Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
Wewe ni mtu mfupi?You speaking truth
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mtu mfupi?You speaking truth
Life is what you make of it Mkuu.Kuna Ukweli bana, hasa kwa Mwanaume kuwa mfupi na mnene kunanyima Amani na Ujasiri kabisa.
Umemsahau ''Freeman Aikael Mbowe''Watu wengine wanaopitia magumu ni;
1) Sabaya
2) Bashiru Ally
3) Makonda
4) Ndugai
5) Sukuma Gang
Yeah sureMaisha ya mtandaoni yanawachanganya Sana watu na kujiona hawana thamani
This might be the best Thread for this year 2022.
Aiseehuu utafiti umeufanyia wapi??
Kwa kuwa wewe mrefuNimecheka hapo kwa wafupi
Upo mfuasi mfia jiweMmmmh!!!
Kila mtu mtaalam
Sidhani kama unaweza kereka kufikia hatua ya kusema eti unapitia maisha magumu,how?Tangu nakua hili kundi watu hawachoki kuliandama,
Hakuna Suluhu hapo ndio changamoto hiyo.
Bora hata single mother akiolewa akapumzika kidogo,
Rafiki yangu mmoja alikuwa akinitania akisema; ufupi ni donda lisilo tibika.
Bora mtu azaliwe na UKIMWI atatumia ARV kuliko kuzaliwa mfupi utatumia nini?
Mimi namjibu si nitavaa viatu virefu, basi tunacheka lakini Kwa ndani ananikera😀😀
Hupendi Mwanamke awe superior?Kwenye wanawake wafupi sio kweli.
Mimi ni mrefu sana na huniambii kitu kwenye wanawake wafupi, I mean they're flexible na wanajaa mikononi easily.
Sijui wengine ila mimi napenda mwanamke akiwa mfupi zaidi yangu it makes you feel in control and more superior unakuwa unamuangalia kwa chini hivi.
Niikuja kwa hilo tu.
Ya ufupi[emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3]
Tiba ya nini Mkuu
Utakua mwalimu wa chuo..sio mwalimu wa ufala p/s.Hapo kwa walimu nakukatalia,mimi ni mwl na nina maisha mazuri sana.
Ya ufupi[emoji1787][emoji1787]
Hahaha watu wanashindwa kuelewa hii kada ipoje,Ndo maana kila mara utasikia watu wanawaponda walimu.Walimu wenye msongo wa mawazo na fukara ni wale wanaoishi na kufanya kazi huko vichakani haijalishi anafundisha chuo,Secondary au Primary.Utakua mwalimu wa chuo..sio mwalimu wa ufala p/s.
#MaendeleoHayanaChama
Hapo kwa walimu nakukatalia,mimi ni mwl na nina maisha mazuri sana.
Muwe mnafanya tafiti zenu vzuri,mnafanyia tafiti walimu wa vichakani then mnageneralize?🤣🤣Anyway
Mkiwa kwny daladala, konda anakwambia oya mpakate huyo mwanao. Afu wanawake wafupi wana vishimo vifupi sana.Tatizo naliona unapotembea nae barabarani sometimes unajiskia kama unatembea na katoto kako hivi.
Wafupi lazime mbisheUmeongea ukweli lakini hapo kwa wafupi labda utafiti ufanyike.