Orijino Komedi wanapokashifu afya ya Lowassa, wamesahau ya mwenzao VENGU?


Sikuiz kuangalia Ze comedy nikuongeza stress tuu
 

Sio siri ni kweli ze comedy ni nje ya sisiem. Enzi hizo nakumbuka nilikuwa nasoma shule ya bweni siku ya ze comedy tulikuwa tunasukumana nusu tuvunjane ikiwa EaTv. Tangu iingie sisiem hata sioni jipya uozo mtup. After all huyo huyo EL ndo raisi next year sijui hatakama ni ushabiki unamazingira. Ila wanalinda kibarua chao kwa njia mbovu.
 

Kwa upande wangu simfagilii kabisa Lowasa kwani ni Fisadi na mlafi wa madaraka ndio maana atafanya lolote ili mradi tu aingie Ikulu maana nia yake ni kuingia Ikulu tu. Anapaswa kufanya nini Ikulu yeye anaona ataelewa akishafika Ikulu! Sasa kwanini tu-RISK? Hata hivyo sio hekima kabisa kutetea hoja kwa kuhusisha Ugonjwa wake na kumkebehi ! hapo ni kushindwa kujenga oa zenye mashie! Sijasikia Muhusika Mkuu Kumkbehi. Nami ninaiani nae kwani amejhiipambanua kutoka kwenye mabaya ya Chama Chaketangu kwenye utedaji wake. HAPA KAZI TU!
 
Mkuu hatudharau afya ya mtu.. Kumbuka hatuchagui rais pekee pia tunachagua amiri jeshi mkuu...... Afya ni kigezo ktk kazi yoyote na si urais pekee??

Ni sawa unavyosema, kumbuka Kibaki alichaguliwa akiwa kwenye wheel chair. Pia hujui kesho yako ndugu, watu wawe na staha na afya za watu. Hujui magufuli anaumwa nini. Ya Mungu mengi
 
Pia kama miujiza ikitokea akawa Rais mda wake mwingi atakuwa anautumia kwenye matibabu India au US nk... Sasa Rais kama huyu wa nini? Mchagueni mtu mwenye siha yake bwana... #hapa kazi tu.

Tunaichagua Ukawa kwa Udhaifu wa CCM.
 

U've said it all dear kwa hilo kwa kwel ndo wamedhihirisha umbumbumbu wao, yan siasa na vijisent vimewafanya wakose hta hekima kwa mtu mzima ambaye ni sawa na baba zao???? Seriously!!! Malipo hapahapa chini
 
Hiyo slogan nasikia imeongezwa ili msilaumiane baadae. #HAPA KAZI MDOMONI TUU
 
Ni wavivu wa kufikiri hao ze komedi wao ni madakrari kujadili afya ya mtu???
Sijui wasanii wengine wanawazaga nini???
 
Lowassa ndio chaguo la watu wengi kwahio lazima apondwe ila kumbe iloooooo monduli mwaka huu
 
Ivi kikweete alikuwa Rafiki Wa LOWASSA najua wamegombana lakini kwa mini wanabeza afya ya Mkuu WETu..mi ntawashukus hukohuko of is in I pale Bamaga...hakuna namna nyingine wametumwa hao
 
Sorry HP1 Iyo SMS ni ya mjinga mmoja hapo huu anayeemkashifu Mkuu WETu LOWASSA yaani hata msemee amefumaniwa sisii ni huyohuyoo mnatusaidia kumwongezea Pupurarity.
 
Magufu alienda kwa babu kufanya nini au kwa jiri yaa kumwongezea nyuumba ndigoo?
 

Ushaambiwa Original Comedy, ukitaka wafuate maadili ya staha na ustaarabu wewe ndo utageuka comedy.

Kwa wanaojua comedy hata huyo Vengu mwenyewe akifanyia Comedy jambo la afya haitashangaza.

Watu wanafanya comedy kwenye kifo, nini afya tu?
 
Pia kama miujiza ikitokea akawa Rais mda wake mwingi atakuwa anautumia kwenye matibabu India au US nk... Sasa Rais kama huyu wa nini? Mchagueni mtu mwenye siha yake bwana... #hapa kazi tu.

Kikwete alikuwa anashinda uko alikuwa mgonjwa? Je si amemaliza kuongoza?
 
Hiyo slogan nasikia imeongezwa ili msilaumiane baadae. #HAPA KAZI MDOMONI TUU
Uzuri anaetamka kuwa hapa kazi tu amekwishaifanya tumeiona jamani hebu nielezeni alichofanya huyo mtu wenu. Hana ubavu wa kusema hapa kazi tu. Hana ubavu wa kusema atawashughulikia mafisadi hebu nieleze alichokifanya miaka 20 ya uwaziri na miaka 30 ya Ubunge. Mbona rahisi sana hebu nieleze na Vidhibiti!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…