Orijino Komedi wanapokashifu afya ya Lowassa, wamesahau ya mwenzao VENGU?


Nimekuelewa sana mkuu.. Thumbs up! Thumbs up! Thumbs up!
 
Kama Magufuri ni mzima,loliondo kwa babu alienda kufanya nini,amekunywa kikombe
 
Tumeshudia mtu anaanguka jukwaani,tumeshuhudia magufuli anakunywa kikombe kwa babu
 
Hawana jipya hao njaa inawasumbua..
 
Mzee mgonjwa mnataka afie ikulu

Pia kama miujiza ikitokea akawa Rais mda wake mwingi atakuwa anautumia kwenye matibabu India au US nk... Sasa Rais kama huyu wa nini? Mchagueni mtu mwenye siha yake bwana... #hapa kazi tu.
 
Kila mtu ni mgonjwa ndio lakini tunazungumzia dereva mgonjwa abebae abiria
 
mtu kama Massanja ndio nimebaki kumshangaa ata kama ni njaa zingine zimezidi. Huyu jamaa si naskia ni mchungaji? huwa anaubiri nini akiwa na waumini wake?
 
Wakati Mrema akiendelea na Kampeni zake huko Vunjo, aliyekua akimuigizia afya yake(Vengu leo hii Mwaka wa 3 na nusu yupo kitandani.
 
Suala la afya ya mtu sio chambo la kufanyia maigizo hata kidogo.
Orijino Komedy imebaki jina tu lakini ni kikundi ambacho kwa sasa hakina tena mvuto wowote na wala hakina ushawishi wa namna yoyote ile kwenye kampeni hizi za Uchaguzi.
Mkuu umekasirika hasa,mpk wanakufanya uchapie!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…