Orodha ya Kampuni Bora za Ujenzi nchini zinazomilikiwa na Watanzania

Orodha ya Kampuni Bora za Ujenzi nchini zinazomilikiwa na Watanzania

Kuna mkandarasi mmoja katengeneza barabara ya lami inatimua vumbi pumbavu sana yule na nilisoma ile bango ni ensul kitu kama hicho

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Kama kazi mnawapa Wachina hizo kampuni Bora zitatoka wapi?
Wanapewa Wachina sababu wabongo uaminifu sifuri.
 
Hata hawa ma-gabachori unajivunia kuwa ni watanzania!?
Na Wana hadi Bank yao Bank of India...

Ni benki ndio...imefunguliwa na kusajiliwa Tanzania pale posta.. karibu na Holiday Inn Hotel.....

Nenda sasa jaribu kuapply mkopo wa kibiashara usikie watakachokujibu! Na umekidhi vigezo vyoote!....

Kasoro Ngozi tu....Labda na Sharubu!
Hiyo Benki ipo hapo panaitwa Maktaba Square...
 
Back
Top Bottom