Uko sahihi. Mapato ya ndani yanaonyesha uhalisia wa uzalishaji na uwezo wa wakazi wa eneo husika au kutoka nje ya wilaya kufanya manunuzi ya bidhaa hasa minadani zilizozalishwa kwenye wilaya husika.TRA hawatoi kiwilaya bali kimkoa,wakofanya update nitayaleta..
Mimi naamini mapato ya Halmashauri ndio kipimo sahihi kwa sababu sehemu kubwa ni shughuli za moja kwa moja za Wananchi badala ya mapato ya TRA ya migodi na mali asili za Nchi kama Utalii nk.
Yule jamaa anataka visiwa vyote vikae pale mjini, haya ndo mawazo ya vijana wanafikiri maisha yapo mjini Tu.Hiyo muleba mjini si ni sehemu ya halmashauri ya wilaya sasa tatizo nini
Sasa wewe ndio una matatizo..Wewe unaumwa.mji wa tunduma unanini zaidi ya mpaka.
Kwa hiyo Katiba ya Nchi inaleta ugali si ndio?Hakuna taarifa ya maana hapo tuzungumze mambo ya Msingi ktk taifa,kama katiba nchi inaumwa sana sana na wananchi wake wanateseka sana sana.
Moja kwa Moja kwenye mada,
Leo nawajuza List ya Majiji,Miji,Manispaa na Wilaya 50 Zenye Mzunguko Mkubwa wa Hela hapa Tanzania ambazo zinafaa kwa biashara na uwekezaji..
Kigezo kinachotumika ni Makusanyo ya Mapato ya Ndani kuanzia shilingi Bilioni 4 na kuendelea kama yalivyoandaliwa na Tamisemi kwa mwaka 2021/2022.
Makusanyo hayo yanaashiria kwamba maeneo hayo yana shughuli za Kiuchumi zinazoleta pesa kwa watu na hivyo watu Wana purchasing power nzuri..
Figures are in Billions Tanzania Shilling.
1.Dar es Salaam CC=167.557
2.Dodoma CC=45.108,
3.Mwanza CC=27.688,
4.Arusha CC=24.333'
5.Tanga CC=17.392,
6.Mbeya CC=15.228,
7.Chalinze DC=10.240,
8.Mkuranga DC=10.011,
9.Kahama MC=9.957,
10.Morogoro MC=9.353,
11.Geita TC=9.024,
12.Tunduma TC =8.593,
13.Njombe TC=8.473,
14.Mufindi DC=8.232,
15.Moshi MC=7.570,
16.Tarime DC=6.718,
17.Mafinga TC=6.306,
18.Mbarali DC=6.241,
19.Rufiji DC=6.040,
20.Muleba DC=5.718,
21.Hanang' DC=5.655,
22.Mbinga DC=5.578,
23.Rungwe DC=5.521,
24.Kibaha TC=5.352,
25.Morogoro DC=5.268,
26.Geita DC=5.186,
27.Chunya DC=5.113,
28.Shinyanga MC=5.100,
29.Kilosa DC=5.093,
30.Iringa MC=5.018,
31.Kaliua DC=4.981,
32.Songea MC=4.912,
33.Ifakara TC=4.898,
34.Tabora MC=4.827,
35.Kilwa DC=4.779,
36.Mbeya DC=4.778,
37.Karatu DC=4.746,
38.Kibaha DC=4.664,
39.Msalala DC=4.634,
40.Misenyi DC=4.595,
41.Tandahimba DC=4.507,
42.Tanganyika DC=4.452,
43.Rungwe DC=4.421,
44.Tunduru DC=4.400,
45.Bagamoyo DC=4.322,
46.Singida MC=4.286,
47.Igunga DC=4.207,
48.Wanging'ombe DC=4.186,
49.Ngara DC=4.142,
50.Njombe DC=4.001..
My Take..
Mikoa ya Dsm, Pwani, Mbeya, Morogoro,Njombe na Shinyanga Wilaya zake ziko vizuri sana.π
View attachment 2313627View attachment 2313628
Mkumbushe kwamba nguvukazi (vijana wa kike na wa kiume) Wana macho mekundu pombe na ule mchicha wa namanga vitaleta balaa miaka kadhaa ijayo.Haitokija tokea kabisa hao watu Arusha imetoa wapi porojo tu
Arusha kuja kuipiku mwanza bado sana maana ukija overall ya mapato Arusha itakuwa ya sita mwanza ya pili usifikirie kabisa Arusha ashindane na moro tu maana ni pale mjini kuliko bakia umaskini tu
Unavyosema USA RIVER sio arusha cc ,mbalizi sio mbeya sijui usangu .wajumlishe..it's okey..mwanza nasi tunajumlisha mapato ya miji ya Usagara ,kigogo ferry,kisesa,fela ,nyashishi maana ni maeneo yaliyo nje ya halmashauri za mwanza jiji na ilemela ila zimeungana na jiji..Mtoa mada huwez kuongelea mzunguko wa pesa ktk mji fulan kwa kigezo cha makusanyo ya serikali.
Note. Mji fulani unaweza kuwa mdogo sn na ukawa na wakazi wachache sn lkn mzunguko wa pesa ukawa juu sn, japo kwa udogo wa mji ukazidiwa makusanyo na mji mkubwa. Mapato makubwa ya halmashauri huwa ni license, service levy, hotel levy, fees za ardhi na fees za natural resources,
Mfano. Moshi inaweza kuwa na makusanyo mengi kuriko katolo geita, lkn katolo ikawa na mzunguko mkubwa wa pesa.
Mzunguko wa pesa ktk eneo huathiriwa na mambo mengi lkn kubwa ni geographic location ya eneo, shughuli za uzarishaji mali na idadi ya watu ktk eneo husika.
Dodoma inakuj juu ya mwanza cc shauri ya geography yk imeipa nafas ya kuwa-capital city.. Hivyo shughuli za maendeleo Dom ni nying sn kwass,
Tanga haina mzunguko mzuri wa pesa kuizid mbeya lkn inakuwa juu ya mbeya shauri ya eneo lake lina bandari inayochochea shughuli za ukusanyaji kuwa juu.
Ila kuna maeneo mzunguko wa pesa uko juu na makusanyo yako juu mfano ni DAR, MAFINGA, MWANZA, KAHAMA NA TUNDUMA.
Hivi Dodoma ni vyanzo gani hasa vinavyofanya iingize pato kubwa hivo? Tusije tukawa tunapromote tu kisa ni makao makuu ya nchi.Moja kwa Moja kwenye mada,
Leo nawajuza List ya Majiji,Miji,Manispaa na Wilaya 50 Zenye Mzunguko Mkubwa wa Hela hapa Tanzania ambazo zinafaa kwa biashara na uwekezaji..
Kigezo kinachotumika ni Makusanyo ya Mapato ya Ndani kuanzia shilingi Bilioni 4 na kuendelea kama yalivyoandaliwa na Tamisemi kwa mwaka 2021/2022.
Makusanyo hayo yanaashiria kwamba maeneo hayo yana shughuli za Kiuchumi zinazoleta pesa kwa watu na hivyo watu Wana purchasing power nzuri..
Figures are in Billions Tanzania Shilling.
1.Dar es Salaam CC=167.557
2.Dodoma CC=45.108,
3.Mwanza CC=27.688,
4.Arusha CC=24.333'
5.Tanga CC=17.392,
6.Mbeya CC=15.228,
7.Chalinze DC=10.240,
8.Mkuranga DC=10.011,
9.Kahama MC=9.957,
10.Morogoro MC=9.353,
11.Geita TC=9.024,
12.Tunduma TC =8.593,
13.Njombe TC=8.473,
14.Mufindi DC=8.232,
15.Moshi MC=7.570,
16.Tarime DC=6.718,
17.Mafinga TC=6.306,
18.Mbarali DC=6.241,
19.Rufiji DC=6.040,
20.Muleba DC=5.718,
21.Hanang' DC=5.655,
22.Mbinga DC=5.578,
23.Rungwe DC=5.521,
24.Kibaha TC=5.352,
25.Morogoro DC=5.268,
26.Geita DC=5.186,
27.Chunya DC=5.113,
28.Shinyanga MC=5.100,
29.Kilosa DC=5.093,
30.Iringa MC=5.018,
31.Kaliua DC=4.981,
32.Songea MC=4.912,
33.Ifakara TC=4.898,
34.Tabora MC=4.827,
35.Kilwa DC=4.779,
36.Mbeya DC=4.778,
37.Karatu DC=4.746,
38.Kibaha DC=4.664,
39.Msalala DC=4.634,
40.Misenyi DC=4.595,
41.Tandahimba DC=4.507,
42.Tanganyika DC=4.452,
43.Rungwe DC=4.421,
44.Tunduru DC=4.400,
45.Bagamoyo DC=4.322,
46.Singida MC=4.286,
47.Igunga DC=4.207,
48.Wanging'ombe DC=4.186,
49.Ngara DC=4.142,
50.Njombe DC=4.001..
My Take..
Mikoa ya Dsm, Pwani, Mbeya, Morogoro,Njombe na Shinyanga Wilaya zake ziko vizuri sana.π
View attachment 2313627View attachment 2313628
Kwa maelezo yako haya. Nimeelewa Dodoma ni sababu ya uuzaji wa viwanja na ujenzi unaoendelea kwa kasi ktk jiji hilo ndo maana mzunguko upo sana lkn naipa muda mambo yatulie kuwa sasa shughuli za ujenz zimeisha itakuja kuzidiwa hadi na kahama.Mtoa mada huwez kuongelea mzunguko wa pesa ktk mji fulan kwa kigezo cha makusanyo ya serikali.
Note. Mji fulani unaweza kuwa mdogo sn na ukawa na wakazi wachache sn lkn mzunguko wa pesa ukawa juu sn, japo kwa udogo wa mji ukazidiwa makusanyo na mji mkubwa. Mapato makubwa ya halmashauri huwa ni license, service levy, hotel levy, fees za ardhi na fees za natural resources,
Mfano. Moshi inaweza kuwa na makusanyo mengi kuriko katolo geita, lkn katolo ikawa na mzunguko mkubwa wa pesa.
Mzunguko wa pesa ktk eneo huathiriwa na mambo mengi lkn kubwa ni geographic location ya eneo, shughuli za uzarishaji mali na idadi ya watu ktk eneo husika.
Dodoma inakuj juu ya mwanza cc shauri ya geography yk imeipa nafas ya kuwa-capital city.. Hivyo shughuli za maendeleo Dom ni nying sn kwass,
Tanga haina mzunguko mzuri wa pesa kuizid mbeya lkn inakuwa juu ya mbeya shauri ya eneo lake lina bandari inayochochea shughuli za ukusanyaji kuwa juu.
Ila kuna maeneo mzunguko wa pesa uko juu na makusanyo yako juu mfano ni DAR, MAFINGA, MWANZA, KAHAMA NA TUNDUMA.
Acha kujifariji wewe kiazi,Kwenye Orodha umeona Halmashauri ngapi za Mwanza zime feature kwenye list ukitoa Mwanza Mjini?
Simply huko kwingine kumejaa maskini tuu kama wewe mnabwatuka hovyo [emoji38][emoji38]..
Kwenye List imekosekana Halmashauri ya Kyela na Busokelo tuu,Kyela yenyewe next year ita feature.
ππππKwa hiyo Katiba ya Nchi inaleta ugali si ndio?
Nawe hujui kitu unalinganisha IIemela na Mbalizi ? Tatizo hata hiyo Mwanza unaisiikia tu wala hujawahi fika. Aidha, unalinganisha Ilemela yenye maeneo kama Kirumba, Kitangiri, Nyamanoro, Pasiansi, Nyasaka, Kiloleli, Buzuruga, Nyakato National, Buswelu, Nyamhongolo, Ilemela na Usa River ? Hauko serious.Watu wa mwanza mnashida sana, mwanza cc na arusha cc ndio zichuane ukisema sijui ilemela haipo, kwan usa ipo arusha cc..?? Mfano mbeya cc ni wilaya ya mbeya mjini lkn mbeya cc, haina mbalizi humo ndani wala songwe wala usangu wala igawilo, kwasbb hizo zipo mbeya mc. Kwamfano takwimu za mikoa ni kwel utaona DSM, MWANZA, MBEYA, ARUSHA kwenye top 4. Ni miaka yote. Top 4 kimikoa MWANZA MBEYA NA ARUSHA hushindana siku zote. Arusha ina wilaya zenye mzunguko mkubwa tu wa pesa mfano karatu.. Pia mbeya ndio kila wilaya wao ni pesa tu, bahati mbaya mbeya imegawanywa mno ndio imepelekea mkoa kuzidiwa kidg kwa mwanza lkn zaman kabla ya mkoa wa songwe, ilikua baada ya DSM ni MBEYA
Na haitatokea kijiji cha Mbeya kulishinda Jiji LA Pili TZKwa hiyo Mwanza ndo haijagawanywa eti?! Mkoa wa Geita umegawanywa kutoka mkoa gani? Wilaya ya busega mkoani simiyu imemegwa kutoka mkoa gani? Hakuna mwaka toka dunia iumbwe mbeya ilizidi Mwanza.
Wewe jibu hoja siyo kuleta matusi ya bangi za njombe hapaAcha kujifariji wewe kiazi,Kwenye Orodha umeona Halmashauri ngapi za Mwanza zime feature kwenye list ukitoa Mwanza Mjini?
Simply huko kwingine kumejaa maskini tuu kama wewe mnabwatuka hovyo [emoji38][emoji38]..
Kwenye List imekosekana Halmashauri ya Kyela na Busokelo tuu,Kyela yenyewe next year ita feature.
Uliwahi kusikia kuna mkoa wanalala na njaa kwa kukosa ugali ? Toa upuuzi wako hapa na midata uchwara yako hapa.Kwa hiyo Katiba ya Nchi inaleta ugali si ndio?
Usihangaike na huyu, hawa ni wale wanaoleta kura na mabegi halafu wanasema ccm imeshinda kwa kishindo!Moshi mmetuonea!
Ndio,kama Mwanza,Shinyanga,Simiyu na Tabora mnalala na njaa.Uliwahi kusikia kuna mkoa wanalala na njaa kwa kukosa ugali ? Toa upuuzi wako hapa na midata uchwara yako hapa.
Nitajie Halmashauri 2 zilizoko kwenye list kutoka Mwanza.Wewe jibu hoja siyo kuleta matusi ya bangi za njombe hapa