Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Nani huyo ??. na kakosea nini ??.Asipotubu harudi kitini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani huyo ??. na kakosea nini ??.Asipotubu harudi kitini
Ng'ombe nyingi sana humu. Hivi unawasemaje akina Tiba, Muhongo, Makamba, Bashe, Maghembe, Lusinde kwamba siyo wasomi? Poropoganda za kijinga kabisa hizi!Wabunge wengi wameingia Bungeni 2015 kwa chain ya Mh Jakaya Kikwete na Mzee wetu Kinana. Kwa nature ya CCM ya sasa na Rais Magufuli (na kwa kuepuka aibu ya kukatwa) kwa ujumla hawa wafuatao wajipange kisaikolojia kuhusu kutetea viti vyao 2020:-
1. Mh Nape
2. Mh. Ngeleja
3. Mh Kitwanga
4. Mh. Lusinde (Kibajaji)
5. Mh. Maghembe
6. Mh. Bashe
7. Mh. Nkamia
8. Mh. Sadifa
9. Mh. Simbachawene
10. Mh. Muhongo
11. Mh. January Makamba
12. Mh. Anna Tibaijuka
14. Mh. Kessi Ally
15. Mh. Badweli
Waanze kujiongeza kuepuka aibu.Huwezi kuchukua viraza wakati wasomi wapo majimboni!
Vilaza ni hao maprof wke anaowaamini wa udsm walioingia mkataba kwa 150,000Wabunge wengi wameingia Bungeni 2015 kwa chain ya Mh Jakaya Kikwete na Mzee wetu Kinana. Kwa nature ya CCM ya sasa na Rais Magufuli (na kwa kuepuka aibu ya kukatwa) kwa ujumla hawa wafuatao wajipange kisaikolojia kuhusu kutetea viti vyao 2020:-
1. Mh Nape
2. Mh. Ngeleja
3. Mh Kitwanga
4. Mh. Lusinde (Kibajaji)
5. Mh. Maghembe
6. Mh. Bashe
7. Mh. Nkamia
8. Mh. Sadifa
9. Mh. Simbachawene
10. Mh. Muhongo
11. Mh. January Makamba
12. Mh. Anna Tibaijuka
14. Mh. Kessi Ally
15. Mh. Badweli
Waanze kujiongeza kuepuka aibu.Huwezi kuchukua viraza wakati wasomi wapo majimboni!
Mbona huwataji. Mh Mbowe na Tundu Lisu.Wabunge wengi wameingia Bungeni 2015 kwa chain ya Mh Jakaya Kikwete na Mzee wetu Kinana. Kwa nature ya CCM ya sasa na Rais Magufuli (na kwa kuepuka aibu ya kukatwa) kwa ujumla hawa wafuatao wajipange kisaikolojia kuhusu kutetea viti vyao 2020:-
1. Mh Nape
2. Mh. Ngeleja
3. Mh Kitwanga
4. Mh. Lusinde (Kibajaji)
5. Mh. Maghembe
6. Mh. Bashe
7. Mh. Nkamia
8. Mh. Sadifa
9. Mh. Simbachawene
10. Mh. Muhongo
11. Mh. January Makamba
12. Mh. Anna Tibaijuka
14. Mh. Kessi Ally
15. Mh. Badweli
Waanze kujiongeza kuepuka aibu.Huwezi kuchukua viraza wakati wasomi wapo majimboni!
boraHii ina maana asilimia 20 ya wabunge wa CCM walau wanaweza kupata huruma ya chama na wananchi kuweza kurejea mjengoni. Chadema ina wabunge watatu tu ambao walau wananchi wa Mbeya, Ukonga na Bunda bado wana imani nao japo kidogo. Na wale Cuf bado wanakubalika kule kisiwani Pemba ambayo inategemewa kuwa ngome kuu ya upinzani kitaifa baada ya kanda ya kaskazini huku bara kuvurugwa vibaya na CCM. Source mtafiti wa kujitegemea, Mlimani!
unamaanisha Rais wetu ni mtu wa visasi sana ?Kwa ccm kama ulikwazana Na jpm Siku za nyuma sahau kupitishwa kwenye kura za maoni
Muwe makini msije mkaangukia pua kama Chadema
Kama Zitto 😆😆😆😆😆 , Mpaka akaoa Mke wa rafiki yake, hivi wakimhusisha na Whitchcraft termination kwa kutumia kikosi chake cha Waganga 50😎😎😎😎😎😎Nyongeza ndogo.
Moja ya watu watakaoangukia pua mwaka huu ni wapenda papuchi wote