Orodha tukufu ya Wanawake maarufu niliowahi kuwahusudu na kuishia kuwala kwa macho

Mbona unadhalilisha wake za watu. Mitandao inatunza kumbukumbu miaka sasa hujui hao uliowataja sasa ivi wanafamilia na watoto wakubwa wanaojitambua.

Ungejisikiaje endapo mwanao au mkeo angesoma uzi kama huu jamaa wanasema wanatamani wakutafune kiboga hicho

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Acha kukaza fuvu
 
Maria Carey, sasa ivi ana miaka 54 lakn kwangu ni wa moto sana
 
Huyu dj fetty alinifanya nikaoa mwanamke anaefanana nae.....nilikuwa nikiona tu sura yake na kile kicheko chake dah nilijitahidi kumsaka nilikuja kuishia kumshika mkono tu wakati tunasalimiana siku hiyo nilifurahi mnoo
Mimi nilimuwekaga kama avatar kwenye Nokia yangu yeye pamoja na mboni masimba mwezi huu namuweka mboni mwezi ujao yeye kipindi hiko ni miaka ya 2006 Hawa wadada walisumbua sana mjini
 
Huyu dj fetty alinifanya nikaoa mwanamke anaefanana nae.....nilikuwa nikiona tu sura yake na kile kicheko chake dah nilijitahidi kumsaka nilikuja kuishia kumshika mkono tu wakati tunasalimiana siku hiyo nilifurahi mnoo
Ungeukata huo mkono na kuuweka kwenye makumbusho.
 
Namba 7 usingeitaja Uzi ungekuwa batiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…