Uchaguzi 2020 Orodha kamili ya ambao hawatarudi Bungeni 2020 hii hapa

Uchaguzi 2020 Orodha kamili ya ambao hawatarudi Bungeni 2020 hii hapa

Mpaka sasa hakuna amsha amsha zozote zile za kuonyesha kama huu ni mwaka wa Uchaguzi mkuu wa Serikari,

Mtaani hakuna majadiliano tena kama zamani, "kwamba mimi nitagombea udiwani mwaka huu au fulani atagombea ubunge,
Flani hafai tumtimue uchaguzi ukifika tumchukue na kumshawishi flani Agombee na kushika nafasi yake"

Hakuna tena, Sio Upinzani wala Chama Dola wote wapo kimya. Kila mtu yuko busy na January, kila mtu yuko busy kukimbizana kutafuta elfu 3 ya kununua kilo ya Unga kwa Ajiri ya familia,

Kila mtu anawaza Maisha yake kwanza, Cha kwanza ni vipi ataweza kupata mkate wake wa kila siku, pili watoto watasomaje, Tatu na mwisho ni vipi atamtunza mzazi mwenzie na Wazazi wao kwa ujumla,

Jamii haijadili tena Siasa kwa kishindo kama zamani ni wachache mno"Je ile Nia yao ya kutaka Kuua Demokrasia imefanikiwa"?

Mimi sijui ila nafikiri wanaelekea kushinda.

Kikubwa ni kwamba Kesho kutwa tu hapo mhe/Dr/Raisi John Pombe Magufuri anakwenda kulivunja Bunge kwa Ajiri ya kujiandaa kuingia kwenye Uchaguzi mkuu kwa maana ya kuchagua Madiwani, Wabunge na Raisi mwenyewe.

Ni Nani atatetea kiti chake cha Udiwani/Ubunge/Uraisi hatujui, na ni nani Atapoteza pia hatujui na ni kina nani watakuja baada yao pia hatujui,?

Ni karata inachezwa

Uchaguzi 2020.



Cc Zero IQ

Sent using Jamii Forums mobile app
Wabunge wote wa Chadema hawatarudi mjengoni!
 
Nahisi arufu kali sana ya damu za binadamu itakayosababishwa na vita huku bara.

Kwa mara ya pili Tanganyika itazalisha wakimbizi.

Itakuwa vita ya visasi na ukombozi kwa wlioonewa na kubaguliwa miaka mingi.

Hiyo vita Ni mbaya ni adui kwa adui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati tukielekea joto la uchaguzi wa 2020, tunaamini wapo wabunge wapya watazama mjengoni kwa upande wa CCM na pia tunategemea kwa mfumo uliowekwa na CCM kwa sasa, hali halisi kwa wapiga kura na utendaji wa wabunge kwa kipindi cha miaka mitano 2015_2020 tunaamini wapo wabunge ambao hawatarejea bungeni.

Naomba nilete uzi huu hapa tutaje majina ya wale ambao hawatarejea mbungeni hasa kwa upande wa CCM.

KARIBUNI.
 
1. Nadhani Mh 30 ataingia mjengoni kwa chama kingine na siyo CDM

2. Ester europe kama anasoma alama za nyakati atunze fedha yake atayolipwa kuinulia mgongo.

3. Heche pumzika baba mwaka huu cyo wako.

4. Lema upepo wa kisulisuli wa mh Lowasa kwa mwaka huu hauvumi tena

5. Mathayo wa Musoma. Baba Jane baibai. Bado nakupenda bwana bunge, baba jane jane bai bai

6. Mkono. Tulikupenda lakini mapumziko yamekupenda zaidi

7. Kubenea. Simamia magazeti yako kwa karibu zaidi

8. Mdee. Katafute mme wa kukuoa akupunguzie machungu. Lakini uache kale katabia kako ka...... . Ndiyo utaishi na mme huyo.

9. Bwege. Ludi shuleni usome QT

10. Nyoka wa makengeza. Wajukuu wanakusubilia home uwape malezi ya karibu.

12. Lapa wa Moro. Safisha vumbi vifaa vyako vya muziki uanze kazi yako ya awali.

13. Lisunlikali. Washikaji wako wa kijiweni wanakusubilia kwa hamu mvute .........

14. Kitwanga. K vant zimekumic kwa sababu ya wingi wa majukumu ya Bunge

15. Ukerewe watakuwa na mbunge mpyaa

16. Mzee wa hima himaaa. Nadhani atachaguliwa kuwa mwenyekit wa bodaboda TZ

17. Mama vijisenti. Nashukuru umeaga wewe mwenyewe

18. Lubeleje. Sina uhakika




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati tukielekea joto la uchaguzi wa 2020, tunaamini wapo wabunge wapya watazama mjengoni kwa upande wa CCM na pia tunategemea kwa mfumo uliowekwa na CCM kwa sasa, hali halisi kwa wapiga kura na utendaji wa wabunge kwa kipindi cha miaka mitano 2015_2020 tunaamini wapo wabunge ambao hawatarejea bungeni.

Naomba nilete uzi huu hapa tutaje majina ya wale ambao hawatarejea mbungeni hasa kwa upande wa CCM.

KARIBUNI.
Unapima upepo eenh ! Wewe mwenyewe hautarudi ! Ngoja wakuorodheshe hapo chini mara kibao !
 
Mwaka huu 2020 uchaguzi utakuwa wenye ushindani mkubwa sana zaidi ya mwaka 2015.

Waliopo madarakani wajiandae kujiajiri kama wanavyotoaga ushauri kwa vijana wa vyuo vikuu.

Haaahaaa
 
Back
Top Bottom