Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukubila na Tanzania yeti wapi na wapi?1. Wachaga - Kimara
2. Wakurya - ukonga
3. Wahaya - Mwananyamala na sinza
4. Wapemba - Kigamboni, Msasani, n.k.
4. Wanyakyusa - Nyomi lao lipo keko
5. Mbagala - wamakonde
Hizo ni statistics wala sio ukabilaUkubila na Tanzania yeti wapi na wapi?
Msimbazi ,Kigogo na mburahati watu wa morogoro waluguru na wapogolo1. Wachaga - Kimara
2. Wakurya - ukonga
3. Wahaya - Mwananyamala na sinza
4. Wapemba - Kigamboni, Msasani, n.k.
4. Wanyakyusa - Nyomi lao lipo keko
5. Mbagala - wamakonde
Keko panaitwa bonde la Mwakaleli kwa wanyakyusa original .Lugha kuu kinyakyusa ikifuatiwa na kiswahili4. Wanyakyusa - Nyomi lao lipo keko
+ Buguruni.Msimbazi ,Kigogo na mburahati watu wa morogoro waluguru na wapogolo
Waha,msigani,madale sjui tegeta1. Wachaga - Kimara
2. Wakurya / wajita / Jaluo - ukonga
3. Wahaya - Mwananyamala na sinza
4. Wapemba - Kigamboni, Msasani, n.k.
4. Wanyakyusa - Nyomi lao lipo keko
5. Mbagala - wamakonde
Ukabira huu.1. Wachaga - Kimara
2. Wakurya / wajita / Jaluo - ukonga
3. Wahaya - Mwananyamala na sinza
4. Wapemba - Kigamboni
4. Wanyakyusa - Nyomi lao lipo keko
5. Mbagala - wamakonde
Nimeshangazwa Na Thread Ya Hivyo, Faida Ya Kabila Ni Nini Hasa Zaidi Ya Kutambika TuUkubila na Tanzania yeti wapi na wapi?
UKABILA = matendo au mawazo ya mtu kuthamini kabila lake tu na kubagua makabila mengineUkabira huu.
Narudia tena ukabira huu.UKABILA = matendo au mawazo ya mtu kuthamini kabila lake tu na kubagua makabila mengine
Hapo ukabila upo wapi ?
Watu hawajui maana Ya ukabila..UKABILA = matendo au mawazo ya mtu kuthamini kabila lake tu na kubagua makabila mengine
Hapo ukabila upo wapi ?
Nawashangaa sana hawa watu,, hizi nilizoweka ni statistics tu watu wa kabila flani wamejazana sehemu flani.Watu hawajui maana Ya ukabila..
Hata kufata Mila za Mtu Mbele ya watu wengine bado utaambiwa ni ukabila..
Ukabila ni Ubaguzi kama haujafanya ubaguzi wowote na unafat mila za kabila lako hauitwi ukabila unaitwa Culture heritage..
Hata hiyo uliyoongelea hapa kwenye huu Uzi ni culture heritage
Hahahahaha.huwq ina tokana na nini ? au akihamia mmoja anawaita na wenzake?Msimbazi ,Kigogo na mburahati watu wa morogoro waluguru na wapogolo