Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Wasafibet vip
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aviator Jana nilideposit 70k ikapanda Hadi 80k nikacheza nikapigwa Hadi ikabaki 8000, nikastake yote ya mwisho nikasema ama zangu au wao nikaiacha Hadi ikafika 65k😄 , nikastake Tena mdogo mdogo nikafika 100k nikakimbia Ila jasho lilitoka😂Maafisa Ubashiri.. nawasalimia..😂
Sasa Marubani wa Aviator wanalia sana..
IpoWasafibet vip
10bet haipo Tanzania, Betway nimetaja, willium hill haifanyi kazi bongo lakini saivi ilinunuliwa na kampuni ya Evoke Kama sijakosea10bet
Williamhill
Betway
Mkekabet kafa kifo cha mende chaliSokabet
Hizi kampuni Kama hutokuwa na Viongozi Bora wa kimataifa hufiki mahaliMkekabet kafa kifo cha mende chali
Mkekabet competition ya Sportpesa na wengine wamemtoa kwenye reli Bikosport alikuja kwa mbwembwe ila sasa nae anapumulia mashineHizi kampuni Kama hutokuwa na Viongozi Bora wa kimataifa hufiki mahali
WasafibetOngeza iliyosahaulika
Princes iliungana na winprinces lakin kwa Sasa winprinces nayo ilianga mashindanoHivi afisa emu pekuapekua mafaili huko ofisini Princessbet bado ipo au na yeye ilishaaga mpambano? Nimeona hii kuna mdau aliinunua kaibadirisha jina sasa inaitwa WinPrincess sio mchezo
Naona wako under maintenance muda huuPrinces iliungana na winprinces lakin kwa Sasa winprinces nayo ilianga mashindano
Hii ipo nchi gani? Au mawinguni?Hamobet
Hapana walisimamisha operation zao tanzania. Wanaweza kuja na jina lingine au wakaungana kampuni nyingine. Maintenance haiwezi chukua zaidi ya miezi 3 na hii tangu mwezi wa 6 haifanyi kaziNaona wako under maintenance muda huu
Basi itakuwa nao wamekula mwelekaHapana walisimamisha operation zao tanzania. Wanaweza kuja na jina lingine au wakaungana kampuni nyingine. Maintenance haiwezi chukua zaidi ya miezi 3 na hii tangu mwezi wa 6 haifanyi kazi
mtakujaga kufa shingo upande...🤣Aviator Jana nilideposit 70k ikapanda Hadi 80k nikacheza nikapigwa Hadi ikabaki 8000, nikastake yote ya mwisho nikasema ama zangu au wao nikaiacha Hadi ikafika 65k😄 , nikastake Tena mdogo mdogo nikafika 100k nikakimbia Ila jasho lilitoka😂
KWeli mkuu😄mtakujaga kufa shingo upande...🤣
Kwahiyo mkuu kwa mtazamo wako ni kampuni zipi 3 kwa list hiyo ambazo hazina longolongo kwenye malipo?Hapo baba yao ni m-bet na ndo muhindi asili
Kwa hapa bongo
Mkuu hivi kampuni zipi 3 kati ya hizo ambazo ni uhakika kwenye kulipa?Hivi afisa emu pekuapekua mafaili huko ofisini Princessbet bado ipo au na yeye ilishaaga mpambano? Nimeona hii kuna mdau aliinunua kaibadirisha jina sasa inaitwa WinPrincess sio mchezo
Kama nilivyoweka kwenye Orodha mkuu 1 mpkaa ya mwisho za juu nibora zaidiMkuu hivi kampuni zipi 3 kati ya hizo ambazo ni uhakika kwenye kulipa?