Magufuli mwizi kuliko Lowassa,
Magufuli hafai na chama chake hakifai!!!
Magufuli kauza nyumba za serikali kwa bei ya dagaa nchi nzima,nyumba za osterbay na Msasani tu ni zaidi ya trillion 1,je kwa Tanzania nzima ni kiasi gani??!!! Ushahidi upo na inajulikana,usafi anapata wapi??!
Magufuli ni fisadi kuliko Lowassa,Magufuli Hafai na CCM yake!
Magufuli kwa mwaka jana tu ofisi yake imefisadi zaidi ya 70 billion na ushahidi upo-report ya CARG-2014/2015 Usafi anaupata wapi??!!
Magufuli hafai,ni fisadi kushinda Lowassa,report ya CARG na bunge lilithibitisha Magufuli alidanganya umma na bunge kwa ufisadi wa zaidi ya 250 billion kuwa malipo hewa kwenye report ya CARG 2011-214,USAFI anapata wapi??!!
Lowassa ana tuhuma tu na hakuna alilothibitishwa nalo na Mengine amewataja wahusika kama suala la Richmond na wamekaa kimya,Tuhuma dhidi ya wapinzani wake kisa ni tishio??!!