Orodha ya makabila yaliyojaza sehemu mbali mbali DSM

Orodha ya makabila yaliyojaza sehemu mbali mbali DSM

Nawashangaa sana hawa watu,, hizi nilizoweka ni statistics tu watu wa kabila flani wamejazana sehemu flani.

suala la ukabila ni kutanguliza maslahi ya kabila lako kwenye vitu vya kitaifa hasa kwa wenye mamlaka serikalini ya kufanya maamuzi ya kuajiri, kutoa mikopo, kugawa rasilimali, kugawa tenda, scholarships, maamuzi ya bajeti ya taifa, n.k.
Again Ukabira huu.
 
Yote Kwa Yote Leo ni 1:1 ugenini na tunatanguliza shukrani Kwa Mh Rais, Dokta Samia Suluhu Hassan Kwa droo ya Leo Usiku
 
Wakinga wanapoishi Dar siri yao ni watu wa kujificha na kuficha kabila lao mitaani hawataki kujulikana sababu ya ushirikina
Tafuta pesa mkuu acha kuwa na wivu ,wakinga ni hard working na wapo na displine kubwa linapokuja suala la pesa,ukishindwa sio mbaya kujiunga nao
 
Watanzania hatupaswi kuishi kwa vikundi vya kikabila...

Tunapaswa kuchangamana...

Maana kimsingi sisi sote ni waswahili...

Mambo ya kukusanyana kabila moja iwe ni huko mlikotoka sio kwenye miji ya watu...
 
Back
Top Bottom