Uchaguzi 2020 Orodha kamili ya ambao hawatarudi Bungeni 2020 hii hapa

Uchaguzi 2020 Orodha kamili ya ambao hawatarudi Bungeni 2020 hii hapa

Lakini pia bila kufichana, mwaka huu wapinzani ni kazi nzito mno kwao kupenya kwenye majimbo ya CCM kuliko CCM kupenya kwenye majimbo Yao, mtanianiambia baada ya uchaguzi

Huo ugumu uko kwa sababu chini ya tume hii Magufuli anaagiza nani atangazwe mshindi. Tunahitaji tume huru ya uchaguzi ili kila mtu ashinde mechi zake. Kinyume na hapo hakuna uchaguzi tunajadili hapa bali ni uhuni kama uhuni mwingine.
 
Ngoja watetezi wao waje kuleta porojo hapa Ila Ukweli wanaujua kabisa!! Uchaguzi tuanaenda ni uchaguzi mwepesi mno kwa kila level!!

Typed Using KIDOLE

Ulivyoleta huu uzi ulijifanya mtu huru, ila uzi unavyosogea mzuka umekupanda mpaka umejisahau unasema uchaguzi huu ni mwepesi sana kwenu! Ni kweli uchaguzi huu ni mwepesi sana kwenu, kwa sababu Magufuli anatumia madaraka yake kuamua nani atangazwe mshindi. Bila tume huru ya uchaguzi, siwashauri wapinzani wa kweli kushiriki. Sana sana ni kufanya maandamano kudai tume huru uchaguzi.
 
Diodorus Kamala - Misenyi msimu huu hakatizi maana kuna lineup ya vijana zaidi ya 10 wanalitaka jimbo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hakuna mtu atakaeibiwa kura!! Ila waTZ sahv sio mapopoma wa kiwango unachofkria wewe wakachagua watu wasio na Impact kabisa

Typed Using KIDOLE

Kwa taarifa yako Magufuli amekuwa mbunge kwa miaka 20, fuatilia mara ngapi aliupata ubunge kwa njia ya kura, na mara ngapi alishinda kwa figisu. Kama aliweza kushinda kwa figisu wakati akiwa waziri, je sasa hivi yuko juu ya sheria na katiba unategemea ashindane? Chaguzi zote za marudio na uchaguzi wa SM za mitaa, zile ndio siasa halisi za ushindani wa Magufuli. Kimsingi hapa hujivunii ushindani katika box la kura, bali unashangilia kumpata rais anayeweza kutumia madaraka yake kuchezea box la kura, kwa faida yake binafsi na chama chake fullstop.
 
Huyo dogo hapo kibamba sijui kasahaulika.

Sent using Jamii Forums mobile app
~Mamndenyi hiyo picha kwenye avator ndiye picha yako halisi.?

~nini maana ya i'd mamndenyi.?

THANX.

*wahisimiwa wasiopaswa kurudi hata kwa kuloga
~NEPPY MNAUYE
~JUMA MKAMIA
~KANGI MUOGA
~MWAKASAKWA-Tabora mjini
~JAMES DELICIOUS~
~NDUGAYI~
~SHOSTI WANGU MADEE

*ila MH.Msukuma yeye ni lazima arudi bungeni hata kwa viti maalum ama bao la mkono.
 
Wabunge wengi wameingia Bungeni 2015 kwa chain ya Mh Jakaya Kikwete na Mzee wetu Kinana. Kwa nature ya CCM ya sasa na Rais Magufuli (na kwa kuepuka aibu ya kukatwa) kwa ujumla hawa wafuatao wajipange kisaikolojia kuhusu kutetea viti vyao 2020:-

1. Mh Nape

2. Mh. Ngeleja

3. Mh Kitwanga

4. Mh. Lusinde (Kibajaji)

5. Mh. Maghembe

6. Mh. Bashe

7. Mh. Nkamia

8. Mh. Sadifa

9. Mh. Simbachawene

10. Mh. Muhongo

11. Mh. January Makamba

12. Mh. Anna Tibaijuka

14. Mh. Kessi Ally

15. Mh. Badweli

Waanze kujiongeza kuepuka aibu.Huwezi kuchukua viraza wakati wasomi wapo majimboni!
16.aeshi wa sumbawanga drs la saba failure.halafu sijui kwanini tulia haendi kugombea rungwe??
 
Ally keissy na kibajaji waondoke tu
Wabunge wengi wameingia Bungeni 2015 kwa chain ya Mh Jakaya Kikwete na Mzee wetu Kinana. Kwa nature ya CCM ya sasa na Rais Magufuli (na kwa kuepuka aibu ya kukatwa) kwa ujumla hawa wafuatao wajipange kisaikolojia kuhusu kutetea viti vyao 2020:-

1. Mh Nape

2. Mh. Ngeleja

3. Mh Kitwanga

4. Mh. Lusinde (Kibajaji)

5. Mh. Maghembe

6. Mh. Bashe

7. Mh. Nkamia

8. Mh. Sadifa

9. Mh. Simbachawene

10. Mh. Muhongo

11. Mh. January Makamba

12. Mh. Anna Tibaijuka

14. Mh. Kessi Ally

15. Mh. Badweli

Waanze kujiongeza kuepuka aibu.Huwezi kuchukua viraza wakati wasomi wapo majimboni!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom