Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Kuwala kwa macho equal to kupiga nyeto ukiwa umeshikilia picha zao.wanawake maarufu niliowahi kuwala kwa macho.
Kuwa muwazi bwashee CHAPUTA watakupa uenyekiti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwala kwa macho equal to kupiga nyeto ukiwa umeshikilia picha zao.wanawake maarufu niliowahi kuwala kwa macho.
Km kupiga mkonobaoSometimes ukiwa mwenyewe Kuna mambo ya ajabu unaweza fanya ya kushangaza mkuu
Kula kwa macho ndio hio kupiga mkonobao we ulifikiri anakwambia niniKuwala kwa macho equal to kupiga nyeto ukiwa umeshikilia picha zao.
Kuwa muwazi bwashee CHAPUTA watakupa uenyekiti.
Hivi besta Na Mallow bado Ni mke n mume au??Nora, Besta, Rose Ndauka, Mama Zakhia Meghji
Andika kwa mkazo Mwanachama Mwamdamizi wa Chama Cha Punyeto Tanzania (CHAPUTA)Siku zote nilidhani MamaSamia2025 Ni MTU na heshima zake kumbe Ni mjumbe kwenye kamati ya ufundi CHAPUTA!
Yap ! Kama vile kunywa maji na jagi,kulia kwenye sufuria,kuongea mwenyewe,kujichekea kwenye vioo nkKm kupiga mkonobao
Anawala Sana akiwa bafuni.Kwamba mpaka sasa bado unaendelea kuwala kwa macho au macho yamesharidhika?
Umefaidi sana kula hao saba kwa macho, hongera sana. Mimi sijala hata mmoja kati ya hao kwa macho.Kila rijali huwa kuna mwanamke maarufu anayemhusudu ila ndo hivyo huishia kumtafuna kimoyomoyo kutokana na kutokuwepo kwa nafasi ya kuweza kumpata. Ifuatayo ni orodha tukufu ya wanawake maarufu niliowahi kuwala kwa macho. Nitaanzia wale wakongwe hadi hawa wa sasa.
1. Miriam Odemba
Huyu manzi kwa mara ya kwanza nilimuona kwenye tangazo la lotion ambalo jina sikumbuki. Ilikuwa mwaka 1998. Hapo nilikuwa shule ya msingi. Nilipoingia sekondari nikawa simsikii tena.
2. Nora
Huyu mwigizaji nikiwa form one ndo alianza kuvuma akawa anaandikwa sana magazetini. Wakati nikiendelea kumtafuna kwa macho ikatangazwa kuwa kaolewa na mtu aitwaye Ngwizukulu Jilala. Mke wa mtu ni sumu.
3. Sinta
Huyu naye kavuma sana nyakati hizohizo kama za Nora. Msanii Juma Nature alituwakilisha vijana wote kwenye kulifaidi penzi la huyu mtoto mzuri.
4. Kemy
Huyu dada mwigizaji alikuwa anaonekana kama umri umesogea ila mimi haikujalisha. Nilimtaka na huo umri wake.
5. Irene Uwoya
Kwa kumbukumbu zangu mwaka 2004 hadi 2006 nilikuwa bize sana na msuli wa PCM hivyo nikajikuta mambo ya kipuuzi nimepunguza sana. Lakini 2006 kina Uwoya na wenzake walianza kuvuma. Nikajikuta nae nimemtamani ila mchezaji Ndikumana ndo akawa mshindi wa jumla baada ya kumuoa.
6. Wema
Huyu mwanzoni hakunivutia ila alivyoanza kufungasha ile tandam nikanasa.
7. Waziri Kariuki
Huyu mwanamama ni mzuri kinoma. Inagwa umri kanizidi ila anawafunika hadi watoto wa 2000.
Nashukuru naendaNenda kigamboni
Na ndio maana nimemtaka aseme wazi ili apewe uenyekiti wa CHAPUTA.Kula kwa macho ndio hio kupiga mkonobao we ulifikiri anakwambia nini
Unaemmensheni yoyote kwamba ulimla kwa macho maana yake ulipiga mkonobao
wale ni wanadini kuachana kama mastaa wengine ni ngumuHivi besta Na Mallow bado Ni mke n mume au??