Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,435
- 7,784
sikuwah kufaham wewe ni mwanaume nilikua najua wewe wavkike broo am soreee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lishangazi Queen Masanja ni hatariKila rijali huwa kuna mwanamke maarufu anayemhusudu ila ndo hivyo huishia kumtafuna kimoyomoyo kutokana na kutokuwepo kwa nafasi ya kuweza kumpata. Ifuatayo ni orodha tukufu ya wanawake maarufu niliowahi kuwala kwa macho. Nitaanzia wale wakongwe hadi hawa wa sasa.
1. Miriam Odemba
Huyu manzi kwa mara ya kwanza nilimuona kwenye tangazo la lotion ambalo jina sikumbuki. Ilikuwa mwaka 1998. Hapo nilikuwa shule ya msingi. Nilipoingia sekondari nikawa simsikii tena.
2. Nora
Huyu mwigizaji nikiwa form one ndo alianza kuvuma akawa anaandikwa sana magazetini. Wakati nikiendelea kumtafuna kwa macho ikatangazwa kuwa kaolewa na mtu aitwaye Ngwizukulu Jilala. Mke wa mtu ni sumu.
3. Sinta
Huyu naye kavuma sana nyakati hizohizo kama za Nora. Msanii Juma Nature alituwakilisha vijana wote kwenye kulifaidi penzi la huyu mtoto mzuri.
4. Kemy
Huyu dada mwigizaji alikuwa anaonekana kama umri umesogea ila mimi haikujalisha. Nilimtaka na huo umri wake.
5. Irene Uwoya
Kwa kumbukumbu zangu mwaka 2004 hadi 2006 nilikuwa bize sana na msuli wa PCM hivyo nikajikuta mambo ya kipuuzi nimepunguza sana. Lakini 2006 kina Uwoya na wenzake walianza kuvuma. Nikajikuta nae nimemtamani ila mchezaji Ndikumana ndo akawa mshindi wa jumla baada ya kumuoa.
6. Wema
Huyu mwanzoni hakunivutia ila alivyoanza kufungasha ile tandam nikanasa.
7. Waziri Kariuki
Huyu mwanamama ni mzuri kinoma. Inagwa umri kanizidi ila anawafunika hadi watoto wa 2000.
umenikumbusha watangazajiElizabeth yule wa TBC
Sema hawa watangazaji unaweza ukampata ukikomaaaumenikumbusha watangazaji
kuna huyu julieth robert wa itv, pisi mno
View attachment 2923327
View attachment 2923328
kuna huyu agnes almasi nae wa itv, alikua na sauti nzuri, sema alifariki
View attachment 2923329
Emilia Clarke, huyu manzi si mchezo [emoji119][emoji119] Game of Throne.-Mimi Mars
-Ummy mwalim
-Meghan Good
-Emilia Clarke
Funguliaumenikumbusha watangazaji
kuna huyu julieth robert wa itv, pisi mno
View attachment 2923327
View attachment 2923328
kuna huyu agnes almasi nae wa itv, alikua na sauti nzuri, sema alifariki
View attachment 2923329
umenikumbusha watangazaji
kuna huyu julieth robert wa itv, pisi mno
View attachment 2923327
View attachment 2923328
kuna huyu agnes almasi nae wa itv, alikua na sauti nzuri, sema alifarik
Fungulia itv anatangaza taarifa ya habari nowumenikumbusha watangazaji
kuna huyu julieth robert wa itv, pisi mno
View attachment 2923327
View attachment 2923328
kuna huyu agnes almasi nae wa itv, alikua na sauti nzuri, sema alifariki
View attachment 2923329
Mnooooo yanii!
Ah kudadadadeki utafanya nizimie ujue 😆😂Daah mtihani huu, na vile sijui kukataa😂😂
Njoo chukua mkuu
si raia wa kawaida tu, hawana makando kando....Sema hawa watangazaji unaweza ukampata ukikomaaa
Hapa dogo umecheza huyu dada 🔥🔥🔥🔥🔥🔥umenikumbusha watangazaji
kuna huyu julieth robert wa itv, pisi mno
View attachment 2923327
View attachment 2923328
kuna huyu agnes almasi nae wa itv, alikua na sauti nzuri, sema alifariki
Sema kama yule Eliza aiseee kibunda changu hakiruhususi raia wa kawaida tu, hawana makando kando....