uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Estim constrctn patel wa msoga mjini chalinze
Hii ni kampuni yenye nguvu sana ya Wahindi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Estim constrctn patel wa msoga mjini chalinze
Sitaki heshima ya makundi ya wajinga...
Bora kuheshimiwa na watu wawili wenye akili
akiwa mbia na mzee wa msogaEstim constrctn patel wa msoga mjini chalinze
Mayanga inamilikiwa na mtanzania Gani Mzee?Mayanga construction...
Magufuli.Mayanga inamilikiwa na mtanzania Gani Mzee?
Nakumbuka ilianza Strabag ya ujerumani alafu zikaja za bongo kama sikosei.hiizi zinazojenga njia ya mwendo Kasi nizawapi?
Hii inamilikiwa na Magufuli japo sio comptitent kufikia level za Estim ila naiman imefika hapo kwa kubebwa hasa kipindi cha mwendazake. Mfano ujenzi uwanja wa chato walipewa!Mayanga construction...
Wanapewa Wachina sababu wabongo uaminifu sifuri.Kama kazi mnawapa Wachina hizo kampuni Bora zitatoka wapi?
Kama majengo ya Wizara na Taasisi nyingi zimejengwa na kampuni za ndani kwanini ujenzi wa hostels wapewe Wachina?
Serikali inatekeleza mradi wa Mageuzi ya Elimu ya Juu ambapo pamoja na mambo mengine Inajenga Campus Mpya na kuongeza majengo kwenye vyuo vilivyopo via HEET Project kwa kutumia pesa za mkopo zaidi ya Bilioni 800. Cha kushangaza badala ya pesa hii ibakie inazinguka ndani ya nchi kwa kuwapa...www.jamiiforums.com
Hii inamilikiwa na Magufuli japo sio comptitent kufikia level za Estim ila naiman imefika hapo kwa kubebwa hasa kipindi cha mwendazake. Mfano ujenzi uwanja wa chato walipewa!
mana naona wachina kidogo nawabongo kama woteeNakumbuka ilianza Strabag ya ujerumani alafu zikaja za bongo kama sikosei.
Hiyo Benki ipo hapo panaitwa Maktaba Square...Hata hawa ma-gabachori unajivunia kuwa ni watanzania!?
Na Wana hadi Bank yao Bank of India...
Ni benki ndio...imefunguliwa na kusajiliwa Tanzania pale posta.. karibu na Holiday Inn Hotel.....
Nenda sasa jaribu kuapply mkopo wa kibiashara usikie watakachokujibu! Na umekidhi vigezo vyoote!....
Kasoro Ngozi tu....Labda na Sharubu!