Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Kwani mwanamke hawezi ku act mwanaume?sikuwah kufaham wewe ni mwanaume nilikua najua wewe wavkike broo am soreee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mwanamke hawezi ku act mwanaume?sikuwah kufaham wewe ni mwanaume nilikua najua wewe wavkike broo am soreee
Kuna huyu anaitwa lady j Dee huyu manzi Ni mkali sana.Kila rijali huwa kuna mwanamke maarufu anayemhusudu ila ndo hivyo huishia kumtafuna kimoyomoyo kutokana na kutokuwepo kwa nafasi ya kuweza kumpata. Ifuatayo ni orodha tukufu ya wanawake maarufu niliowahi kuwala kwa macho. Nitaanzia wale wakongwe hadi hawa wa sasa.
1. Miriam Odemba
Huyu manzi kwa mara ya kwanza nilimuona kwenye tangazo la lotion ambalo jina sikumbuki. Ilikuwa mwaka 1998. Hapo nilikuwa shule ya msingi. Nilipoingia sekondari nikawa simsikii tena.
2. Nora
Huyu mwigizaji nikiwa form one ndo alianza kuvuma akawa anaandikwa sana magazetini. Wakati nikiendelea kumtafuna kwa macho ikatangazwa kuwa kaolewa na mtu aitwaye Ngwizukulu Jilala. Mke wa mtu ni sumu.
3. Sinta
Huyu naye kavuma sana nyakati hizohizo kama za Nora. Msanii Juma Nature alituwakilisha vijana wote kwenye kulifaidi penzi la huyu mtoto mzuri.
4. Kemy
Huyu dada mwigizaji alikuwa anaonekana kama umri umesogea ila mimi haikujalisha. Nilimtaka na huo umri wake.
5. Irene Uwoya
Kwa kumbukumbu zangu mwaka 2004 hadi 2006 nilikuwa bize sana na msuli wa PCM hivyo nikajikuta mambo ya kipuuzi nimepunguza sana. Lakini 2006 kina Uwoya na wenzake walianza kuvuma. Nikajikuta nae nimemtamani ila mchezaji Ndikumana ndo akawa mshindi wa jumla baada ya kumuoa.
6. Wema
Huyu mwanzoni hakunivutia ila alivyoanza kufungasha ile tandam nikanasa.
7. Waziri Kariuki
Huyu mwanamama ni mzuri kinoma. Inagwa umri kanizidi ila anawafunika hadi watoto wa 2000.
NdioHivi besta Na Mallow bado Ni mke n mume au??
Ndio ujue sasa onyo la Yesu kwa wanaume hakukosea aliposema......Nilihisi hivyo ila leo ndio nme appreciate 🤭
Duuh [emoji23]Kuna huyu anaitwa lady j Dee huyu manzi Ni mkali sana.
Nampenda bado
KwakweliNdio ujue sasa onyo la Yesu kwa wanaume hakukosea aliposema......
" Kila mwanaume amtazamaye mwanamke na kumtamani amekwisha kuzini naye moyoni..."
Endelea kusoma comments za wanaume 🤣
Dada wa kinyakyusa 🤣🤣🤣 unamsema dadake Lucas mwashambwa sio???Kairuki is a really definition of Pisi Kali, gorgeous. Kuna kikao alikua mgeni rasmi aaseee Mungu anaumba,hakika alitumia mda Mwingi kumuumba akiwa amechoka akamalizia kumuumba Dada wa kinyakyusa kukamilisha idadi🤣🤣
2.Mobetooo,ni Hatariii.
Umenifanya nimesimamisha ujue🤣🤣🤣🤣🙈🙈🙈🙈Njoo chukua mkuu mimi huwa sijui kumkatalia mtu.
Uchawa unakusumbua sana..umefikia kujiita "MAMA"Ni kweli hii ID yangu inawachanganya wapumbavu wengi sana. Hauko peke yako kuna wapumbavu wengine pia wamekuwa wakidhani hivyo. Hii ni ID ya kimkakati.
yani huyu Tima huyu mmh anunekana na moto balaa1. Christina Shusho
2. Tima wa Huba.
Hao wanatoshaaaaa!!
Nilikua natest mita mboo...😋Bro!!!!!???? 😭
🤣😅😅😅 Niki kukuta peponi mimi nitatoka 😂😂Nilikua natest mita mboo...😋
😂😂😂😂🙌🙌Kwani wanapotongoza avatar hapa jf huwa unaona wapo sawa?
Sio ajabu hata hiyo picha yako kuna mjuba huwa anaikula kwa macho🤣
Hahaa wanamajina mazuriii sauti nzurii kutana na hicho chumaa live sasa🤣🤣🤣Hogoopa.Dada wa kinyakyusa 🤣🤣🤣 unamsema dadake Lucas mwashambwa sio???