hiyo saloon zuga tu
 
Back
Top Bottom