Orodha ya kampuni za kubeti Tanzania

Orodha ya kampuni za kubeti Tanzania

Maafisa Ubashiri.. nawasalimia..😂

Sasa Marubani wa Aviator wanalia sana..
Aviator Jana nilideposit 70k ikapanda Hadi 80k nikacheza nikapigwa Hadi ikabaki 8000, nikastake yote ya mwisho nikasema ama zangu au wao nikaiacha Hadi ikafika 65k😄 , nikastake Tena mdogo mdogo nikafika 100k nikakimbia Ila jasho lilitoka😂
 
Hivi afisa emu pekuapekua mafaili huko ofisini Princessbet bado ipo au na yeye ilishaaga mpambano? Nimeona hii kuna mdau aliinunua kaibadirisha jina sasa inaitwa WinPrincess sio mchezo
 
Back
Top Bottom