Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Besta ilikuawaga chuma asee Shepu la maanaNora, Besta, Rose Ndauka, Mama Zakhia Meghji
Kumbe utoto unakunyanyasa bado!Kila rijali huwa kuna mwanamke maarufu anayemhusudu ila ndo hivyo huishia kumtafuna kimoyomoyo kutokana na kutokuwepo kwa nafasi ya kuweza kumpata. Ifuatayo ni orodha tukufu ya wanawake maarufu niliowahi kuwala kwa macho. Nitaanzia wale wakongwe hadi hawa wa sasa.
1. Miriam Odemba
Huyu manzi kwa mara ya kwanza nilimuona kwenye tangazo la lotion ambalo jina sikumbuki. Ilikuwa mwaka 1998. Hapo nilikuwa shule ya msingi. Nilipoingia sekondari nikawa simsikii tena.
2. Nora
Huyu mwigizaji nikiwa form one ndo alianza kuvuma akawa anaandikwa sana magazetini. Wakati nikiendelea kumtafuna kwa macho ikatangazwa kuwa kaolewa na mtu aitwaye Ngwizukulu Jilala. Mke wa mtu ni sumu.
3. Sinta
Huyu naye kavuma sana nyakati hizohizo kama za Nora. Msanii Juma Nature alituwakilisha vijana wote kwenye kulifaidi penzi la huyu mtoto mzuri.
4. Kemy
Huyu dada mwigizaji alikuwa anaonekana kama umri umesogea ila mimi haikujalisha. Nilimtaka na huo umri wake.
5. Irene Uwoya
Kwa kumbukumbu zangu mwaka 2004 hadi 2006 nilikuwa bize sana na msuli wa PCM hivyo nikajikuta mambo ya kipuuzi nimepunguza sana. Lakini 2006 kina Uwoya na wenzake walianza kuvuma. Nikajikuta nae nimemtamani ila mchezaji Ndikumana ndo akawa mshindi wa jumla baada ya kumuoa.
6. Wema
Huyu mwanzoni hakunivutia ila alivyoanza kufungasha ile tandam nikanasa.
7. Waziri Kariuki
Huyu mwanamama ni mzuri kinoma. Inagwa umri kanizidi ila anawafunika hadi watoto wa 2000.
Sitii neno mkuu[emoji23][emoji23]
Hapo nakuunga mkono isipokuwa AminaAmina Chifupa.... huyu alifanya Nikaona magazeti ya Mzee yote yenye sura yake.
Angela Kairuki... Lishangazi hili kwakweli liliumbwa likaumbika.
Irene Uwoya... Huyu nakua umri ,nakua naye mpaka Leo, huyu Bidada Kuna Siku nmeota namla, nikajimwagia shahawa.
Kuna huyu Muimba Nyimbo za Injili walosema ameliwa na Diamond...daahh hili lishangazi hili linanitoaga Mateeee
Niileteen, Mishangazi tu 🤩
Mimi Nina hamu na wewe tu HannahBado unaweza kuwala mkuu. Ushiishie tu kuwala kwa macho
Ni kweli kabisa. Hujakosea. Mimi bado ni mtoto wa miaka 38 kwa wazazi wangu.Kumbe utoto unakunyanyasa bado!
Dah; siku zote tunajua wewe ni jike! Nimeshangaa sana kwa uzi wako huu.Kila rijali huwa kuna mwanamke maarufu anayemhusudu ila ndo hivyo huishia kumtafuna kimoyomoyo kutokana na kutokuwepo kwa nafasi ya kuweza kumpata. Ifuatayo ni orodha tukufu ya wanawake maarufu niliowahi kuwala kwa macho. Nitaanzia wale wakongwe hadi hawa wa sasa.
1. Miriam Odemba
Huyu manzi kwa mara ya kwanza nilimuona kwenye tangazo la lotion ambalo jina sikumbuki. Ilikuwa mwaka 1998. Hapo nilikuwa shule ya msingi. Nilipoingia sekondari nikawa simsikii tena.
2. Nora
Huyu mwigizaji nikiwa form one ndo alianza kuvuma akawa anaandikwa sana magazetini. Wakati nikiendelea kumtafuna kwa macho ikatangazwa kuwa kaolewa na mtu aitwaye Ngwizukulu Jilala. Mke wa mtu ni sumu.
3. Sinta
Huyu naye kavuma sana nyakati hizohizo kama za Nora. Msanii Juma Nature alituwakilisha vijana wote kwenye kulifaidi penzi la huyu mtoto mzuri.
4. Kemy
Huyu dada mwigizaji alikuwa anaonekana kama umri umesogea ila mimi haikujalisha. Nilimtaka na huo umri wake.
5. Irene Uwoya
Kwa kumbukumbu zangu mwaka 2004 hadi 2006 nilikuwa bize sana na msuli wa PCM hivyo nikajikuta mambo ya kipuuzi nimepunguza sana. Lakini 2006 kina Uwoya na wenzake walianza kuvuma. Nikajikuta nae nimemtamani ila mchezaji Ndikumana ndo akawa mshindi wa jumla baada ya kumuoa.
6. Wema
Huyu mwanzoni hakunivutia ila alivyoanza kufungasha ile tandam nikanasa.
7. Waziri Kariuki
Huyu mwanamama ni mzuri kinoma. Inagwa umri kanizidi ila anawafunika hadi watoto wa 2000.
Ile video ya 21 qns 50 cents alichomfanya meghan good niliona wivu kipindi kile bado kidogo nirushe ngumi nipasue kioo cha TV 😄-Mimi Mars
-Ummy mwalim
-Meghan Good
-Emilia Clarke
Hannah na mimi nataka 🤗Njoo chukua mkuu mimi huwa sijui kumkatalia mtu.
Ni kweli hii ID yangu inawachanganya wapumbavu wengi sana. Hauko peke yako kuna wapumbavu wengine pia wamekuwa wakidhani hivyo. Hii ni ID ya kimkakati.Dah; siku zote tunajua wewe ni jike! Nimeshangaa sana kwa uzi wako huu.
Mbona huu uzi ni wa kipumbavu sana tofauti na malengo unayodai ya id yako? Btw huwa hawaji-expose kama ulivyofanya!Ni kweli hii ID yangu inawachanganya wapumbavu wengi sana. Hauko peke yako kuna wapumbavu wengine pia wamekuwa wakidhani hivyo. Hii ni ID ya kimkakati.