Orodha ya bidhaa ambazo Serikali inatakiwa izizuie kuingia nchini

Orodha ya bidhaa ambazo Serikali inatakiwa izizuie kuingia nchini

Kuna jamaa wachagga nimeona viatu vyao jamaa yangu kavaa sikuamini kama ni made in Tz. Nimeamua naenda kununua soon. Bei kuanzia 45,000
Hivo viatu vinauzwa 45,000 hapa Dar na wanavinunua hata 28,000 pale Majengoz Moshi. Viatu imara na vizuri ila unakutana na leather bongo inauzwa laki madukani na haina maajabu yoyote ila kisa tu umetoka nje.
 
Hivo viatu vinauzwa 45,000 hapa Dar na wanavinunua hata 28,000 pale Majengoz Moshi. Viatu imara na vizuri ila unakutana na leather bongo inauzwa laki madukani na haina maajabu yoyote ila kisa tu umetoka nje.
Oh!
 
Furniture. Furniture. Furniture. Wakianza na hilo watakua wamefanya jambo kubwa sana

Huwa nashangaa watu kununua furniture kutoka nje wakati mafundi kitaani wanatengeneza furniture nzuri sana kwa bei poa. Imagine ofisi zote zingekua na furniture zilizotengenezwa nchini tungekua wapi.
Tatizo wabongo wahuni sana, siku hizi wameacha kuweka mabox kwenye sofa
 
Nipe mfano wa bidhaa ambazo China amepiga marufuku kabisa kuingia nchini kwake ili alinde viwanda vyake.
Kuna Mchina gani miaka ile angeacha kuvaa zile suti za Mao akaja kuvaa aya masuti ya Wazungu. Cloth making nchini humo ililindwa na ndio industry ya kwanza kupewa initiation na serikali.

Wachina walikuwa na boycott ya bidhaa za Mjapani miaka nenda rudi.

Twende Marekani hapo miaka ya hivi karibuni kuna vizingiti kwa samaki kambale watokao nje hasa Vietnam ambao wana bei ndogo sana kuliko wanaozalishwa Marekani. Hilo battle ni la miaka.

Nenda na maziwa yako pale Western Europe uone utamuuzia nani wakati giants kama Nestle wanauza. Uza matunda yanayopatikana Ulaya kwa kujitosheleza uone kama utakubaliwa. Uza nyanya uone kama Israel hajaja kutetea soko lake. Hapo utaambiwa na mamlaka za chakula hazijaridhika na ubora. Achana na matunda waliyo nayo, wapelekee maparachichi ambayo hawalimi. Hakuna atakayelilia ubora. Yani uuze zabibu Italy wakati wana mashamba?

Hiyo mikataba ya biashara kina NAFTA inakuwa ya nini, kama protectionalism hamna nani angesaini mkataba. Kwenye mkataba lengo kuu wanasema "to remove trade barriers". Which barriers kama ni free trade?
 
Kumbe unaongea out of assumption?
Hebu Google 'the history of Protectionism in China'


Au tafuta complain za Wilbur Ross kuhusu protectionism za China...as recent as 2017
Mkuu nilikwambia usipoteze mudaa..watu ni weupe sana kwenye maswala haya...hakuna nchi inayojielewa ambayo haijawai fanya hiko kitu...au haifany hiko kitu...watu wanataka ujuaj tu hapa. Achana nao...kitu kdogo kama hko mtu anataka abishe. Hakuna nchi dunian inayojielewa ambayo at a time haijawai fanya hyo kitu...kuna kipind china ilipiga marufuku kuingiza copper china kama finished product..unapigwa risas kabisa..sio copper tu.kuna mataka taka kibao yalikua marufuk...hata brazil kuna kipind ilikua ni marufuk kuingiza sukar..mtu anataka kubisha ujinga
 
Kuna Mchina gani miaka ile angeacha kuvaa zile suti za Mao akaja kuvaa aya masuti ya Wazungu. Cloth making nchini humo ililindwa na ndio industry ya kwanza kupewa initiation na serikali.

Wachina walikuwa na boycott ya bidhaa za Mjapani miaka nenda rudi.

Twende Marekani hapo miaka ya hivi karibuni kuna vizingiti kwa samaki kambale watokao nje hasa Vietnam ambao wana bei ndogo sana kuliko wanaozalishwa Marekani. Hilo battle ni la miaka.

Nenda na maziwa yako pale Western Europe uone utamuuzia nani wakati giants kama Nestle wanauza. Uza matunda yanayopatikana Ulaya kwa kujitosheleza uone kama utakubaliwa. Uza nyanya uone kama Israel hajaja kutetea soko lake. Hapo utaambiwa na mamlaka za chakula hazijaridhika na ubora. Achana na matunda waliyo nayo, wapelekee maparachichi ambayo hawalimi. Hakuna atakayelilia ubora. Yani uuze zabibu Italy wakati wana mashamba?

Hiyo mikataba ya biashara kina NAFTA inakuwa ya nini, kama protectionalism hamna nani angesaini mkataba. Kwenye mkataba lengo kuu wanasema "to remove trade barriers". Which barriers kama ni free trade?
Safi sana..hakuna nchi dunian isiyopractice hyo kitu..leo tu mwigulu kapiga marufuku vifaranga...mtu anakuja bisha....ujue hum jf ujuaj ni mwing sana..mi nakereka sana..vtu vya muhim vya kitaifa ila mtabishaaana wee mtu anataka onyesha umwamba
 
Kuna Mchina gani miaka ile angeacha kuvaa zile suti za Mao akaja kuvaa aya masuti ya Wazungu. Cloth making nchini humo ililindwa na ndio industry ya kwanza kupewa initiation na serikali.

Wachina walikuwa na boycott ya bidhaa za Mjapani miaka nenda rudi.

Twende Marekani hapo miaka ya hivi karibuni kuna vizingiti kwa samaki kambale watokao nje hasa Vietnam ambao wana bei ndogo sana kuliko wanaozalishwa Marekani. Hilo battle ni la miaka.

Nenda na maziwa yako pale Western Europe uone utamuuzia nani wakati giants kama Nestle wanauza. Uza matunda yanayopatikana Ulaya kwa kujitosheleza uone kama utakubaliwa. Uza nyanya uone kama Israel hajaja kutetea soko lake. Hapo utaambiwa na mamlaka za chakula hazijaridhika na ubora. Achana na matunda waliyo nayo, wapelekee maparachichi ambayo hawalimi. Hakuna atakayelilia ubora. Yani uuze zabibu Italy wakati wana mashamba?

Hiyo mikataba ya biashara kina NAFTA inakuwa ya nini, kama protectionalism hamna nani angesaini mkataba. Kwenye mkataba lengo kuu wanasema "to remove trade barriers". Which barriers kama ni free trade?


Exactly..
Trade barriers ndo hizo tunaomba serikali iweke kulinda ajira
 
Back
Top Bottom