Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kazi mnawapa Wachina hizo kampuni Bora zitatoka wapi?Hebu tuzitaje Kampuni kubwa za ujenzi Tanzania ambazo ni za Watanzania, zile ambazo tunaona zina uwezo sawa na za nje.
Tuweke list hapa please.
Lengo tuzijue...zitakuwepo tuKama kazi mnawapa Wachina hizo kampuni Bora zitatoka wapi?
Kama majengo ya Wizara na Taasisi nyingi zimejengwa na kampuni za ndani kwanini ujenzi wa hostels wapewe Wachina?
Serikali inatekeleza mradi wa Mageuzi ya Elimu ya Juu ambapo pamoja na mambo mengine Inajenga Campus Mpya na kuongeza majengo kwenye vyuo vilivyopo via HEET Project kwa kutumia pesa za mkopo zaidi ya Bilioni 800. Cha kushangaza badala ya pesa hii ibakie inazinguka ndani ya nchi kwa kuwapa...www.jamiiforums.com
HakunaLengo tuzijue...zitakuwepo tu
Wewe Toka umeanza kupinga onyesha heshima Yako ilivyoongezekaDP World unayoipambania kila siku mpaka kujishushia heshima hapa JF 🚮🚮🚮
Kafie mbele huko mfia dini!Sitaki heshima ya makundi ya wajinga...
Bora kuheshimiwa na watu wawili wenye akili
Mayanga construction...Hebu tuzitaje Kampuni kubwa za ujenzi Tanzania ambazo ni za Watanzania, zile ambazo tunaona zina uwezo sawa na za nje.
Tuweke list hapa please.
Yaani watz watupu top down 😄 sidhani kama ipoEstim ni ya watanzania watupu??
Natamani Tu kwanza kuzijua...Tukitaka kitu the best tutatumia the best kwenye hio nyanja husika vidogo, vidogo tutafanya kwa kushirikiana na hao the best hususan kwa suala la ujenzi; Ndio maana hata wewe ukijenga nyumba huchukui familia yako utachukua mjenzi bora kuliko wote kulingana na uwezo wako...
Lakini sidhani baada ya ujenzi utawaambia hao watu wakuendeshee familia yako; either utawapangisha kwa muda mfupi mfupi wakupe pesa au kuajili mtu asimamie jengo lako kukusanya kodi (kama ukusanyaji huo ni gharama kuliko ungekusanya mwenyewe)
Kuhusu kampuni bora ili ziwe bora inabidi zianze kujiuza nje ya nchi na sio ndani tu (what's good for the goose is good for the gander) Pili kampuni hizi inabidi ziwe bunifu mfano kutengeneza msonge au nyumba za nyasi na tope (our Technic) ziweze kuzi-export nje
Nyingine ni ndogondogo tu hata hazifahamikiAnaefuata baada ya Estim?
Ujenzi wa nini ? Na hapo lazima UsemeNatamani Tu kwanza kuzijua...
Kama njia ya kuzitangaza bila kumjali size ya uwezo wao...