Mkuu nimeipenda kazi unayoifanya ya kuwaelimisha watanzania kuhusiana na hili njizi kubwa katika taifa letu
Magufuli mwizi kuliko Lowassa,
Magufuli hafai na chama chake hakifai!!!
Magufuli kauza nyumba za serikali kwa bei ya dagaa nchi nzima,nyumba za osterbay na Msasani tu ni zaidi ya trillion 1,je kwa Tanzania nzima ni kiasi gani??!!! Ushahidi upo na inajulikana,usafi anapata wapi??!
Magufuli ni fisadi kuliko Lowassa,Magufuli Hafai na CCM yake!
Magufuli kwa mwaka jana tu ofisi yake imefisadi zaidi ya 70 billion na ushahidi upo-report ya CARG-2014/2015 Usafi anaupata wapi??!!
Magufuli hafai,ni fisadi kushinda Lowassa,report ya CARG na bunge lilithibitisha Magufuli alidanganya umma na bunge kwa ufisadi wa zaidi ya 250 billion kuwa malipo hewa kwenye report ya CARG 2011-214,USAFI anapata wapi??!!
Lowassa ana tuhuma tu na hakuna alilothibitishwa nalo na Mengine amewataja wahusika kama suala la Richmond na wamekaa kimya,Tuhuma dhidi ya wapinzani wake kisa ni tishio??!!
Uuzwaji wa nyumba za watumishi
Mabehewa feki
Escrow
Meremeta
Hasara ya meli ya samaki
Makufuli alifanya maamuzi ya pupa yalisababisha mgomo wa wasafirishaji nchi nzima akasababisha uchumi kusimama taifa likapata hasara na nchi za jirani zikaamua kutumia bandari ya Mombasa badala ya Dar es salaam. Kwa aibu hii serikali ilisalimu amri.
Magufuli mwizi kuliko Lowassa,
Magufuli hafai na chama chake hakifai!!!
Magufuli kauza nyumba za serikali kwa bei ya dagaa nchi nzima,nyumba za osterbay na Msasani tu ni zaidi ya trillion 1,je kwa Tanzania nzima ni kiasi gani??!!! Ushahidi upo na inajulikana,usafi anapata wapi??!
Magufuli ni fisadi kuliko Lowassa,Magufuli Hafai na CCM yake!
Magufuli kwa mwaka jana tu ofisi yake imefisadi zaidi ya 70 billion na ushahidi upo-report ya CARG-2014/2015 Usafi anaupata wapi??!!
Magufuli hafai,ni fisadi kushinda Lowassa,report ya CARG na bunge lilithibitisha Magufuli alidanganya umma na bunge kwa ufisadi wa zaidi ya 250 billion kuwa malipo hewa kwenye report ya CARG 2011-214,USAFI anapata wapi??!!
Lowassa ana tuhuma tu na hakuna alilothibitishwa nalo na Mengine amewataja wahusika kama suala la Richmond na wamekaa kimya,Tuhuma dhidi ya wapinzani wake kisa ni tishio??!!
Tunataka kumpa nchi ili aiuze maana tumechoka kudaiwa aiuze nchi ili alipe madeni tunayodaiwa
madeni yalioletwa na ccm
Habari Zenu Watanzania, Mimi Nina Sababu Kusema Huyu Jamaa Hafai Na Kifuatia Yafuatayo
1. Nasikia Tuhuma Na Kashfa Alipokuwa Mkurugenz AICC
2. Tuhuma akiwa wizara ya ardh kuhusu ranchi
3. Tuhuma akiwa waziri wa maji
4. Tuhuma jimbon kwake za mabilion ujenz wa visima,
5. tuhuma kutaka kutupga kupitia maigizo ya mvua ya kutengeneza ya thailand kuileta tz japo dili lilibuma,
6. tuhuma za kutoa rushwa kwa maaskofu
7, Tuhuma za kuwatumia walala hoi kupata madaraka kuwadanganya kuwalipa mabodaboda na kuwadhulum
8. tuhuma kuhusu mtoto wake kununua nyumba ya gharama ya mabilion uingereza kwa ela za Uoza,na uingereza Ikalaum
9. kujiusisha na wafanyabiashara wakubwa madalali waliotutia hasara
10. scotland kumtuhum kuhamisha mabilion kwenda uko kwa Siri
11. kuingizia taifa hasara kupitia richmond hawez kukwepa hapa
12. kutugawa kwa udin makanisan
13.tuhuma kutoudhulia msiba wa nyerere kwa ajenda binafsi
15. kulidanganya bunge na watanzania juu ya richmond,
SAIDIA KUORODHESHA NYINGINE UKO CHIN, NAJUA MTATAKA KUTAJA