Elections 2015 Orodha Ya Kashfa Za Mgombea Huyu Ni Hatari Sana Hafai, Ona Nawe Ongezea Nyingine

Elections 2015 Orodha Ya Kashfa Za Mgombea Huyu Ni Hatari Sana Hafai, Ona Nawe Ongezea Nyingine

Mimi nadhani bangi ziruhusiwe ila ziwe zinauzwa ghali ili wawe wanatumia wachache maana naona pamoja na kukataza mtoa post anatumia
 
Yule jamaa nmetokea kumpenda kupitia tuhuma mnazombebesha, yaani zamani nlkuwa ctaki hata kuckia jina lake. Kikubwa kilichonifanya nimpende ni kwamba HAPENDI KUJIBU mnachomtuhumu, ila anasema mumpeleke mahakamani basi. Yeye yupo bize na shughuri zake, nimejifunza vitu vingi sana toka kwake mpaka natamani awe role model wangu. Km kweli alifanya hayo yote basi Mungu mwenyewe ashughulike naye maana chini ya jua hakuna anayeweza kumuadhibu zaidi ya wapiga kelele tu. Hivi hamuoni aibu? maana yule jamaa hana time na wanaomtuhumu kwa ubaya, bali yupo bize na wale wanaomwamini huko mtaani
 
Mimi binafsi nilikua nataka mwenye sifa hizo hivyo umenikuna sana na sasa natangaza rasmi kwamba kura yangu ni kwa lowasa tu.
 
asijifiche kwa visingizio ni yy binafsi na ndio maana wenye kuujua ukweli kina Dr Slaa, Mwakyembe, Sitta nk wamejitokeza kuusema mbona umeadhirika na propaganda za fisadi EL na huuoni ukweli ulio wazi. Japo ww ni lo*fa ila jaribu kuwa na akili hata ya kufikiria kidogo

Asante ulofa katika ubora wetu! Hapa ni ukawa tuu
 
Habari Zenu Watanzania, Mimi Nina Sababu Kusema Huyu Jamaa Hafai Na Kifuatia Yafuatayo
1. Nasikia Tuhuma Na Kashfa Alipokuwa Mkurugenz AICC
2. Tuhuma akiwa wizara ya ardh kuhusu ranchi
3. Tuhuma akiwa waziri wa maji
4. Tuhuma jimbon kwake za mabilion ujenz wa visima,
5. tuhuma kutaka kutupga kupitia maigizo ya mvua ya kutengeneza ya thailand kuileta tz japo dili lilibuma,
6. tuhuma za kutoa rushwa kwa maaskofu
7, Tuhuma za kuwatumia walala hoi kupata madaraka kuwadanganya kuwalipa mabodaboda na kuwadhulum
8. tuhuma kuhusu mtoto wake kununua nyumba ya gharama ya mabilion uingereza kwa ela za Uoza,na uingereza Ikalaum
9. kujiusisha na wafanyabiashara wakubwa madalali waliotutia hasara
10. scotland kumtuhum kuhamisha mabilion kwenda uko kwa Siri
11. kuingizia taifa hasara kupitia richmond hawez kukwepa hapa
12. kutugawa kwa udin makanisan
13.tuhuma kutoudhulia msiba wa nyerere kwa ajenda binafsi
15. kulidanganya bunge na watanzania juu ya richmond,
SAIDIA KUORODHESHA NYINGINE UKO CHIN, NAJUA MTATAKA KUTAJA

Mkuu nimeipenda kazi unayoifanya ya kuwaelimisha watanzania kuhusiana na hili njizi kubwa katika taifa letu
 
Habari Zenu Watanzania, Mimi Nina Sababu Kusema Huyu Jamaa Hafai Na Kifuatia Yafuatayo
1. Nasikia Tuhuma Na Kashfa Alipokuwa Mkurugenz AICC
2. Tuhuma akiwa wizara ya ardh kuhusu ranchi
3. Tuhuma akiwa waziri wa maji
4. Tuhuma jimbon kwake za mabilion ujenz wa visima,
5. tuhuma kutaka kutupga kupitia maigizo ya mvua ya kutengeneza ya thailand kuileta tz japo dili lilibuma,
6. tuhuma za kutoa rushwa kwa maaskofu
7, Tuhuma za kuwatumia walala hoi kupata madaraka kuwadanganya kuwalipa mabodaboda na kuwadhulum
8. tuhuma kuhusu mtoto wake kununua nyumba ya gharama ya mabilion uingereza kwa ela za Uoza,na uingereza Ikalaum
9. kujiusisha na wafanyabiashara wakubwa madalali waliotutia hasara
10. scotland kumtuhum kuhamisha mabilion kwenda uko kwa Siri
11. kuingizia taifa hasara kupitia richmond hawez kukwepa hapa
12. kutugawa kwa udin makanisan
13.tuhuma kutoudhulia msiba wa nyerere kwa ajenda binafsi
15. kulidanganya bunge na watanzania juu ya richmond,
SAIDIA KUORODHESHA NYINGINE UKO CHIN, NAJUA MTATAKA KUTAJA

Hivi hakuna mpya
 
Haya shika buku saba, kwa kaz uliotumwa na serikali yako dhaifu isiyo weza kushika hata wezi, na tena uache uzushi, utakutokea puani mwanakijiji wewe
 
Habari Zenu Watanzania, Mimi Nina Sababu Kusema Huyu Jamaa Hafai Na Kifuatia Yafuatayo
1. Nasikia Tuhuma Na Kashfa Alipokuwa Mkurugenz AICC
2. Tuhuma akiwa wizara ya ardh kuhusu ranchi
3. Tuhuma akiwa waziri wa maji
4. Tuhuma jimbon kwake za mabilion ujenz wa visima,
5. tuhuma kutaka kutupga kupitia maigizo ya mvua ya kutengeneza ya thailand kuileta tz japo dili lilibuma,
6. tuhuma za kutoa rushwa kwa maaskofu
7, Tuhuma za kuwatumia walala hoi kupata madaraka kuwadanganya kuwalipa mabodaboda na kuwadhulum
8. tuhuma kuhusu mtoto wake kununua nyumba ya gharama ya mabilion uingereza kwa ela za Uoza,na uingereza Ikalaum
9. kujiusisha na wafanyabiashara wakubwa madalali waliotutia hasara
10. scotland kumtuhum kuhamisha mabilion kwenda uko kwa Siri
11. kuingizia taifa hasara kupitia richmond hawez kukwepa hapa
12. kutugawa kwa udin makanisan
13.tuhuma kutoudhulia msiba wa nyerere kwa ajenda binafsi
15. kulidanganya bunge na watanzania juu ya richmond,
SAIDIA KUORODHESHA NYINGINE UKO CHIN, NAJUA MTATAKA KUTAJA

16. Ni wapi amepata utajiri wakati yeye ni mtumishi wa serikali?
17. Ni wapi amepata utajiri wakati yeye ni mtumishi wa serikali?
18. Ni wapi amepata utajiri wakati yeye ni mtumishi wa serikali?
19. Ni wapi amepata utajiri wakati yeye ni mtumishi wa serikali?
20. Ni wapi amepata utajiri wakati yeye ni mtumishi wa serikali?
 
kama zahanati zimejazwa dawa, wanafunzi wote wanakaa kwenye madawati,hela za escrow zimerudishwa,Kiwira imepatiwa ufumbuzi,Walimu wamelipwa madai yao,rudi hapa kwa Mara nyingine ili tuiunge mkono ccm.Vinginevyo hesabu kwamba Lowasa Ni Rais wako 2015.Propaganda zako zimekosa mashiko.
 
nami nina za magufuli kwamba aliuza nyumba za serikali, bwana huyu haijui ccm kwa kuwa hajawah kuwa baloz wa nyumba kumi, alipokuwa wa ardhi vimada wake walikuwa wanapewa nyumba za umma bure, na sasa wazir wa ujenzi kajenga barabara chin ya kiwango na huko kwake kawadhulumu watu wanasema ashukuru ccm kumpitisha kuwa mgombea wa urais asingepata kuwa mbunge. ONGEZA YA KWAKO UNAYOJUA
 
Hivi yule aliyeambiwa ndo aliruhusu mkataba wa Richmond uendelee, mbn yupo kimya...

Au ni kwel ni yeye, Maana nasikiaga watu wansema 'Silence means Yes'
 
Habari Zenu Watanzania, Mimi Nina Sababu Kusema Huyu Jamaa Hafai Na Kifuatia Yafuatayo
1. Nasikia Tuhuma Na Kashfa Alipokuwa Mkurugenz AICC
2. Tuhuma akiwa wizara ya ardh kuhusu ranchi
3. Tuhuma akiwa waziri wa maji
4. Tuhuma jimbon kwake za mabilion ujenz wa visima,
5. tuhuma kutaka kutupga kupitia maigizo ya mvua ya kutengeneza ya thailand kuileta tz japo dili lilibuma,
6. tuhuma za kutoa rushwa kwa maaskofu
7, Tuhuma za kuwatumia walala hoi kupata madaraka kuwadanganya kuwalipa mabodaboda na kuwadhulum
8. tuhuma kuhusu mtoto wake kununua nyumba ya gharama ya mabilion uingereza kwa ela za Uoza,na uingereza Ikalaum
9. kujiusisha na wafanyabiashara wakubwa madalali waliotutia hasara
10. scotland kumtuhum kuhamisha mabilion kwenda uko kwa Siri
11. kuingizia taifa hasara kupitia richmond hawez kukwepa hapa
12. kutugawa kwa udin makanisan
13.tuhuma kutoudhulia msiba wa nyerere kwa ajenda binafsi
15. kulidanganya bunge na watanzania juu ya richmond,
SAIDIA KUORODHESHA NYINGINE UKO CHIN, NAJUA MTATAKA KUTAJA

jipange upya
 
Ukweli unauma mtakaa tu na ushabiki eti mabadiriko toka kwa huyo mmmh mtamezwa kwa ushabiki
 
Hao Wasafi wamefanya nini kwa miaka 38? Tutampa huyo fisadi safari hii, huenda nchi ikitawaliwa na fisadi itasonga mbele kuliko hawa wanaojifanya malaika watu...!
 
Back
Top Bottom