Orodha Rasmi ya watu wanaopitia Maisha magumu nchini Tanzania

Orodha Rasmi ya watu wanaopitia Maisha magumu nchini Tanzania

Hupendi Mwanamke awe superior?
Unapoongelea neno superior basi unatakiwa kuwa specifically.
Mwanamke hawezi kuwa superior zaidi ya mwanaume kwenye maswala physical strength na height most of the time.

Napenda wanawake wenye maumbo madogo sababu ni hizo hapo, it's an advantage for a man to be big.
 
Orodha rasmi kwan imetolewa na chombo cha serikal ? Na unaposema wasomi wahitimu wa degree na diploma ni maskini kwa maana ipi kwasabab kuna baadhi ya hao wametoka familia za kitajiri sasa utafiti wako unatenganisha vipi wasomi ambao familia zao zina pesa na wasomi maskin unao walenga wewe katika utafiti wako?

😀😀😀

Take it easy MKUU.

Mgeni Rasmi
Lugha Rasmi
Vazi Rasmi
Tamko Rasmi.

Inategemea utalitafsiri vipi.
Ila maana ya Msingi ya neno Hilo linajihusisha na mambo ya kiserikali.

Ila linaweza kuwa na maana za ziada pia.

Kuhusu wasomi nafikiri uwaulize wenyewe wakueleze.
Ukiwa unakazi na unapata pesa za Kula huwezi elewa nazungumzia nini.
 
Mtoa mada unatakiwa uombe venue pale UDSM ...upewe zile theatre 1 & 2 au Yombo 1&2&3 uwape semina wanachuo juu ya maisha watakayokuja kukutana nayo uswahilini...!!!

Freshers & sophomores wanadhani kuwa wakitoka pale wanakwenda kuwa na maisha mtelezo huku mtaani mwisho wa siku wanakuja kuambulia depression
 
Hapo kwa single mother umeongea ukweli mtupu.Niliwahi kudate na single mother sasa kuna siku mama yangu mzazi alinitumia text nimtumie pesa kidogo,basi yule mdada alipoona vile akawa mkali anadai yule sio mama yangu bali ni demu wangu.Basi tukaachana kwa tatizo hilo mpka nlimshangaa yule mdada
 
Mada nzuri sana hii! Nashangaa hata huko majeshini wamejaa watu wafupi kama nyundo! Matokeo yake jeshi linadharauliwa tofauti kabisa na enzi za Mwl. Kweli hili ni janga la taifa. Na mimi ni mfupi ujue.
Kuna mwaka team ya taifa, taifa stars, walienda kufanya mazoezi Brazil enzi za kocha maximo. Baada ya kufika kule walienda kucheza mechi ya kirafiki lakini jinsi walivyokuwa wafupi na wembamba timu pinzani walijua ni under 17, na walishangaa kusikia ni timu ya taifa.
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Hii ID ni ya jamaa ni mwanaume kumbe.

Siku zotee nikiona hii avatar inanitamanisha kuzama PM kumbeee
[emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211]

#YNWA
Wee Jamaa nae jifisi TU[emoji2]
 
hapo kwa wafupi umepuyanga

wanawake wengi wafupi wameolewa na wanaume ma super tall

kafanye utafiti wako upya
 
Back
Top Bottom