Orodha ya majiji, miji na wilaya zenye mzunguko mkubwa wa hela Tanzania

Orodha ya majiji, miji na wilaya zenye mzunguko mkubwa wa hela Tanzania

Moshi ni dead town, ilikuwa zamani enzi za Panjuani, Arawa hotel n.k mji ukishakuwa na masheria mengi fursa za biashara zinapotea unaendelea kubali hivyo hivyo, watafutaji wanakimbilia sehemu zilizo looz kwa biashara ( la manyani) ninyi endeleeni na vibiashara vyenu vilivyopitwa na wakati vya karanga, ku brash viatu, na umachinga wa kutembea na mabango ya bidhaa halafu mkipata miatano mkanywe mbege ndio maendeleo yenu
In addition,mji hauruhusu interaction utakua kwenda wapi!?

Kununua ardhi na Kupanga kwenyewe unaulizwa kabila na dini dah huo mji mgumu sana,,,

Nahis ndio mji unaongoza kwa rushwa na kukwepa kodi,,not researched but its distinct from all places I ever been kwenye janja janja za rushwa na ndio maana unakuwa mgumu kwa wafanyabiashara haswa wasipotoa rushwa,,,,

Hapo ndo utaelewa kwa nn Mangi alienda UK kuomba uhuru wa Kilimakyaro,,,,

I stand to be challenged
 
Kumbuka Jiji LA Mwanza ni Wilaya ya Nyamagana tu. Wilaya ya Ilemela ni Manspaa ! Halafu unasema Arusha aizidi Mwanza thubutuu
Watu wa mwanza mnashida sana, mwanza cc na arusha cc ndio zichuane ukisema sijui ilemela haipo, kwan usa ipo arusha cc..?? Mfano mbeya cc ni wilaya ya mbeya mjini lkn mbeya cc, haina mbalizi humo ndani wala songwe wala usangu wala igawilo, kwasbb hizo zipo mbeya mc. Kwamfano takwimu za mikoa ni kwel utaona DSM, MWANZA, MBEYA, ARUSHA kwenye top 4. Ni miaka yote. Top 4 kimikoa MWANZA MBEYA NA ARUSHA hushindana siku zote. Arusha ina wilaya zenye mzunguko mkubwa tu wa pesa mfano karatu.. Pia mbeya ndio kila wilaya wao ni pesa tu, bahati mbaya mbeya imegawanywa mno ndio imepelekea mkoa kuzidiwa kidg kwa mwanza lkn zaman kabla ya mkoa wa songwe, ilikua baada ya DSM ni MBEYA
 
Mtoa mada huwez kuongelea mzunguko wa pesa ktk mji fulan kwa kigezo cha makusanyo ya serikali.

Note. Mji fulani unaweza kuwa mdogo sn na ukawa na wakazi wachache sn lkn mzunguko wa pesa ukawa juu sn, japo kwa udogo wa mji ukazidiwa makusanyo na mji mkubwa. Mapato makubwa ya halmashauri huwa ni license, service levy, hotel levy, fees za ardhi na fees za natural resources,

Mfano. Moshi inaweza kuwa na makusanyo mengi kuriko katolo geita, lkn katolo ikawa na mzunguko mkubwa wa pesa.

Mzunguko wa pesa ktk eneo huathiriwa na mambo mengi lkn kubwa ni geographic location ya eneo, shughuli za uzarishaji mali na idadi ya watu ktk eneo husika.

Dodoma inakuj juu ya mwanza cc shauri ya geography yk imeipa nafas ya kuwa-capital city.. Hivyo shughuli za maendeleo Dom ni nying sn kwass,

Tanga haina mzunguko mzuri wa pesa kuizid mbeya lkn inakuwa juu ya mbeya shauri ya eneo lake lina bandari inayochochea shughuli za ukusanyaji kuwa juu.

Ila kuna maeneo mzunguko wa pesa uko juu na makusanyo yako juu mfano ni DAR, MAFINGA, MWANZA, KAHAMA NA TUNDUMA.
 
Watu wa mwanza mnashida sana, mwanza cc na arusha cc ndio zichuane ukisema sijui ilemela haipo, kwan usa ipo arusha cc..?? Mfano mbeya cc ni wilaya ya mbeya mjini lkn mbeya cc, haina mbalizi humo ndani wala songwe wala usangu wala igawilo, kwasbb hizo zipo mbeya mc. Kwamfano takwimu za mikoa ni kwel utaona DSM, MWANZA, MBEYA, ARUSHA kwenye top 4. Ni miaka yote. Top 4 kimikoa MWANZA MBEYA NA ARUSHA hushindana siku zote. Arusha ina wilaya zenye mzunguko mkubwa tu wa pesa mfano karatu.. Pia mbeya ndio kila wilaya wao ni pesa tu, bahati mbaya mbeya imegawanywa mno ndio imepelekea mkoa kuzidiwa kidg kwa mwanza lkn zaman kabla ya mkoa wa songwe, ilikua baada ya DSM ni MBEYA
Wasikuzingue,hayo mapato ya Mwanza nimejumuisha na Ilemela
 
Mtoa mada huwez kuongelea mzunguko wa pesa ktk mji fulan kwa kigezo cha makusanyo ya serikali.

Note. Mji fulani unaweza kuwa mdogo sn na ukawa na wakazi wachache sn lkn mzunguko wa pesa ukawa juu sn, japo kwa udogo wa mji ukazidiwa makusanyo na mji mkubwa. Mapato makubwa ya halmashauri huwa ni license, service levy, hotel levy, fees za ardhi na fees za natural resources,

Mfano. Moshi inaweza kuwa na makusanyo mengi kuriko katolo geita, lkn katolo ikawa na mzunguko mkubwa wa pesa.

Mzunguko wa pesa ktk eneo huathiriwa na mambo mengi lkn kubwa ni geographic location ya eneo, shughuli za uzarishaji mali na idadi ya watu ktk eneo husika.

Dodoma inakuj juu ya mwanza cc shauri ya geography yk imeipa nafas ya kuwa-capital city.. Hivyo shughuli za maendeleo Dom ni nying sn kwass,

Tanga haina mzunguko mzuri wa pesa kuizid mbeya lkn inakuwa juu ya mbeya shauri ya eneo lake lina bandari inayochochea shughuli za ukusanyaji kuwa juu.

Ila kuna maeneo mzunguko wa pesa uko juu na makusanyo yako juu mfano ni DAR, MAFINGA, MWANZA, KAHAMA NA TUNDUMA.
Acha porojo,ukiona Mji wako hauko kwenye list jua ni kijiji tuu..

Pili Kwa case ya Tanga,mapato ya bandari hayaingii Halmashauri na pia namba ndio zinaongea zaidi kuliko mdomo.
 
Watu wa mwanza mnashida sana, mwanza cc na arusha cc ndio zichuane ukisema sijui ilemela haipo, kwan usa ipo arusha cc..?? Mfano mbeya cc ni wilaya ya mbeya mjini lkn mbeya cc, haina mbalizi humo ndani wala songwe wala usangu wala igawilo, kwasbb hizo zipo mbeya mc. Kwamfano takwimu za mikoa ni kwel utaona DSM, MWANZA, MBEYA, ARUSHA kwenye top 4. Ni miaka yote. Top 4 kimikoa MWANZA MBEYA NA ARUSHA hushindana siku zote. Arusha ina wilaya zenye mzunguko mkubwa tu wa pesa mfano karatu.. Pia mbeya ndio kila wilaya wao ni pesa tu, bahati mbaya mbeya imegawanywa mno ndio imepelekea mkoa kuzidiwa kidg kwa mwanza lkn zaman kabla ya mkoa wa songwe, ilikua baada ya DSM ni MBEYA
Kwa hiyo Mwanza ndo haijagawanywa eti?! Mkoa wa Geita umegawanywa kutoka mkoa gani? Wilaya ya busega mkoani simiyu imemegwa kutoka mkoa gani? Hakuna mwaka toka dunia iumbwe mbeya ilizidi Mwanza.
 
Watu wa mwanza mnashida sana, mwanza cc na arusha cc ndio zichuane ukisema sijui ilemela haipo, kwan usa ipo arusha cc..?? Mfano mbeya cc ni wilaya ya mbeya mjini lkn mbeya cc, haina mbalizi humo ndani wala songwe wala usangu wala igawilo, kwasbb hizo zipo mbeya mc. Kwamfano takwimu za mikoa ni kwel utaona DSM, MWANZA, MBEYA, ARUSHA kwenye top 4. Ni miaka yote. Top 4 kimikoa MWANZA MBEYA NA ARUSHA hushindana siku zote. Arusha ina wilaya zenye mzunguko mkubwa tu wa pesa mfano karatu.. Pia mbeya ndio kila wilaya wao ni pesa tu, bahati mbaya mbeya imegawanywa mno ndio imepelekea mkoa kuzidiwa kidg kwa mwanza lkn zaman kabla ya mkoa wa songwe, ilikua baada ya DSM ni MBEYA
Wasikuzingue,waambie kwenye hiyo Orodha Wakupe Wilaya 2 tuu za Mwanza ambazo zina mapato kuanzia bil.4 kwenda..
 
Kwa hiyo Mwanza ndo haijagawanywa eti?! Mkoa wa Geita umegawanywa kutoka mkoa gani? Wilaya ya busega mkoani simiyu imemegwa kutoka mkoa gani? Hakuna mwaka toka dunia iumbwe mbeya ilizidi Mwanza.
Acha kujifariji wewe kiazi,Kwenye Orodha umeona Halmashauri ngapi za Mwanza zime feature kwenye list ukitoa Mwanza Mjini?

Simply huko kwingine kumejaa maskini tuu kama wewe mnabwatuka hovyo 😆😆..

Kwenye List imekosekana Halmashauri ya Kyela na Busokelo tuu,Kyela yenyewe next year ita feature.
 
Watu wa mwanza mnashida sana, mwanza cc na arusha cc ndio zichuane ukisema sijui ilemela haipo, kwan usa ipo arusha cc..?? Mfano mbeya cc ni wilaya ya mbeya mjini lkn mbeya cc, haina mbalizi humo ndani wala songwe wala usangu wala igawilo, kwasbb hizo zipo mbeya mc. Kwamfano takwimu za mikoa ni kwel utaona DSM, MWANZA, MBEYA, ARUSHA kwenye top 4. Ni miaka yote. Top 4 kimikoa MWANZA MBEYA NA ARUSHA hushindana siku zote. Arusha ina wilaya zenye mzunguko mkubwa tu wa pesa mfano karatu.. Pia mbeya ndio kila wilaya wao ni pesa tu, bahati mbaya mbeya imegawanywa mno ndio imepelekea mkoa kuzidiwa kidg kwa mwanza lkn zaman kabla ya mkoa wa songwe, ilikua baada ya DSM ni MBEYA
We jamaa unaongea utopolo.kwan mwanza haijagawanywa na kuzaa geita na simiyu..ebu jumlisha mapato uone
 
Mtoa mada huwez kuongelea mzunguko wa pesa ktk mji fulan kwa kigezo cha makusanyo ya serikali.

Note. Mji fulani unaweza kuwa mdogo sn na ukawa na wakazi wachache sn lkn mzunguko wa pesa ukawa juu sn, japo kwa udogo wa mji ukazidiwa makusanyo na mji mkubwa. Mapato makubwa ya halmashauri huwa ni license, service levy, hotel levy, fees za ardhi na fees za natural resources,

Mfano. Moshi inaweza kuwa na makusanyo mengi kuriko katolo geita, lkn katolo ikawa na mzunguko mkubwa wa pesa.

Mzunguko wa pesa ktk eneo huathiriwa na mambo mengi lkn kubwa ni geographic location ya eneo, shughuli za uzarishaji mali na idadi ya watu ktk eneo husika.

Dodoma inakuj juu ya mwanza cc shauri ya geography yk imeipa nafas ya kuwa-capital city.. Hivyo shughuli za maendeleo Dom ni nying sn kwass,

Tanga haina mzunguko mzuri wa pesa kuizid mbeya lkn inakuwa juu ya mbeya shauri ya eneo lake lina bandari inayochochea shughuli za ukusanyaji kuwa juu.

Ila kuna maeneo mzunguko wa pesa uko juu na makusanyo yako juu mfano ni DAR, MAFINGA, MWANZA, KAHAMA NA TUNDUMA.
Point[emoji122][emoji122][emoji122]
 
This will always speak louder than above nosense[emoji91]
Screenshot_20220807-102421.jpg
 
Mtoa mada huwez kuongelea mzunguko wa pesa ktk mji fulan kwa kigezo cha makusanyo ya serikali.

Note. Mji fulani unaweza kuwa mdogo sn na ukawa na wakazi wachache sn lkn mzunguko wa pesa ukawa juu sn, japo kwa udogo wa mji ukazidiwa makusanyo na mji mkubwa. Mapato makubwa ya halmashauri huwa ni license, service levy, hotel levy, fees za ardhi na fees za natural resources,

Mfano. Moshi inaweza kuwa na makusanyo mengi kuriko katolo geita, lkn katolo ikawa na mzunguko mkubwa wa pesa.

Mzunguko wa pesa ktk eneo huathiriwa na mambo mengi lkn kubwa ni geographic location ya eneo, shughuli za uzarishaji mali na idadi ya watu ktk eneo husika.

Dodoma inakuj juu ya mwanza cc shauri ya geography yk imeipa nafas ya kuwa-capital city.. Hivyo shughuli za maendeleo Dom ni nying sn kwass,

Tanga haina mzunguko mzuri wa pesa kuizid mbeya lkn inakuwa juu ya mbeya shauri ya eneo lake lina bandari inayochochea shughuli za ukusanyaji kuwa juu.

Ila kuna maeneo mzunguko wa pesa uko juu na makusanyo yako juu mfano ni DAR, MAFINGA, MWANZA, KAHAMA NA TUNDUMA.
You nailed it.
 
Moja kwa Moja kwenye mada,

Leo nawajuza List ya Majiji,Miji,Manispaa na Wilaya 50 Zenye Mzunguko Mkubwa wa Hela hapa Tanzania ambazo zinafaa kwa biashara na uwekezaji..

Kigezo kinachotumika ni Makusanyo ya Mapato ya Ndani kuanzia shilingi Bilioni 4 na kuendelea kama yalivyoandaliwa na Tamisemi kwa mwaka 2021/2022.

Makusanyo hayo yanaashiria kwamba maeneo hayo yana shughuli za Kiuchumi zinazoleta pesa kwa watu na hivyo watu Wana purchasing power nzuri..

Figures are in Billions Tanzania Shilling.

1.Dar es Salaam CC=167.557

2.Dodoma CC=45.108,

3.Mwanza CC=27.688,

4.Arusha CC=24.333'

5.Tanga CC=17.392,

6.Mbeya CC=15.228,

7.Chalinze DC=10.240,

8.Mkuranga DC=10.011,

9.Kahama MC=9.957,

10.Morogoro MC=9.353,

11.Geita TC=9.024,

12.Tunduma TC =8.593,

13.Njombe TC=8.473,

14.Mufindi DC=8.232,

15.Moshi MC=7.570,

16.Tarime DC=6.718,

17.Mafinga TC=6.306,

18.Mbarali DC=6.241,

19.Rufiji DC=6.040,

20.Muleba DC=5.718,

21.Hanang' DC=5.655,

22.Mbinga DC=5.578,

23.Rungwe DC=5.521,

24.Kibaha TC=5.352,

25.Morogoro DC=5.268,

26.Geita DC=5.186,

27.Chunya DC=5.113,

28.Shinyanga MC=5.100,

29.Kilosa DC=5.093,

30.Iringa MC=5.018,

31.Kaliua DC=4.981,

32.Songea MC=4.912,

33.Ifakara TC=4.898,

34.Tabora MC=4.827,

35.Kilwa DC=4.779,

36.Mbeya DC=4.778,

37.Karatu DC=4.746,

38.Kibaha DC=4.664,

39.Msalala DC=4.634,

40.Misenyi DC=4.595,

41.Tandahimba DC=4.507,

42.Tanganyika DC=4.452,

43.Rungwe DC=4.421,

44.Tunduru DC=4.400,

45.Bagamoyo DC=4.322,

46.Singida MC=4.286,

47.Igunga DC=4.207,

48.Wanging'ombe DC=4.186,

49.Ngara DC=4.142,

50.Njombe DC=4.001..


My Take..

Mikoa ya Dsm, Pwani, Mbeya, Morogoro,Njombe na Shinyanga Wilaya zake ziko vizuri sana.👇

View attachment 2313627View attachment 2313628
Hakuna taarifa ya maana hapo tuzungumze mambo ya Msingi ktk taifa,kama katiba nchi inaumwa sana sana na wananchi wake wanateseka sana sana.
 
Matumizi ya mafuta yanaonyesha wapi Kuna mzunguko mkubwa wa watu na biashara
Screenshot_20220807-102528.jpg
 
Back
Top Bottom