Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
6 feet kama huo sio urefu basi wewe utakuwa martian.Huna uredu wowote wewe, sifa mojawapo ya wafupi umeshaonyesha hapa ubishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
6 feet kama huo sio urefu basi wewe utakuwa martian.Huna uredu wowote wewe, sifa mojawapo ya wafupi umeshaonyesha hapa ubishi
Unapoongelea neno superior basi unatakiwa kuwa specifically.Hupendi Mwanamke awe superior?
Orodha rasmi kwan imetolewa na chombo cha serikal ? Na unaposema wasomi wahitimu wa degree na diploma ni maskini kwa maana ipi kwasabab kuna baadhi ya hao wametoka familia za kitajiri sasa utafiti wako unatenganisha vipi wasomi ambao familia zao zina pesa na wasomi maskin unao walenga wewe katika utafiti wako?
Labda kama anadharaulika huko kwenu, huku kwetu sisi ni team flat screen.Umesahau mwanamke asie na tako anavodharaulika
Tafsiri yake tafadhali, wengine hii lugha ngumu.Life is what you make of it Mkuu.
Kingereza pori hiki, au Ni spelling errorsYou speaking truth
Kuna mwaka team ya taifa, taifa stars, walienda kufanya mazoezi Brazil enzi za kocha maximo. Baada ya kufika kule walienda kucheza mechi ya kirafiki lakini jinsi walivyokuwa wafupi na wembamba timu pinzani walijua ni under 17, na walishangaa kusikia ni timu ya taifa.Mada nzuri sana hii! Nashangaa hata huko majeshini wamejaa watu wafupi kama nyundo! Matokeo yake jeshi linadharauliwa tofauti kabisa na enzi za Mwl. Kweli hili ni janga la taifa. Na mimi ni mfupi ujue.
Hawawezi kukojoa hadharani [emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawa wengi wao hawajulikani kutokana na tendo lenyewe kufanyika sirini.
Maisha ni utakavyoyachukulia.Tafsiri yake tafadhali, wengine hii lugha ngumu.
Wee Jamaa nae jifisi TU[emoji2][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Hii ID ni ya jamaa ni mwanaume kumbe.
Siku zotee nikiona hii avatar inanitamanisha kuzama PM kumbeee
[emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211]
#YNWA
Hawawashindi waarabuMbona makasiriko tena mzee baba 😁 kwani uongo hawapo wenye flati!!
Hawawashindi waarabu