Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Utakuwa na ushindani ndani ya CCM but still mwenye nyota na JPM ndio atakayekuwa mbunge.Mwaka huu 2020 uchaguzi utakuwa wenye ushindani mkubwa sana zaidi ya mwaka 2015.
Waliopo madarakani wajiandae kujiajiri kama wanavyotoaga ushauri kwa vijana wa vyuo vikuu.
Haaahaaa