Orodha ya Kampuni Bora za Ujenzi nchini zinazomilikiwa na Watanzania

Majengo Kwa kuanzia..
Na barabara inafuatia
 
Majengo Kwa kuanzia..
Na barabara inafuatia
Capacity Pia matters Kampuni zinaweza kuwa bora kwa kujenga madarasa na maabara za shule; ila skyscrapers ? Ndio hapo bila kujaribiwa na kuwa tested naweza kusema nyingi tu ni bora ila capacity yake its another thing...

Mbili unaweza wewe ukawa mjenzi mzuri sana wa barabara ile pesa unayopewa na mirija ya walamba asali kwenye ratio wakataka wale au Kwenye kulipwa leo ukalipwa Kesho au usilipwe....

Kwahio nadhani issue sio Umiliki per se; sababu hata hizo The Biggest in the World zinazokuja huku na kule utagundua kwamba zina mkono wa State (Serikali yao); Its a Corporations and Shareholders world now..., mambo ya Kampuni ya Bibi na Babu its long gone... unless ni conglomerate kama kina Dangote....
 
Mkuu umechanganya lugha ngumu sana hadi itamuia vigumu muhadzabe chuma cha mjerumani kukuelewa.
 
Estim constrctn patel wa msoga mjini chalinze
Hata hawa ma-gabachori unajivunia kuwa ni watanzania!?
Na Wana hadi Bank yao Bank of India...

Ni benki ndio...imefunguliwa na kusajiliwa Tanzania pale posta.. karibu na Holiday Inn Hotel.....

Nenda sasa jaribu kuapply mkopo wa kibiashara usikie watakachokujibu! Na umekidhi vigezo vyoote!....

Kasoro Ngozi tu....Labda na Sharubu!
 
Spek....Deo Marandu,Ridhwani Mringo na Raymond Tarimo

Emirate Construction...DeoMarandu
Kings Builders....Raymond Tarimo
Kachu Ujenzi....

Estim...mzee Gire

Waliojenga pale makumbusho yake maghoroga ya Derm ni kampuni gani?

Alijenga NMB headoffice ni kina nani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…