Orodha ya biashara kwa mtaji kiduchu zenye uhakika wa kukulipa awamu hii ya tano

Mpaka nimemaliza kusoma kuanzia mwanzo mpaka mwisho

Nahisi kichwa kinavibrate kwa kweli

Ndo maana huwa nasema
Usimuhukumu mtu pasipo kujua undani wake
Demiss mbona kama una ndevu??
 
Mpaka nimemaliza kusoma kuanzia mwanzo mpaka mwisho

Nahisi kichwa kinavibrate kwa kweli

Ndo maana huwa nasema
Usimuhukumu mtu pasipo kujua undani wake
Yani cha mdeko una "mustach"
 
Hahaha pole sana binti ninajua umepata wakati 'mgumu' kuweza 'kuulazimisha' ubongo wako kuingiza kitu ambacho 'haujazoea' na hii ndio sababu 'kuu' kwanini 'chips hailiwi kwa kijiko'
Kama ulikuwepo maan nilivyofika katikat nikaweka mapumziko kidogo na hii imetokana na tabia yangu kila nikiingia hapa lazima nitafute umeandika nn ?

Ndo nakutana na madini haya aiseeee
Mpaka saiv kichwa bado kinaumaaa
 
Hahaha pole sana binti ninajua umepata wakati 'mgumu' kuweza 'kuulazimisha' ubongo wako kuingiza kitu ambacho 'haujazoea' na hii ndio sababu 'kuu' kwanini 'chips hailiwi kwa kijiko'
Kama ulikuwepo maan nilivyofika katikat nikaweka mapumziko kidogo na hii imetokana na tabia yangu kila nikiingia hapa lazima nitafute umeandika nn ?

Ndo nakutana na madini haya aiseeee
Mpaka saiv kichwa bado kinaumaaa
 
jifunze kiswahili
 
aise bro, nimepata kitu kwenye huu uzi.....

hongera sana kwa uchambuzi yakinifu...

nasubiria kwa hamu mwendelezo....

kama hutojali unaweza kushare nasi moja ya business unayofanya na kwa jinsi gan unavopiga faida ? japo hints.... naamini utasaidia wengi nikiwemo pia, mm ni mwajiriwa taasisi fulan, ila nataka nijiongeze kwa kuingia kwenye ujasiriamali...

thanks.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…