Msimu huu tu! Simba ni misimu yote aliyoshiriki mashindano ya caf amekuwa na trend hiyo. Msimu uliopita alipewa viporo vingi na TFF visivyokuwa na maelezo, msimu huu imekuja na vitochi na kuwasha moto uwanjani pamoja na mitikas mingine. Pamoja na hayo aliowafunga ndo waliocheza final