The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
- Thread starter
-
- #161
Umesoma list?Rungwe na Kyela hazimo pamoja na kuwa na mazao yote ikiwemo vanila, korosho, kokoa, mawese, mpunga, mahindi, ndizi chai, kahawa, mbao na biashara kati ya Tanzania na Malawi!
Sawa Rungwe 28 ila Kyela sijaiona.Umesoma list?
In addition,mji hauruhusu interaction utakua kwenda wapi!?Moshi ni dead town, ilikuwa zamani enzi za Panjuani, Arawa hotel n.k mji ukishakuwa na masheria mengi fursa za biashara zinapotea unaendelea kubali hivyo hivyo, watafutaji wanakimbilia sehemu zilizo looz kwa biashara ( la manyani) ninyi endeleeni na vibiashara vyenu vilivyopitwa na wakati vya karanga, ku brash viatu, na umachinga wa kutembea na mabango ya bidhaa halafu mkipata miatano mkanywe mbege ndio maendeleo yenu
Watu wa mwanza mnashida sana, mwanza cc na arusha cc ndio zichuane ukisema sijui ilemela haipo, kwan usa ipo arusha cc..?? Mfano mbeya cc ni wilaya ya mbeya mjini lkn mbeya cc, haina mbalizi humo ndani wala songwe wala usangu wala igawilo, kwasbb hizo zipo mbeya mc. Kwamfano takwimu za mikoa ni kwel utaona DSM, MWANZA, MBEYA, ARUSHA kwenye top 4. Ni miaka yote. Top 4 kimikoa MWANZA MBEYA NA ARUSHA hushindana siku zote. Arusha ina wilaya zenye mzunguko mkubwa tu wa pesa mfano karatu.. Pia mbeya ndio kila wilaya wao ni pesa tu, bahati mbaya mbeya imegawanywa mno ndio imepelekea mkoa kuzidiwa kidg kwa mwanza lkn zaman kabla ya mkoa wa songwe, ilikua baada ya DSM ni MBEYAKumbuka Jiji LA Mwanza ni Wilaya ya Nyamagana tu. Wilaya ya Ilemela ni Manspaa ! Halafu unasema Arusha aizidi Mwanza thubutuu
Wasikuzingue,hayo mapato ya Mwanza nimejumuisha na IlemelaWatu wa mwanza mnashida sana, mwanza cc na arusha cc ndio zichuane ukisema sijui ilemela haipo, kwan usa ipo arusha cc..?? Mfano mbeya cc ni wilaya ya mbeya mjini lkn mbeya cc, haina mbalizi humo ndani wala songwe wala usangu wala igawilo, kwasbb hizo zipo mbeya mc. Kwamfano takwimu za mikoa ni kwel utaona DSM, MWANZA, MBEYA, ARUSHA kwenye top 4. Ni miaka yote. Top 4 kimikoa MWANZA MBEYA NA ARUSHA hushindana siku zote. Arusha ina wilaya zenye mzunguko mkubwa tu wa pesa mfano karatu.. Pia mbeya ndio kila wilaya wao ni pesa tu, bahati mbaya mbeya imegawanywa mno ndio imepelekea mkoa kuzidiwa kidg kwa mwanza lkn zaman kabla ya mkoa wa songwe, ilikua baada ya DSM ni MBEYA
Acha porojo,ukiona Mji wako hauko kwenye list jua ni kijiji tuu..Mtoa mada huwez kuongelea mzunguko wa pesa ktk mji fulan kwa kigezo cha makusanyo ya serikali.
Note. Mji fulani unaweza kuwa mdogo sn na ukawa na wakazi wachache sn lkn mzunguko wa pesa ukawa juu sn, japo kwa udogo wa mji ukazidiwa makusanyo na mji mkubwa. Mapato makubwa ya halmashauri huwa ni license, service levy, hotel levy, fees za ardhi na fees za natural resources,
Mfano. Moshi inaweza kuwa na makusanyo mengi kuriko katolo geita, lkn katolo ikawa na mzunguko mkubwa wa pesa.
Mzunguko wa pesa ktk eneo huathiriwa na mambo mengi lkn kubwa ni geographic location ya eneo, shughuli za uzarishaji mali na idadi ya watu ktk eneo husika.
Dodoma inakuj juu ya mwanza cc shauri ya geography yk imeipa nafas ya kuwa-capital city.. Hivyo shughuli za maendeleo Dom ni nying sn kwass,
Tanga haina mzunguko mzuri wa pesa kuizid mbeya lkn inakuwa juu ya mbeya shauri ya eneo lake lina bandari inayochochea shughuli za ukusanyaji kuwa juu.
Ila kuna maeneo mzunguko wa pesa uko juu na makusanyo yako juu mfano ni DAR, MAFINGA, MWANZA, KAHAMA NA TUNDUMA.
Kwa hiyo Mwanza ndo haijagawanywa eti?! Mkoa wa Geita umegawanywa kutoka mkoa gani? Wilaya ya busega mkoani simiyu imemegwa kutoka mkoa gani? Hakuna mwaka toka dunia iumbwe mbeya ilizidi Mwanza.Watu wa mwanza mnashida sana, mwanza cc na arusha cc ndio zichuane ukisema sijui ilemela haipo, kwan usa ipo arusha cc..?? Mfano mbeya cc ni wilaya ya mbeya mjini lkn mbeya cc, haina mbalizi humo ndani wala songwe wala usangu wala igawilo, kwasbb hizo zipo mbeya mc. Kwamfano takwimu za mikoa ni kwel utaona DSM, MWANZA, MBEYA, ARUSHA kwenye top 4. Ni miaka yote. Top 4 kimikoa MWANZA MBEYA NA ARUSHA hushindana siku zote. Arusha ina wilaya zenye mzunguko mkubwa tu wa pesa mfano karatu.. Pia mbeya ndio kila wilaya wao ni pesa tu, bahati mbaya mbeya imegawanywa mno ndio imepelekea mkoa kuzidiwa kidg kwa mwanza lkn zaman kabla ya mkoa wa songwe, ilikua baada ya DSM ni MBEYA
Wasikuzingue,waambie kwenye hiyo Orodha Wakupe Wilaya 2 tuu za Mwanza ambazo zina mapato kuanzia bil.4 kwenda..Watu wa mwanza mnashida sana, mwanza cc na arusha cc ndio zichuane ukisema sijui ilemela haipo, kwan usa ipo arusha cc..?? Mfano mbeya cc ni wilaya ya mbeya mjini lkn mbeya cc, haina mbalizi humo ndani wala songwe wala usangu wala igawilo, kwasbb hizo zipo mbeya mc. Kwamfano takwimu za mikoa ni kwel utaona DSM, MWANZA, MBEYA, ARUSHA kwenye top 4. Ni miaka yote. Top 4 kimikoa MWANZA MBEYA NA ARUSHA hushindana siku zote. Arusha ina wilaya zenye mzunguko mkubwa tu wa pesa mfano karatu.. Pia mbeya ndio kila wilaya wao ni pesa tu, bahati mbaya mbeya imegawanywa mno ndio imepelekea mkoa kuzidiwa kidg kwa mwanza lkn zaman kabla ya mkoa wa songwe, ilikua baada ya DSM ni MBEYA
Acha kujifariji wewe kiazi,Kwenye Orodha umeona Halmashauri ngapi za Mwanza zime feature kwenye list ukitoa Mwanza Mjini?Kwa hiyo Mwanza ndo haijagawanywa eti?! Mkoa wa Geita umegawanywa kutoka mkoa gani? Wilaya ya busega mkoani simiyu imemegwa kutoka mkoa gani? Hakuna mwaka toka dunia iumbwe mbeya ilizidi Mwanza.
KwaniniKigoma mmetuonea
We jamaa unaongea utopolo.kwan mwanza haijagawanywa na kuzaa geita na simiyu..ebu jumlisha mapato uoneWatu wa mwanza mnashida sana, mwanza cc na arusha cc ndio zichuane ukisema sijui ilemela haipo, kwan usa ipo arusha cc..?? Mfano mbeya cc ni wilaya ya mbeya mjini lkn mbeya cc, haina mbalizi humo ndani wala songwe wala usangu wala igawilo, kwasbb hizo zipo mbeya mc. Kwamfano takwimu za mikoa ni kwel utaona DSM, MWANZA, MBEYA, ARUSHA kwenye top 4. Ni miaka yote. Top 4 kimikoa MWANZA MBEYA NA ARUSHA hushindana siku zote. Arusha ina wilaya zenye mzunguko mkubwa tu wa pesa mfano karatu.. Pia mbeya ndio kila wilaya wao ni pesa tu, bahati mbaya mbeya imegawanywa mno ndio imepelekea mkoa kuzidiwa kidg kwa mwanza lkn zaman kabla ya mkoa wa songwe, ilikua baada ya DSM ni MBEYA
Point[emoji122][emoji122][emoji122]Mtoa mada huwez kuongelea mzunguko wa pesa ktk mji fulan kwa kigezo cha makusanyo ya serikali.
Note. Mji fulani unaweza kuwa mdogo sn na ukawa na wakazi wachache sn lkn mzunguko wa pesa ukawa juu sn, japo kwa udogo wa mji ukazidiwa makusanyo na mji mkubwa. Mapato makubwa ya halmashauri huwa ni license, service levy, hotel levy, fees za ardhi na fees za natural resources,
Mfano. Moshi inaweza kuwa na makusanyo mengi kuriko katolo geita, lkn katolo ikawa na mzunguko mkubwa wa pesa.
Mzunguko wa pesa ktk eneo huathiriwa na mambo mengi lkn kubwa ni geographic location ya eneo, shughuli za uzarishaji mali na idadi ya watu ktk eneo husika.
Dodoma inakuj juu ya mwanza cc shauri ya geography yk imeipa nafas ya kuwa-capital city.. Hivyo shughuli za maendeleo Dom ni nying sn kwass,
Tanga haina mzunguko mzuri wa pesa kuizid mbeya lkn inakuwa juu ya mbeya shauri ya eneo lake lina bandari inayochochea shughuli za ukusanyaji kuwa juu.
Ila kuna maeneo mzunguko wa pesa uko juu na makusanyo yako juu mfano ni DAR, MAFINGA, MWANZA, KAHAMA NA TUNDUMA.
Mwekezaji Kwa akili ya kawaida hawezi kwenda kuwekeza eneo lingine akaacha mikoa yenye GDP KUBWAThis will always speak louder than above nosense[emoji91]View attachment 2321078
You nailed it.Mtoa mada huwez kuongelea mzunguko wa pesa ktk mji fulan kwa kigezo cha makusanyo ya serikali.
Note. Mji fulani unaweza kuwa mdogo sn na ukawa na wakazi wachache sn lkn mzunguko wa pesa ukawa juu sn, japo kwa udogo wa mji ukazidiwa makusanyo na mji mkubwa. Mapato makubwa ya halmashauri huwa ni license, service levy, hotel levy, fees za ardhi na fees za natural resources,
Mfano. Moshi inaweza kuwa na makusanyo mengi kuriko katolo geita, lkn katolo ikawa na mzunguko mkubwa wa pesa.
Mzunguko wa pesa ktk eneo huathiriwa na mambo mengi lkn kubwa ni geographic location ya eneo, shughuli za uzarishaji mali na idadi ya watu ktk eneo husika.
Dodoma inakuj juu ya mwanza cc shauri ya geography yk imeipa nafas ya kuwa-capital city.. Hivyo shughuli za maendeleo Dom ni nying sn kwass,
Tanga haina mzunguko mzuri wa pesa kuizid mbeya lkn inakuwa juu ya mbeya shauri ya eneo lake lina bandari inayochochea shughuli za ukusanyaji kuwa juu.
Ila kuna maeneo mzunguko wa pesa uko juu na makusanyo yako juu mfano ni DAR, MAFINGA, MWANZA, KAHAMA NA TUNDUMA.
Hakuna taarifa ya maana hapo tuzungumze mambo ya Msingi ktk taifa,kama katiba nchi inaumwa sana sana na wananchi wake wanateseka sana sana.Moja kwa Moja kwenye mada,
Leo nawajuza List ya Majiji,Miji,Manispaa na Wilaya 50 Zenye Mzunguko Mkubwa wa Hela hapa Tanzania ambazo zinafaa kwa biashara na uwekezaji..
Kigezo kinachotumika ni Makusanyo ya Mapato ya Ndani kuanzia shilingi Bilioni 4 na kuendelea kama yalivyoandaliwa na Tamisemi kwa mwaka 2021/2022.
Makusanyo hayo yanaashiria kwamba maeneo hayo yana shughuli za Kiuchumi zinazoleta pesa kwa watu na hivyo watu Wana purchasing power nzuri..
Figures are in Billions Tanzania Shilling.
1.Dar es Salaam CC=167.557
2.Dodoma CC=45.108,
3.Mwanza CC=27.688,
4.Arusha CC=24.333'
5.Tanga CC=17.392,
6.Mbeya CC=15.228,
7.Chalinze DC=10.240,
8.Mkuranga DC=10.011,
9.Kahama MC=9.957,
10.Morogoro MC=9.353,
11.Geita TC=9.024,
12.Tunduma TC =8.593,
13.Njombe TC=8.473,
14.Mufindi DC=8.232,
15.Moshi MC=7.570,
16.Tarime DC=6.718,
17.Mafinga TC=6.306,
18.Mbarali DC=6.241,
19.Rufiji DC=6.040,
20.Muleba DC=5.718,
21.Hanang' DC=5.655,
22.Mbinga DC=5.578,
23.Rungwe DC=5.521,
24.Kibaha TC=5.352,
25.Morogoro DC=5.268,
26.Geita DC=5.186,
27.Chunya DC=5.113,
28.Shinyanga MC=5.100,
29.Kilosa DC=5.093,
30.Iringa MC=5.018,
31.Kaliua DC=4.981,
32.Songea MC=4.912,
33.Ifakara TC=4.898,
34.Tabora MC=4.827,
35.Kilwa DC=4.779,
36.Mbeya DC=4.778,
37.Karatu DC=4.746,
38.Kibaha DC=4.664,
39.Msalala DC=4.634,
40.Misenyi DC=4.595,
41.Tandahimba DC=4.507,
42.Tanganyika DC=4.452,
43.Rungwe DC=4.421,
44.Tunduru DC=4.400,
45.Bagamoyo DC=4.322,
46.Singida MC=4.286,
47.Igunga DC=4.207,
48.Wanging'ombe DC=4.186,
49.Ngara DC=4.142,
50.Njombe DC=4.001..
My Take..
Mikoa ya Dsm, Pwani, Mbeya, Morogoro,Njombe na Shinyanga Wilaya zake ziko vizuri sana.👇
View attachment 2313627View attachment 2313628
Ngoja jamaa waje hapa kwa nn Tnga imepita Arusha na Kilimanjaro ngoja waje hapa weny meno ya kuoza!This will always speak louder than above nosense[emoji91]View attachment 2321078
Wewe unaumwa.mji wa tunduma unanini zaidi ya mpaka.Kahama bado Sana,itapitwa na Tunduma na Njombe kama ilivyopitwa na Chalinze na Mkuranga.