Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Mbowe akirudi naacha kuchangia JF Jukwaa la Siasa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda mumpige mvua ya risasiMbowe akirudi naacha kuchangia JF Jukwaa la Siasa!
Ili mikopo na misaada muitafune bila kunawaZito Kabwe hata atambike.
Ukiweza kachukue Kwa Kawambwa kule, nitapiga debeHivi huko mjengoni wanaendaje?? na mie nataka kwenda...
[emoji16][emoji3]Mbowe akirudi naacha kuchangia JF Jukwaa la Siasa!
Watanzania sio wajinga. Wana Hai sio wajinga vile vile. Mpinzani hachaguliwi kwasababu ni mpinzani.Labda mumpige mvua ya risasi
Ukiweza kachukue Kwa Kawambwa kule, nitapiga debe
Hata huyo mkuu wa wilaya na TRA kunyanyasa watu wa hai lakini ngojeni kura za hasiraWatanzania sio wajinga. Wana Hai sio wajinga vile vile. Mpinzani hachaguliwi kwasababu ni mpinzani.
TL kinachombeba ni umaarufu na ule uanaharakati wake Ila kiperformance ndani ya Jimbo ni zero, na hao wote niliotaja Hakuna Cha maana wanachofanya kiufupi Wabunge wengi wa Upinzani wanachangamoto sana kwanzA wanafanyiwa figisu sana ili wananchi wengi tukose Imani nao pili wao wenyewe hawako makini na karibu kushughulika na Changamoto zetu sie wapiga kura wao..Unaweza Fanya hata tathmin tu mtizame Mh Halima Mdee na kawe yake Hakuna chamaana wanachofanyaTL ,Afya ililazimu yeye kuwa nje ya bunge....! Lema na Mabula nao hawaja'perform' kwenye majimbo yao ya uchaguzi ?
Inategemea uko mkoa/wilaya gani Kama upo Dar/Pwani kamata Shabiby Kama upo Mwanza kamata SATCO utafika Dodoma hatiamae na mjengoni utapaona hata kwa mbali tu mkuuHivi huko mjengoni wanaendaje?? na mie nataka kwenda...
, Mkuu, wewe kaa karibu tu na anayewapitisha kwenye Chama huko, lkn pia lile Jimbo uspokuwa CCM utapata tabu Sana aisee,hehehe ngoja nikachukue..
CDM wote Hakuna chamaana wanachodeliver kabisa